Dulla kaachwa na Zai 🤣🤣🤣🤣

Dulla kaachwa na Zai 🤣🤣🤣🤣

So what?
Ukiwa unainba sengeli wewe ni wa kienyeji sana, usihangaike na classic chick's, hutodumu nao.
Kwa wakiwnyeji wenzako, dera ni vazi la kutokea, kwa ushuani dera ni vazi la kufanyia kazi za ndani, hata msibani hatuvaagi

Oya mrembo nijiweke kwako bac cjawahi kula pic ya kishua ujuee
 
Dulla Makabila alipompata Zai mbwe mbwe kibao leo kiko wapi??🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwa ninavyoona haraka haraka Dulla ndiye aliyempenda Zai ila Zai wala hakuwa na mapenzi kihiiivyo Dulla.

Pia ukichunguza kwa makini Zai haikuwa akili ya kawaida ku date na Dulla ni ile kukurupuka baada ya kutengana na bwana wake ndipo akaangukia kwa Dulla tena ndani ya muda mchache mnooo.

Masikini Dulla ,rasta kanyoleshwa akaamliwa anyoe kipara akanyoa,wigi kaveshwa lakini bado kapigwa kibuti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Jamaa alikuwa kama zezeta kwa Zai , mwenyewe utamkuta kwenye show anawaambia mashabiki zake "Nikisema Zaiii mnasema Lisa,Zai Lisaaa ,Zai Lisaaa " leo sijui itakuwaje maana ana show lakini amejawa na mawazo mno.

View attachment 2696399
Wastara.
 
Hawa viumbe wakiona sehemu hela haina kazi ni km mbuzi kaona chatu na kibongo bongo demu wako ukimtangaza sna ni km umewatangazia vdume shindano la kumtoa hapo na sio kwmba wanashda nae bs tu wanakukomesha (unakulanyamaunanyamaza)
Hahaha
 
Ila wasanii bwana sijui nani kawafundisha kulana tigo naskia huyu akimkamata bwana mwenye hela anapeleka sodoma kama cherehani .pia ndo michezo ya mondi na semaji lake hili bwana jipya
 
Back
Top Bottom