Duka la nguo za watoto au Fundi mzuri wa Nguo za watoto wa kiume (official wear)

Duka la nguo za watoto au Fundi mzuri wa Nguo za watoto wa kiume (official wear)

CONTROLA

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2019
Posts
7,001
Reaction score
23,449
Naomba kwa wale wafanyabiashara wa nguo au watembeaji kama mimi mnaoweza nisaidia kujua ni wapi naweza pata duka la nguo za watoto wa kiume hasa hasa SUTI au pigo zozote za ki ofisi na ki utu uzima uzima naomba mnisaidie location.

Au kama yupo anaemjua fundi mshonaji anaeshona suti kali kali za watoto wa kiume naomba msaada wakuelekezwa nampata wapi,au kama ni duka kuna mtu analijua linalouza vitu vya kiofsi ofsi (quality ones) mitoko ya namna hiyo lakini iwe ya kitoto toto.

Maduka mengi niyajuayo mimi yana nguo za watoto wakiume kama jeans,pensi,tshirt,nk nguo za kisharobaro sharobaro (staki nguo za hivyo) mfano wa nguo ninazotaka kuelekezwa au fundi anaejua kutoa vitu kama hivi hapa chini 👇👇

61h87m506wL._UL1113_.jpg



2019-new-arrival-fashion-boys-kids-blazers.jpg



f04b5f7a094756a2138f99feebf77673.jpg



f693e9cf5ac5d44ca75d81f6accf5822.jpg




Hbd00b4dc670744f89fd9df369643f6f2A.jpg





HTB1ULc2jcbI8KJjy1zdq6ze1VXaE.jpg_q50.jpg



s-l400.jpg



TB2fiLId4WYBuNjy1zkXXXGGpXa_!!1911728007.jpg



unnamed.png



dad 1.jpg



dad 2.jpg



dad 3.jpg



Shukurani kwa wote mtakaonisaidia kufanikisha hili.
 
Nimezipenda sana, angalau miaka saba nane ndiyo wanatambua kuwa wamevaa vizuri. Huku kwingine ni furaha ya wazazi.
ni kweli kabisa na nahisi hii ndio mana inachangamoto hata ktk upatikanaji wa nguo zao nzuri.
 
bro, kuna fundi namjua anashona vzuri mno.atakufanyia hyo kaz
Naomba mawasiliano yake kama hautojali mkuu au nielekeze

anapatikana wapi nimfate alipo nione na sample ya kazi zake pia,Ntashukuru.
 
Nadhani kama upo maeneo ya dar n vema ukamtafta designer wa mtoto wako akina kandinda ndo kazi zao
 
hivi nyie mods kina Moderator huu uzi umeletwa kwenye

matangazo madogo madogo,huu uzi una tangazo gani hebu semeni

mtu kuuliza kitu uzi mnaupeleka kwenye matangazo,saa zingine muwe

mnaangalia wapi pakuweka uzi sio mnatupia tupia tu jukwaa lolote,au wenzangu

mnaelewa nini maana ya TANGAZO? hebu nipeni tafsiri ya tangazo kulingana na JamiiForums.
 
hivi nyie mods kina Moderator huu uzi umeletwa kwenye

matangazo madogo madogo,huu uzi una tangazo gani hebu semeni

mtu kuuliza kitu uzi mnaupeleka kwenye matangazo,saa zingine muwe

mnaangalia wapi pakuweka uzi sio mnatupia tupia tu jukwaa lolote,au wenzangu

mnaelewa nini maana ya TANGAZO? hebu nipeni tafsiri ya tangazo kulingana na JamiiForums.
Wangeuweka hata kwenye mitindo na utanashati.
 
Back
Top Bottom