Duh! Umaarufu wa rais Magufuli umeshuka 41% kwa miaka miwili

Duh! Umaarufu wa rais Magufuli umeshuka 41% kwa miaka miwili

Ndio maana alipata hizo 55, kama wasingekuwepo wa kukubali kama wewe, hizo 55 asingepata, angepata 0.

Bado yupo vizuri masna 55 ni zaidi ya nusu. Kwa ninavyoona trend, kuna uwezekano wa kushuja zaidi. Ila before uchaguzi, lazima atapanda tena na kufikia walau 60.

Ndivyo ninavyoona mimi. Lazima atafute namna nyingine ya kukubalika
sijui kama nimekuelewa mkuu!
 
Hizi clips ni one sided, mumenyofoa maoni ya hao wengine. Pili kumskliza huyo jamaa anayeitwa Polepole ni kama kumskliza Dennis Itumbi wa Kenya, yeye husifia rais Uhuru na Jubilee hata kwa vitu ambavyo ni pumba, wachumia tumbo siwezi kutumia analysis zao....jiongeze
Umesikiliza lakini? Na una habari jubilee wanachukua tutorials from ccm. Kama hutaki msikiliza huyo, basi subiri 2020, utasikia tena. Ccm wataishika hii nchi for a very long time. Its one amongst the best political party in africa, credits where ts due
 
Someone said "I don't hate politicians because they are the by-product of their own societies" Magufuli anawakilisha aina ya watu walioko kwenye jamii ya TZ. Wabongo wengi hasa wale CCM wako na brain kama ya Magufuli "desperate, schizophrenic, hypocritical, volatile and hateful" ndiyo maana hata baada ya mabaya yake yote bado anaungwa mkono asilimia 55%, huyu hapa ni dikteta halafu. Smh
Pamoja na mapungufu yake to me he remains the best president, Kama unataka malaika akutawale endelea kusubiri. Hapo ulipo hata wewe una mapungufu, kama haya uliyoyabainisha kwenye hii post.
 
Pamoja na mapungufu yake to me he remains the best president, Kama unataka malaika akutawale endelea kusubiri. Hapo ulipo hata wewe una mapungufu, kama haya uliyoyabainisha kwenye hii post.

Wabongo bwana, you never cease to amaze me.
 
Umesikiliza lakini? Na una habari jubilee wanachukua tutorials from ccm. Kama hutaki msikiliza huyo, basi subiri 2020, utasikia tena. Ccm wataishika hii nchi for a very long time. Its one amongst the best political party in africa, credits where ts due

Wangethubutu kuiga CCM hawangetawala hata mwaka mmoja, kuna vitu havivumiliki Kenya......
 
Wala haini affect ati, mkitaka mnaweza hata mcoronate awe sultani kabisa. Maisha yenu hayo wala siyo yangu
Hahaha, kwani mkuu unadhani unaweza amua jambo kwa ajili ya wengine? Hivyo unavyoona JPM anawachukulia wanaompinga kama maadui ndivyo hivyo na wewe unaona wanaomkubali hawako sawa,
In life everyone is free to decide and do what they think is right, unadhani na wewe kwa wengine upo sawa na huo mtazamo wako?
Calm down na heshimu machaguo ya wengine.
To me nikiondoa Mwalimu Nyerere, JPM is better than the rest.
 
Hahaha, kwani mkuu unadhani unaweza amua jambo kwa ajili ya wengine? Hivyo unavyoona JPM anawachukulia wanaompinga kama maadui ndivyo hivyo na wewe unaona wanaomkubali hawako sawa,
In life everyone is free to decide and do what they think is right, unadhani na wewe kwa wengine upo sawa na huo mtazamo wako?
Calm down na heshimu machaguo ya wengine.
To me nikiondoa Mwalimu Nyerere, JPM is better than the rest.
Breena save your energy. Don't even mind this lunatic of a person. Someone whose comprehesion of anything is very low!

Ignore him!
 
Breena save your energy. Don't even mind this lunatic of a person. Someone whose comprehesion of anything is very low!

Ignore him!
Wewe achana na siasa za Tz, njoo kule tuendelee kupost mapichapicha,
Kaa huko kwenu Kunyaland na mungiki wenu.
 
Wewe achana na siasa za Tz, njoo kule tuendelee kupost mapichapicha,
Kaa huko kwenu Kunyaland na mungiki wenu.
See? Very STUPID.

How on earth was the internet made accessible to you though? It's such a shame!
 
Hahaha, kwani mkuu unadhani unaweza amua jambo kwa ajili ya wengine? Hivyo unavyoona JPM anawachukulia wanaompinga kama maadui ndivyo hivyo na wewe unaona wanaomkubali hawako sawa,
In life everyone is free to decide and do what they think is right, unadhani na wewe kwa wengine upo sawa na huo mtazamo wako?
Calm down na heshimu machaguo ya wengine.
To me nikiondoa Mwalimu Nyerere, JPM is better than the rest.

Hata Bokassa, Mengitsu na Amin approval ratings zao zilikuwa perched high to some individuals. Uko unamuunga mkono Magufuli and its understandable lakini in the long he's taking your country into the grave like many tyrants in the past.
 
Watz huku JF hutumia nguvu nyingi sana kutuaminisha awamu hii ndio maarufu zaidi ya zote, lakini utafiti umefanywa wa ndani na kuonyesha picha tofauti.

---------------------------------------------------------------

Dar es Salaam. President John Magufuli’s popularity rating has plummeted by 16 per cent from 71 per cent in 2017 to 55 per cent this year, the latest Twaweza report shows.

Releasing the findings of the Voice of Citizens on Thursday, July 5, Twaweza executive director Aidan Eyakuze said citizen's approval of the performance the president has gone down by a total percentage of 41 since 2016 when the rating stood at 96 per cent.

The report collected opinions from 1,241 respondents from Tanzania Mainland using mobile phones.
Magufuli popularity rating falls by 41 pc in the last two years
tafiti ya twaweza ni takataka.wanajipanga kumsafisha next year!
 
Hata Bokassa, Mengitsu na Amin approval ratings zao zilikuwa perched high to some individuals. Uko unamuunga mkono Magufuli and its understandable lakini in the long he's taking your country into the grave like any other tyrant in the past.
Iwe grave Mara ngapi mkuu? Was it any better before??? Awamu iliyopita mlilia mkamwomba Mungu mletewe Rais dictator, and here he is,
Mimi sio shabiki wa vyama vya siasa, na wala sikumchagua, but kama akimaliza muda wake asepe basi aache nchi ikiwa na Miundombinu thabiti basi inatosha.
Miundombinu is the beat thing JPM can do better. Huo Uhuru wa Kuongea mnautaka Mimi huwa sielewi, watu hata uelewa wa mambo ya kawaida tu hawana wanataka wafanye siasa 24/7, hatuwezi Kuendelea na watu wanataka wafanye maandamano kila wakati, na huku Africa kila mtu ni mwanasiasa, unafikiri production itafanyikaje?
Trust me, we Africans need such leaders, na mtamkumbuka huyo mzee, mark my words.
 
See? Very STUPID.

How on earth was the internet made accessible to you though? It's such a shame!
First, be wise, you must at lest appreciate Tanzanians for creating this platform that even you Kenyans despite your tribal intrinsics can come and feel the taste of unity that we Tanzanians enjoy,
Ama namna gani, I believe JF keeps you and many of your fellow countrymen sleepless.
Karibu sana, but huku kwetu wengi tupo vijana kiumri ila tayari tupo matured, we don't see reasons to insult each other, behave.
 
First, be wise, you must at lest appreciate Tanzanians for creating this platform that even you Kenyans despite your tribal intrinsics can come and feel the taste of unity that we Tanzanians enjoy,
Ama namna gani, I believe JF keeps you and many of your fellow countrymen sleepless.
Karibu sana, but huku kwetu wengi tupo vijana kiumri ila tayari tupo matured, we don't see reasons to insult each other, behave.
NONSENSE!
 
Iwe grave Mara ngapi mkuu? Was it any better before??? Awamu iliyopita mlilia mkamwomba Mungu mletewe Rais dictator, and here he is,
Mimi sio shabiki wa vyama vya siasa, na wala sikumchagua, but kama akimaliza muda wake asepe basi aache nchi ikiwa na Miundombinu thabiti basi inatosha.
Miundombinu is the beat thing JPM can do better. Huo Uhuru wa Kuongea mnautaka Mimi huwa sielewi, watu hata uelewa wa mambo ya kawaida tu hawana wanataka wafanye siasa 24/7, hatuwezi Kuendelea na watu wanataka wafanye maandamano kila wakati, na huku Africa kila mtu ni mwanasiasa, unafikiri production itafanyikaje?
Trust me, we Africans need such leaders, na mtamkumbuka huyo mzee, mark my words.

Hili ni la kwenu wabongo, lakini sisi spectators twasema kwamba Maendeleo yasiwe ya vitu tu, bali watu pia. Maendeleo siyo kuwa na Ndege, SGR na Magorofa tu, inabidi muwaandae watu wenu. Zululand wako na everything ambavyo ninyi hamna kabisa kuanzia roads hadi ndege lakini umeona maisha waishio wazulu ? Miundombinu inawafaidishaje ati ? Maendeleo needs balance
 
Back
Top Bottom