director Zion
Member
- Jan 2, 2017
- 67
- 30
Mkuu upo wapi ni pm tuzungumzee kidogo usiuze dukaBhabari ndugu zangu,nauza duka langu lililopo tandika dable kibin sokoni,duka Ni la vyakula na vitu mbali mbali mfano sukar,ngano,mafuta,sabuni na nk lenye mtaji wa sh 20,000,000.
Biashara Ni nzuri Sana na ofisi Ni nzuri ila Mimi nahama makazi; nahamisha familia namfuata mume wangu.
Hutojuta, mi mwenyewe naliuza huku roho inaniuma...
Changamkieni fursa utanishukuru baadaye....
Mawasiliano yangu Ni 0656 052164 kwa aliye serious tu ...ahsante
Nikweli,ila biashara Kama hii inahitaji ukaribu wa karibu sanaUsiliuze duka kama linafanya vizuri. Watu wako ulaya wanamiliki maduka bongo, usiogope.
Tafuta mtu mkabidhi huo mtaji aendelee nao awe anakupa kiasi mtakachokubaliana kila mwezi. Huku mtaji wako ukiwa palepale pia ukiongezeka
Mimi naweza hilo kwa uaminifu kabisa.
Sijakuelewa bossChukua laki 8 mkuu, ondoa ayo madawa ya mswaki
Nmeweka namba hapoMkuu upo wapi ni pm tuzungumzee kidogo usiuze duka
Aise watu mna mambo 😀😀😀Chukua laki 8 mkuu, ondoa ayo madawa ya mswaki
Hahahaha,usijarMoyo unatamani lakini hapa tu mwenye nyumba tangu tarehe moja nimemzimia cm
Kuliko kumuachia mtu bora uuze upunguze kesi na watu baadayeNikweli,ila biashara Kama hii inahitaji ukaribu wa karibu sana
Umeona eeehKuliko kumuachia mtu bora uuze upunguze kesi na watu baadaye
UsijaliSiuniachie tu ile duka Bimkubwa dunia yenyewe tunaicha.
Nmeweka namba hapoMauzo kwasiku yapoje?
Mil 20 ndo thamani ya duka,yaan bidhaa, Kuna store haipo kwenye pic hapo,kod Ni laki na nusu kwa mwezi inayoisha mwenz wa Tisa.ahsanteMtaji wa 20m
Kwa sasa imebaki mtaji wa sh ngapi? Na kodi imebaki ya miezi mingapi?
Lakini vitu ulivyo piga picha havina thamani ya 20m.