Dulla kaachwa na Zai 🤣🤣🤣🤣

Dulla kaachwa na Zai 🤣🤣🤣🤣

Dulla Makabila alipompata Zai mbwe mbwe kibao leo kiko wapi??🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwa ninavyoona haraka haraka Dulla ndiye aliyempenda Zai ila Zai wala hakuwa na mapenzi kihiiivyo Dulla.

Pia ukichunguza kwa makini Zai haikuwa akili ya kawaida ku date na Dulla ni ile kukurupuka baada ya kutengana na bwana wake ndipo akaangukia kwa Dulla tena ndani ya muda mchache mnooo.

Masikini Dulla ,rasta kanyoleshwa akaamliwa anyoe kipara akanyoa,wigi kaveshwa lakini bado kapigwa kibuti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Jamaa alikuwa kama zezeta kwa Zai , mwenyewe utamkuta kwenye show anawaambia mashabiki zake "Nikisema Zaiii mnasema Lisa,Zai Lisaaa ,Zai Lisaaa " leo sijui itakuwaje maana ana show lakini amejawa na mawazo mno.

View attachment 2696399
kijana mwenyewe anajichubua na kupaka poda, angemiliki mwanamke kweli?
 
Dulla Makabila alipompata Zai mbwe mbwe kibao leo kiko wapi??🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwa ninavyoona haraka haraka Dulla ndiye aliyempenda Zai ila Zai wala hakuwa na mapenzi kihiiivyo Dulla.

Pia ukichunguza kwa makini Zai haikuwa akili ya kawaida ku date na Dulla ni ile kukurupuka baada ya kutengana na bwana wake ndipo akaangukia kwa Dulla tena ndani ya muda mchache mnooo.

Masikini Dulla ,rasta kanyoleshwa akaamliwa anyoe kipara akanyoa,wigi kaveshwa lakini bado kapigwa kibuti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Jamaa alikuwa kama zezeta kwa Zai , mwenyewe utamkuta kwenye show anawaambia mashabiki zake "Nikisema Zaiii mnasema Lisa,Zai Lisaaa ,Zai Lisaaa " leo sijui itakuwaje maana ana show lakini amejawa na mawazo mno.

View attachment 2696399
Zai mwenyewe nyapu inasoma 120000 km
 
So what?
Ukiwa unainba sengeli wewe ni wa kienyeji sana, usihangaike na classic chick's, hutodumu nao.
Kwa wakiwnyeji wenzako, dera ni vazi la kutokea, kwa ushuani dera ni vazi la kufanyia kazi za ndani, hata msibani hatuvaagi
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

Well noted
 
Sure ni demu wa uswahilini tuu hata muonekano wake unaonyesha hvyo

Kama kashindwa ndoa tatu ..kuna shida mahali
3 tu wajuba mnasema ana tatzo ngojeni hta angalau zifike 5 hivi rolmodel wake yuko huko mashamsham
 
Daaah! Zamani wanaume tulipimwa uwezo na ujasiri kwa kuua simba, sasa najiuliza mleta mada angeishi zama zile tungemuweka kundi gani? Mwanaume unakuwa mmbea!! Inashangaza sana
 
Dulla Makabila alipompata Zai mbwe mbwe kibao leo kiko wapi??🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwa ninavyoona haraka haraka Dulla ndiye aliyempenda Zai ila Zai wala hakuwa na mapenzi kihiiivyo Dulla.

Pia ukichunguza kwa makini Zai haikuwa akili ya kawaida ku date na Dulla ni ile kukurupuka baada ya kutengana na bwana wake ndipo akaangukia kwa Dulla tena ndani ya muda mchache mnooo.

Masikini Dulla ,rasta kanyoleshwa akaamliwa anyoe kipara akanyoa,wigi kaveshwa lakini bado kapigwa kibuti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Jamaa alikuwa kama zezeta kwa Zai , mwenyewe utamkuta kwenye show anawaambia mashabiki zake "Nikisema Zaiii mnasema Lisa,Zai Lisaaa ,Zai Lisaaa " leo sijui itakuwaje maana ana show lakini amejawa na mawazo mno.

View attachment 2696399
Huyu dem sasa naanza Kumwelewa Ochu muuza simu alichokuwa anafanya
 
Tupe ubuyu, huyo Ochu alikuwa anafanyaje?
Ochu alikuwa anamshushia vipigo vya hatari Dem kikipigwa kinaenda kupost makovu instagram. Alichozingua ochu ni alimpa mimba na bado akawa anaendelea kumpiga na kuna Moments alikata nae mawasiliano dem kilienda kwa Ochu mvua ikiwa inanyesha mwamba Hakufungua mlango akamwacha dem nje . Ile Mimba ilikuja kuharibika mwishoni na nafikiri Ochu alifanya vile Maana haikuwa ya kwake. Alichozingua tu Ni kumpiga mwanamke mjamzito
 
So what?
Ukiwa unainba sengeli wewe ni wa kienyeji sana, usihangaike na classic chick's, hutodumu nao.
Kwa wakiwnyeji wenzako, dera ni vazi la kutokea, kwa ushuani dera ni vazi la kufanyia kazi za ndani, hata msibani hatuvaagi
MWANAMKE CHEAP, USED, NDIO CLASSIC TENA?
AU CLASSIC UNAMAANISHA KUKOMAA?
AU CLASSIC KWA SBB YA PICHA ZA FILTER?
 
Back
Top Bottom