Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Bondia wa Tanzania Abdallah Pazi maarufu kama Dullah Mbabe amesema hawezi kwenda tena kupigana nchini Urusi na Kazakhstan kwa sababu mabondia wa kule ni wakali sana.
Pia amewatahadharisha mabondia wa Tanzania wanaokwenda kule kuwa mabondia wa nchi hizo huwa hawapoi na huwa wanapiga ngumi kama mawe.
Abdallah Pazi alikuwa na Pambano nchini Urusi Mei 20, 2021(Haijathibitika kama ataenda).
Pia amewatahadharisha mabondia wa Tanzania wanaokwenda kule kuwa mabondia wa nchi hizo huwa hawapoi na huwa wanapiga ngumi kama mawe.
Abdallah Pazi alikuwa na Pambano nchini Urusi Mei 20, 2021(Haijathibitika kama ataenda).