Duka la mangi: Tunduma/Kahama

Duka la mangi: Tunduma/Kahama

Daah! Boss umeanza kwa kunitisha. Nashkuru sana kwa ushauri wako lakini kwanini Tunduma na si Kahama licha ya changamoto za Tunduma ambazo wewe pia umezitaja
Mim kahama nilifika mwaka 2012 hvyo sikumbuki sna

Ila kwa mbeya na tunduma nakupata sna ni miaka ya juzi juzi tu nilikuwa huko
 
Buzwagi si ilifungwa ile?, Anyway,, kule khm labda ufungue duka specialised,, yaani liwe na upekee fulani,, mfano unaweza amua kuuza chupi za kike tu, jumla na rejareja,, utawapata wateja wa wilaya za pembezoni,uza urembo tu na vitu vya gift,keki etc,,,
Uza vifungashio dizaine zote kwa jumla, 😁,pipi, choklet, juices, etc.
Lakini duka la mangi labda uotee sana location,, maana yako kila kona, ushindani mkali
Waha wamejaa kila sehemu kahama na wanaweka kila kitu dukani
 
Buzwagi si ilifungwa ile?, Anyway,, kule khm labda ufungue duka specialised,, yaani liwe na upekee fulani,, mfano unaweza amua kuuza chupi za kike tu, jumla na rejareja,, utawapata wateja wa wilaya za pembezoni,uza urembo tu na vitu vya gift,keki etc,,,
Uza vifungashio dizaine zote kwa jumla, [emoji16],pipi, choklet, juices, etc.
Lakini duka la mangi labda uotee sana location,, maana yako kila kona, ushindani mkali
Kanda ya ziwa akafungue duka la vifaa vya baiskeli na zana za kilimo.
 
Daah! Boss umeanza kwa kunitisha. Nashkuru sana kwa ushauri wako lakini kwanini Tunduma na si Kahama licha ya changamoto za Tunduma ambazo wewe pia umezitaja
Ni vizuri kuhama na kutafuta changamoto,hizo sababu zinazokuogopesha achana nazo kwani hazina uhalisia wowote,Cha msingi jipime unauwezo wa kufanya biashara ktk maeneo hayo,kiuhalisia kahama na tunduma ni maeneo ambayo Kuna watu wananguvu sana ya pesa,mi uzuri kote nimefika mf.site tu ya biashara ambayo ni nzuri lazima uinunue Kwa aliyepo mara nyingi si chini ya 10-20 mil.Bado hapo Kodi na mtaji,kama huna fedha za kutosha ni Bora kutafuta center nyingine Nako unaweza kutoboa tu.jambo lingine fanta utafiti wa kutembelea maeneo mengine usikariri kahama na tunduma tu bila hata kufika huko ukajionee mwenyewe,jambo la mwinyi duka la mangi ni capital intensive project Kama hunielewi ntatoa ufafanuzi baadae
 
Asante sana kwa ushauri wako. Hapa usariver nimeshaamua kuondoka. Nishaishi sana hapa nataka nibadili mazingira na nikutane na changamoto mpya.
chakufanya panda basi nenda tunduma kakague mazingila kisha nenda kahama kakague pia hizo sehemu zote zimechangamka sana tunduma magendo sana sababu ni mpakani pia watu wapale wajanja sana

kahama pazuli sababu magali yote ya kutoka rwanda barundi kongo uganda yete kituo chao ni hapo pia wachimbaji wa madini hapo ndipo kituoni kwao pia ndicho kituo cha wanunuzi wa mpunga na kuuza mchele tz hii kwa ushuli wangu kahama ni bora zaidi
 
Kahama ni sehemu nzuri sana kwa biashara!, siyo kweli kwamba uchumi wa Kahama unategemea Buzwagi. Kama ni mji ambao uchumi wake unategemea vitu mno. Lakini madini ndo yanaongoza, pia wachimbaji wadogo kutoka maeneo jirani ndo wanaukuza mji na siyo Buzwagi.
 
😂😂😂😂aiseee watu weusi ni janga kubwa
Sasa umeshindwa kutumia hizo changamoto kuzigeuza fursa kwako?kama maji ya tabu peleka maji au itumie fursa hiyo.kwahuo uandishi wako nakushaur bakia hapo hapo usariver
Akachimbe KISIMA auze Maji... 😀
 
Yaani Buzwagi G.Mine iliyoanza uzalishaji rasmi 2009 ndiyo ishikilie uchumi wa Kahama?
 
Back
Top Bottom