Duh

Duh

Drama queen

Senior Member
Joined
Apr 22, 2014
Posts
157
Reaction score
289
Hv unapokuja na mdada for a date kwann uagize maji?
Anyway sielewi.. Nimetoka kazini nikakaa mahali alon nishtue koo kidogo akaingia mkaka na mdada wanaonekana wapenzi..dada ameagiza chupa ya wine mwanaume kaagiza maji makubwa mdada anashangaa kwani haunywi leo? Anamjib sijiskii... Khaaaaaa
Raha ya date wote muwe mnalewa
 
Kaka ndio anajua bajeti iliyopo mfukoni bidada! Shukuru Mungu kaamua kujiscrifice kunywa maji kipenzi kinywe wine!
 
Jamaa hakuwa na John mfukoni hahaaaaaa!!!!
 
Siku hizi naingia na pombe za kienyeji bar, halafu nachukuwa chupa ya Konyagi naweka humo. Kuna mpenda pombe za bure akaniomba nikamuwekea nusu gilasi jamaa kajikojolea. Mwisho kalala chali dadeki zake[emoji38] [emoji38]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom