Duka la nguo za watoto

Kelvin Bwanaly

New Member
Joined
Mar 26, 2021
Posts
1
Reaction score
3
Habari
Naomba ushauri juu ya biashara ya nguo za watoto pamoja na mazaga zaga yanayo husu watoto
Nina 5 Milioni, io n pesa ya kununua mzigo tu, namaanisha mbali na kodi ya chumba
Je kwa uzoefu wa wenye kuifanya hii kazi, naweza toboa au laaa!!??
Location yangu ni Tunduma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…