cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Polepole nae kwa mtu mwenye akili timamu unakaa unamsikiliza??? Kama polepole peke yake ndie aliyempigia kura basi kaa umsikilize mwenyewe otherwise tafuta maana ya “the voice of citizens “ ukiipata toa huu ushuzi hapa.
Goal shifting. lolSawa, sasa tupe na Uhuru Kenya pia anakubalika kwa kiasi gani?
Nimeona jina lako kwenye report ya TWAWEZA lipo katika wale 55% wenye UKOMA wa UBONGO..Eeeeeeeeh
Umemsikiliza na kuishia kulia kwa jinsi ambavyo upinzani mko ndani ya kaburi tayari..
Lazuma unapata tabu sana ulipo..
Wakenya sikilizeni hizi clips, mpate angalau picha kidogo ya siasa za bongo.Bora msikilize haya kabla hamjadakia
Ila twaweza huwa watu wa kwenda na kutafuta kiki tu.. wanakaa wanatunga.. kuna nani amewahi jibu maswali yao ya utafiti?
Alar! Huu ukweli uchungu sana kwa mTZSomeone said "I don't hate politicians because they are the by-product of their own societies" Magufuli anawakilisha aina ya watu walioko kwenye jamii ya TZ. Wabongo wengi hasa wale CCM wako na brain kama ya Magufuli "desperate, schizophrenic, hypocritical, volatile and hateful" ndiyo maana hata baada ya mabaya yake yote bado anaungwa mkono asilimia 55%, huyu hapa ni dikteta halafu. Smh
Tusikilize upuuzi gani wewe jainamke la lumumba?Bora msikilize haya kabla hamjadakia
Ila twaweza huwa watu wa kwenda na kutafuta kiki tu.. wanakaa wanatunga.. kuna nani amewahi jibu maswali yao ya utafiti?
Mbona unaandika upupu mkuu??to hell with your statistics!To me, mr president Magufuli is one of the kind, and our beloved Tz is so much blessed to have such presidency! I dont need twaweza or twashinda to tell me anything concerning what I can vividly see and touch about what is happening under Magufuli as the president. Walioulizwa ni wengi wao ni chadema tu, na wachumia tumbo/fisadi ndio maana inaonekana kushuka, uhalisia bado yupo juu sana! Huu ni utawala wa aina yake...I am so proud to be Tzan! God bless Magufuli our president, God bless our country.
Indeedto hell with your statistics!To me, mr president Magufuli is one of the kind, and our beloved Tz is so much blessed to have such presidency! I dont need twaweza or twashinda to tell me anything concerning what I can vividly see and touch about what is happening under Magufuli as the president. Walioulizwa ni wengi wao ni chadema tu, na wachumia tumbo/fisadi ndio maana inaonekana kushuka, uhalisia bado yupo juu sana! Huu ni utawala wa aina yake...I am so proud to be Tzan! God bless Magufuli our president, God bless our country.
Vichwa vyao ni shida!Bora msikilize haya kabla hamjadakia
Ila twaweza huwa watu wa kwenda na kutafuta kiki tu.. wanakaa wanatunga.. kuna nani amewahi jibu maswali yao ya utafiti?
Mkuu twaweza wanao mlengo wao, nao ni binadamu pia, wanafanya kwa niaba ya walio na maslahi yao! SIyo lazima ziwe na uhalisia. Hata hivyo, nimesema, hizo takwimu kwangu hazina msingi wowote maana hazinibadilishi juu ya kumkubali kwangu rais wetu! Kama mtanzania, nina wajibu wa kumpa ushirikiano kiongozi wetu huyu, na hata kumuombea hekima kama Suleiman alivyoomba na kuipata. Ni mtazamo wangu...siwezi rusha ngumi kama wako upo tofauti! Half full or half empty!Mbona unaandika upupu mkuu??
Tusikilize upuuzi gani wewe jainamke la lumumba?
Wakenya sikilizeni hizi clips, mpate angalau picha kidogo ya siasa za bongo.
Ndio maana alipata hizo 55, kama wasingekuwepo wa kukubali kama wewe, hizo 55 asingepata, angepata 0.to hell with your statistics!To me, mr president Magufuli is one of the kind, and our beloved Tz is so much blessed to have such presidency! I dont need twaweza or twashinda to tell me anything concerning what I can vividly see and touch about what is happening under Magufuli as the president. Walioulizwa ni wengi wao ni chadema tu, na wachumia tumbo/fisadi ndio maana inaonekana kushuka, uhalisia bado yupo juu sana! Huu ni utawala wa aina yake...I am so proud to be Tzan! God bless Magufuli our president, God bless our country.