Duka la reja reja

Duka la reja reja

0909Hekima

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2013
Posts
226
Reaction score
65
Habari zenu wana jamvi....
Ama baada ya salamu, leo nina jambo langu nataka niwahusishe ndugu zangu. Ni hili suala la duka la reja reja ( la mahitaji ya kila siku ya nyumbani ), baada ya kujitahidi kupata sehemu ambayo ni potential na pia kujaribu kuweka vitu kama mchele, sabuni, sukari, unga, na mafuta ya kupikia pamoja na ya kerosini, je wadhani ni kipi tena ktk jamii kina hitajio kubwa na hakina gharama ktk kukinunua na kukistore bila ku expire kwa muda mrefu ?? na nimeamua kuwakilisha kwenu mada kwa lengo la kufunguana kimawazo juu ya faida za aina ya biashara za duka la reja reja na pia mtanisaidia mimi kuwa na uelewa mkubwa juu ya biashara hii na pia kuwasaidia wale wenye ndoto hizi ila hawakujua waanzie wapi. Nawasilisha kwenu wana jamvi kwani mchango wenu utakuwa na tija kubwa kwa wale tunaojifunza ujasilia mali. Asante!!

Wenu mpenda busara na hekima... mwanajamvi.
 
Habari zenu wana jamvi....
Ama baada ya salamu, leo nina jambo langu nataka niwahusishe ndugu zangu. Ni hili suala la duka la reja reja ( la mahitaji ya kila siku ya nyumbani ), baada ya kujitahidi kupata sehemu ambayo ni potential na pia kujaribu kuweka vitu kama mchele, sabuni, sukari, unga, na mafuta ya kupikia pamoja na ya kerosini, je wadhani ni kipi tena ktk jamii kina hitajio kubwa na hakina gharama ktk kukinunua na kukistore bila ku expire kwa muda mrefu ?? na nimeamua kuwakilisha kwenu mada kwa lengo la kufunguana kimawazo juu ya faida za aina ya biashara za duka la reja reja na pia mtanisaidia mimi kuwa na uelewa mkubwa juu ya biashara hii na pia kuwasaidia wale wenye ndoto hizi ila hawakujua waanzie wapi. Nawasilisha kwenu wana jamvi kwani mchango wenu utakuwa na tija kubwa kwa wale tunaojifunza ujasilia mali. Asante!!

Wenu mpenda busara na hekima... mwanajamvi.

Kwanza nianze kwa kukupa pongezi kwa ujasili wa kuanzisha biashara ya duka

Sasa tuanze na hayo maneno yaliyokuwa highlighted kabla ya kushauri chochote; fanya research kwanza watu wa maeneo duka lako lilipo wanataka nini au wanakosa nini? tambua washindani wako ni kina nani wanaokuzunguka katika eneno lilipo duka lako? Wao wanauza nini kwenye maduka yao? Duka liko maeneno gani ya uswahilini au ushuani? Kingine linganisha bei zako na zao kwenye hivyo vitu vichahe ulivyokuwa navyo? Ukishapata hayo majibu nistue nitakupa mbinu za kivita za kwenye hii biashara kuhusu faida na jinsi ya kuisimamia.

Mwisho hii ni biashara ya kawaida tu na kutokana na maelezo yako bado sijaona hujasiria mali hapa.
 
Kwanza nianze kwa kukupa pongezi kwa ujasili wa kuanzisha biashara ya duka

Sasa tuanze na hayo maneno yaliyokuwa highlighted kabla ya kushauri chochote; fanya research kwanza watu wa maeneo duka lako lilipo wanataka nini au wanakosa nini? tambua washindani wako ni kina nani wanaokuzunguka katika eneno lilipo duka lako? Wao wanauza nini kwenye maduka yao? Duka liko maeneno gani ya uswahilini au ushuani? Kingine linganisha bei zako na zao kwenye hivyo vitu vichahe ulivyokuwa navyo? Ukishapata hayo majibu nistue nitakupa mbinu za kivita za kwenye hii biashara kuhusu faida na jinsi ya kuisimamia.

Mwisho hii ni biashara ya kawaida tu na kutokana na maelezo yako bado sijaona hujasiria mali hapa.

nashukuru sana kaka mkuu kwa kunirekebisha na pia ntajitahidi kufanya research juu ya mambo uliyonigusia na ntarudi kwao!
 
Back
Top Bottom