njamayo
Senior Member
- Jan 6, 2012
- 150
- 42
Habari zenyu wanaJF,
Ningependa kujua kama kuna duka/maduka yanayouza virutubishi au Supplements hapa Bongo kwetu. Kuna makampuni kama Ayurveda na mengine mengi tu yanayouza Hivi Virutubishi duniani. Au km wana maajenti hapa Bongo. Basi tujuzane.
Kazi njema.
Ningependa kujua kama kuna duka/maduka yanayouza virutubishi au Supplements hapa Bongo kwetu. Kuna makampuni kama Ayurveda na mengine mengi tu yanayouza Hivi Virutubishi duniani. Au km wana maajenti hapa Bongo. Basi tujuzane.
Kazi njema.