cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Polepole nae kwa mtu mwenye akili timamu unakaa unamsikiliza??? Kama polepole peke yake ndie aliyempigia kura basi kaa umsikilize mwenyewe otherwise tafuta maana ya “the voice of citizens “ ukiipata toa huu ushuzi hapa.
Eeeeeeeeh
Umemsikiliza na kuishia kulia kwa jinsi ambavyo upinzani mko ndani ya kaburi tayari..
Lazuma unapata tabu sana ulipo..