SOLD: Duka limeshauzwa, Asanteni kwa ushirikiano wenu

SOLD: Duka limeshauzwa, Asanteni kwa ushirikiano wenu

Status
Not open for further replies.
Mil 20 ndo thamani ya duka,yaan bidhaa, Kuna store haipo kwenye pic hapo,kod Ni laki na nusu kwa mwezi inayoisha mwenz wa Tisa.ahsante
Wanakuchosha mkuu Mimi nashauri mtu mwenye uhitaji ni vema akafika eneo la tukio halafu akathaminisha kwa mahesabu halisia maana kwa vyovyote hakuna Mtu atalipia kwenye cm bila kuona na kufanya hesabu ili kupata uhakika wa kile anachonunua
 
Wanakuchosha mkuu Mimi nashauri mtu mwenye uhitaji ni vema akafika eneo la tukio halafu akathaminisha kwa mahesabu halisia maana kwa vyovyote hakuna Mtu atalipia kwenye cm bila kuona na kufanya hesabu ili kupata uhakika wa kile anachonunua
Ni kweli mkuu usemalo, ahsante
 
Badala ya kutuma picha za duka kwa vile umeamua kuambatanisha, umeajaza picha za sura yako... hatuchelewi kuwaza unajiuza!!
 
Badala ya kutuma picha za duka kwa vile umeamua kuambatanisha, umeajaza picha za sura yako... hatuchelewi kuwaza unajiuza!!
Akili yako ndipo ilipoishia hapo,sio mbaya kubishana na mpumbavu wa akili Kama wew
 
Habari ndugu zangu, nauza duka langu lililopo Tandika double kibin sokoni, duka ni la vyakula na vitu mbali mbali mfano sukari, ngano, mafuta, sabuni na nk lenye mtaji wa sh 20,000,000.

Biashara Ni nzuri Sana na ofisi ni nzuri ila mimi nahama makazi; nahamisha familia namfuata mume wangu.

Hutojuta, mimi mwenyewe naliuza huku roho inaniuma...

Changamkieni fursa utanishukuru baadaye....

Mawasiliano yangu Ni 0656 052164 kwa aliye serious tu ...ahsanteView attachment 1538174View attachment 1538174View attachment 1538175
Za muda huu wanafamilia ya JamiiForums, ahsante kwa ushirikiano wenu...duka limepata mteja.. ahsanteni sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom