Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheka atakufa bora astaafu tuCheka alivyozima uwanjani.View attachment 978442
Cheka aendelee kuokota makopo tuWadau mwenye matokeo ya pambano kati ya Abdallah Pazi (Dulla Mbabe) na Francis Boniface Cheka ,aweke hapa.
Daaah Hatari Sana WallahView attachment VID-20181227-WA0007.mp4Walioko Karibu Na Cheka Wamwambie atundike gloves,vijana watamuua asifikiri boxer ni kama muziki..boxer ukongwe ni kustaafu na heshima yako..vijana watamuua.
Hakuna cha ufundi ni uzee wa Cheka tu mkuuHebu elezeni kiufundi pambano lilivyokua..
Hakuna cha ufundi ni uzee wa Cheka tu mkuu
Ni Nidhamu tu.
Mbona mbele mbele huko mabondia wana umri umeenda tu ila bado wanazichapa tena sana tu, for example Floyd is 41 years old ila still anapigana.
Uzee wa bongo ni tofauti kabisa na wa ulaya na marekani. Mfumo wa maisha, kipato n.k.Ni Nidhamu tu.
Mbona mbele mbele huko mabondia wana umri umeenda tu ila bado wanazichapa tena sana tu, for example Floyd is 41 years old ila still anapigana.