director Zion
Member
- Jan 2, 2017
- 67
- 30
- Thread starter
- #21
Usijali,nitaviweka hapoUngepiga picha na vitu vya chini au store sukari unga Michele madumu ya mafuta viroba vya sabuni n. K
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali,nitaviweka hapoUngepiga picha na vitu vya chini au store sukari unga Michele madumu ya mafuta viroba vya sabuni n. K
Wanakuchosha mkuu Mimi nashauri mtu mwenye uhitaji ni vema akafika eneo la tukio halafu akathaminisha kwa mahesabu halisia maana kwa vyovyote hakuna Mtu atalipia kwenye cm bila kuona na kufanya hesabu ili kupata uhakika wa kile anachonunuaMil 20 ndo thamani ya duka,yaan bidhaa, Kuna store haipo kwenye pic hapo,kod Ni laki na nusu kwa mwezi inayoisha mwenz wa Tisa.ahsante
Ni kweli mkuu usemalo, ahsanteWanakuchosha mkuu Mimi nashauri mtu mwenye uhitaji ni vema akafika eneo la tukio halafu akathaminisha kwa mahesabu halisia maana kwa vyovyote hakuna Mtu atalipia kwenye cm bila kuona na kufanya hesabu ili kupata uhakika wa kile anachonunua
Duh! Taratibu mkuuBadala ya kutuma picha za duka kwa vile umeamua kuambatanisha, umeajaza picha za sura yako... hatuchelewi kuwaza unajiuza!!
Akili yako ndipo ilipoishia hapo,sio mbaya kubishana na mpumbavu wa akili Kama wewBadala ya kutuma picha za duka kwa vile umeamua kuambatanisha, umeajaza picha za sura yako... hatuchelewi kuwaza unajiuza!!
Za muda huu wanafamilia ya JamiiForums, ahsante kwa ushirikiano wenu...duka limepata mteja.. ahsanteni sanaHabari ndugu zangu, nauza duka langu lililopo Tandika double kibin sokoni, duka ni la vyakula na vitu mbali mbali mfano sukari, ngano, mafuta, sabuni na nk lenye mtaji wa sh 20,000,000.
Biashara Ni nzuri Sana na ofisi ni nzuri ila mimi nahama makazi; nahamisha familia namfuata mume wangu.
Hutojuta, mimi mwenyewe naliuza huku roho inaniuma...
Changamkieni fursa utanishukuru baadaye....
Mawasiliano yangu Ni 0656 052164 kwa aliye serious tu ...ahsanteView attachment 1538174View attachment 1538174View attachment 1538175
Niachie jero.Za muda huu wanafamilia ya JamiiForums, ahsante kwa ushirikiano wenu...duka limepata mteja.. ahsanteni sana
HaahaaNiachie jero.
Hongera mkuuZa muda huu wanafamilia ya JamiiForums, ahsante kwa ushirikiano wenu...duka limepata mteja.. ahsanteni sana