M Mwanapropaganda JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 4,235 Reaction score 2,508 Oct 30, 2016 #41 Kweli watu ni vichaa, yaani mtu anapigwa ngumi hadi meno yanany'oka lakini bado anaambiwa ni mchezo na anwkubali!
Kweli watu ni vichaa, yaani mtu anapigwa ngumi hadi meno yanany'oka lakini bado anaambiwa ni mchezo na anwkubali!
Infopaedia JF-Expert Member Joined Oct 28, 2011 Posts 1,231 Reaction score 1,491 Oct 30, 2016 #42 Ila wachina kwa vitu fake....! Hata huyo bondia nina wasiwasi nae. Mwenye record zake aweke.
muhomakilo jr JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 15,301 Reaction score 13,858 Oct 30, 2016 #43 riro23 said: jina lina tatizo gan? Click to expand... Jina sio tatizo,utapeli wake tu ndiyo shida,siku hiyo kuna bondia kachomoa kuingia ulingoni,amekataa kupigana bila ya mkataba.
riro23 said: jina lina tatizo gan? Click to expand... Jina sio tatizo,utapeli wake tu ndiyo shida,siku hiyo kuna bondia kachomoa kuingia ulingoni,amekataa kupigana bila ya mkataba.
Mentor JF-Expert Member Joined Oct 14, 2008 Posts 20,328 Reaction score 23,909 Oct 30, 2016 #44 Boxer Profile, Wiki Born: 1997-05-22 Debut: 2015-05-09 Division: light heavyweight Stance: orthodox Height: 6′ 2″ / 188cm Weight: 175 lb / 79.38 kg
Boxer Profile, Wiki Born: 1997-05-22 Debut: 2015-05-09 Division: light heavyweight Stance: orthodox Height: 6′ 2″ / 188cm Weight: 175 lb / 79.38 kg
Mentor JF-Expert Member Joined Oct 14, 2008 Posts 20,328 Reaction score 23,909 Oct 30, 2016 #45 ranking 512 / 1,144 10 / 38 bouts 11 rounds 26 KOs 36% kashinda game 6 (4 KO) Kapigwa game 4 (2KO)