Duhhh TAIFA STARS NI PRESSURE TUUU

mpondamali

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2011
Posts
501
Reaction score
176
Hiii TAIFA STARS cjui ni namna gani..timu Leo haikuwa hata haieleweki inacheza kwa namna gani..hakuna flow of play kabisa..Lesotho ni team nzuri ila nadhani imefanya juhudi kusoma michezo ya TZ mbalimbali....team yetu Leo haikuwa ktk mchezo kbsaaaa.....hongera LESOTHO , TAIFA STARS TUACHE YA NYUMA TUGANGE YA MBELE....
 
Reactions: Tui
Jiwe aliagiza warudi na ushindi. Sasa hawa wakifika brake ya kwanza iwe jeshini wakabangue korosho na kufundishwa uzalendošŸ˜Ž
 
ukisikia fungu la kukosa au methali ya Ng'ombe wa maskini hazai ndio hii sasa.
 
Hapa nasema wazi kama hii team haijabalance tanzania bara na Z'bar hakuna tutakapofika.
 
Jiwe aliagiza warudi na ushindi. Sasa hawa wakifika brake ya kwanza iwe jeshini wakabangue korosho na kufundishwa uzalendo[emoji41]
Wenzetu wakisha fuzu mguu mmoja waga wanafia ndani leo litanzania lina cheza kama limeshindia vitumbua kudadeki
 
Wenzetu wakisha fuzu mguu mmoja waga wanafia ndani leo litanzania lina cheza kama limeshindia vitumbua kudadeki
Ironically huo ndo ukweli. Chai ya rangi, chapati 2 na maharagwe ndo menu za wachezaji wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…