Duka la vifaa vya umeme.

Duka la vifaa vya umeme.

Feiaidan

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
237
Reaction score
129
Habari zenu wana jamvi!
Ninakusudia kufungua duka la vifaa vya umeme, naomba msaada juu ya uendeshaji wake, kima cha chini ambacho ni kizuri kuanzia mtaji, hasara na ulipaji wake, na changamoto zozote zinazohusiana na hayo.

Nawasikiliza.
 
Habari zenu wana jamvi! Ninakusudia kufungua duka la vifaa vya umeme, naomba msaada juu ya uendeshaji wake, kima cha chini ambacho ni kizuri kuanzia mtaji, hasara na ulipaji wake, na changamoto zozote zinazohusiana na hayo. Nawasikiliza.

kwa maoni yangu,duka vifaa vya umeme alihitaji mtaji mkubwa sana wakuanzia hasa kama hapo kwenye duka lako unatoa na huduma ya ufundi umeme wa majumbani ufundi wa vifaa rahisi vya kieletronics mfano.pasi,fan,heater n.k.
 
Back
Top Bottom