Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

Tafadhali nitafute 0762208190, whatsup, call au sms ili tufanye kazi, kuna shida ya hiyo kitu, tunaweza Fanya kazi TANGA HANDENI. I am serious in business
 
Nami pia nimefaidika mno.Binafsi nimeanza process lakini jambo moja nililokutana nalo n kwa wale wa vijijini ni lazima uwe na barua ya serikali ya kijiji kukubali ufanye biashara/huduma hiyo katika kijiji chao.
 
mm nataka kufungua duka la madawa ya binadamu nahitaji mnitumie list ya madawa na nini cha kufanya kwa huduma hii ya duka la dawa jimmyfoxxgongo
 
Unatakiwa uwe na Level gani (certificate, diploma au degree) ili uruhusiwe(kupata kibali) cha kufungua Maabara? Naomba kujua.
 
mm nataka kufungua duka la madawa ya binadamu nahitaji mnitumie list ya madawa na nini cha kufanya kwa huduma hii ya duka la dawa jimmyfoxxgongo
mkuu,

Inategemea unataka kufungua duka la madawa ya binadamu muhimu au pharmacy sina uhakika na list ya madawa yanayotakiwa lakini kidogo naweza kukupa mwanga na pa kuanzia.
Unatakiwa uwe na Level gani (certificate, diploma au degree) ili uruhusiwe(kupata kibali) cha kufungua Maabara? Naomba kujua.
diploma mkuu na uwe umesajiliwa na bodi ya maabara
 
Nami pia nimefaidika mno.Binafsi nimeanza process lakini jambo moja nililokutana nalo n kwa wale wa vijijini ni lazima uwe na barua ya serikali ya kijiji kukubali ufanye biashara/huduma hiyo katika kijiji chao.
karibu sana bosi wangu
 
Naomba kujua njia za kufanya ili kufungua duka la dawa muhimu za binadamu. Mimi ni mhitimu wa diploma ya Nursing napenda nianze kujiajiri sasa.
 
Habari zenu wana JF,

Nilikuwa naomba kujua mwenye kufahamu nini kinahitajika ili mtu aweze kufungua phamarcy, natanguliza shukrani.
 
Nenda Baraza la Pharmacy au ofisi ya Mganga wa Halmashauri ya Wilaya/Manispaa/Jiji,Utapewa maelekezo.
Kumbuka:-
1)Usilipie Jengo wala kufanya ukarabati kabla ya maelekezo
2)Kama ww si mfamasia utapaswa kuingia mkataba na Mfamasia
3)Kuna fees utalipa baada ya approval ya Pharmacy Council
 
  • Jiridhishe eneo/jengo halina mgogoro wowote na lipo eneo safi na salama.
  • Hakikisha kati ya unapotaka ifungua pharmacy na phamarcy iliyopo jirani ni almost mita 100-200 zimewatenganisha.
  • Nenda Manispaa kaombe waje kukagua eneo lako,wakiridhika watakuruhusu
  • Shelfu za pharmacy siku zote zinashauriwa kuwa za aluminium.
  • Rangi ya ndani inatakiwa kuwa Nyeupe.

    Vingine subiri watajazia wengine..
 
Tupeane uzoefu wa hii biashara kwa wazoefu.
Na mimi huwa inanivutia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…