Duh! shamba la bibi linaendelea kuchumwa, shehena lakamatwa Marekani lililojaa wadudu kutokea Tanzania

Kwanini post iko kwenye jukwaa la. "KENYAN NEWS"⁉️🤔
 
Ji
Jirani, punguza hasira
 
What an idiot. You advise I should back to school and learn swahil.
Ze ze ze confused or what?
Nani mjinga kati ya Mimi na wewe mkimbia shule kisa maumivu ya kalio?
Sijui nini mifanya mashuleli huko Kenya hadi kupelekea makalio kuwauma madarasani

Mbaya zaidi kwa mwanaume kulia umivu la kalio shuleni inashangaza si utani!
 
Nani mjinga kati ya Mimi na wewe mkimbia shule kisa maumivu ya kalio?
Sijui nini mifanya mashuleli huko Kenya hadi kupelekea makalio kuwauma madarasani

Mbaya zaidi kwa mwanaume kulia umivu la kalio shuleni inashangaza si utani!
Kweli si utani.
Makaliyo una yako yangu yamechoka kuketi darasani kusoma kisiwa hili.
Maoni yako kuhusu makaliyo uliza wizara husika
 
Sheeple Kenyans, are too chicken to stand against Kenyatta family that owns more land than the family of the third richest person in the world (Bill gates).

Japo sitetei tuhuma za kwamba familia ya Kenyatta walinyakua ardhi, lakini ni tofaui sana na kinachotendeka Tanzania, huko kwenu kila kitu kinatwaliwa na kwenda kwa mabeberu mumeachwa na mahandaki matupu na umaskini uliokubuhu, ila kwa hili la Kenyatta family, hicho walichonyakua kinalimwa na Wakenya na kunufaisha Wakenya, kwa kifupi wizi wao umebaki humu humu, inachukiza kwa huo wizi wao ila nafuu ni kuwa humo wameajiriwa Wakenya.
Kwenu huko mnatia huruma, raslimali zote hizo na leo hii Kenya kainchi kadogo kana uchumi karibia mara mbili yenu.
 
Inspectors say the insects could have threatened Oregon’s white cedar trees and spread disease to plants and native insects
😰😰😰😰😰😰
 
Toba!Ati tiyata??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…