Dullah Mbabe: Mabondia wa Tanzania msiende Urusi na Kazakhstan

Dullah Mbabe: Mabondia wa Tanzania msiende Urusi na Kazakhstan

Mazoezi na lishe..walimu wazuri, vifaa vizuri na vya kutosha, mazingira mazuri ya mazoezi... Team kamili iliyojaa wajuzi kama
Mwalimu wa viungo
Mwalimu wa ngumi
Mpishi
Daktari
Mtaalam wa saikolojia
Mtaalam wa mavazi nknk
Hapo ni full package,vikitiamia hivi lazima mtu akae.
Inakuwaje mtu anapigwa ngumi ya kidevu alafu anakosa nguvu anakaa(anaanguka) wakati kilichopigwa ni kidevu na sio miguu?
 
Hapo ni full package,vikitiamia hivi lazima mtu akae.
Inakuwaje mtu anapigwa ngumi ya kidevu alafu anakosa nguvu anakaa(anaanguka) wakati kilichopigwa ni kidevu na sio miguu?
Inakuwaje mtu anapigwa ngumi ya kidevu alafu anakosa nguvu anakaa(anaanguka) wakati kilichopigwa ni kidevu na sio miguu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Unajua hakuna ngumi mbaya kama hiyo ya chini ya kidevu...inaitwa upper cut..ukipigwa moja maridadi lazima miguu ikose ushirikiano
 
Awaambie kule Russia kuna jimbo linaitwa caucus au kavkavi

Kuna time inaitwa f mahachkala alishachezea Eto.

Huko mi waislamu tupu nishawahi kwenda kabisa.
Ukipata bondia wa kutoka huko usiende lazima ule kichapo.

Wanaanza ndondi wakiwa kwenye matumbo ya mama zao .

Wamuulize MC Gregor alichezea kipigo tena toka kwa mtoto.
Jamaa hawa warusi wa caucus siku hio walifanya sherehe mji mzima

Kwa hio anachowaambia dula wala sio utani wala mzaha
 
hi kauli si mara ya kwanza kuisema, aliwahi kuhojiwa kipindi flan katika runinga flani na akayasema haya
 
Inakuwaje mtu anapigwa ngumi ya kidevu alafu anakosa nguvu anakaa(anaanguka) wakati kilichopigwa ni kidevu na sio miguu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Unajua hakuna ngumi mbaya kama hiyo ya chini ya kidevu...inaitwa upper cut..ukipigwa moja maridadi lazima miguu ikose ushirikiano
ukipigwa vizuri unapaaaa
 
ukipigwa vizuri unapaaaa
editable-vector-silhouette-of-boxer-knocking-out-his-opponent-with-E6D7AJ.jpg
 
si naskia kuna mabondia wameiba laptop rusia,aibu kweli
 
Kwa sisi tuliofika Russia tunakubaliana na Maelezo ya Dulla kwa asilimia 100% unaweza ukapigwa na kijana mdogo usipokua makini.
 
Warusi sio watu kabisa jamaa yuko sahihi kabisa..msipeleke njaa zenu huko watu wanapiga ngumi jiwe
 
Ngumi ziko USA, acheni utani nyie, dunia nzima, ngumi ziko kwa Black Americans. Kule unapigwa ngumi hurudi tena kupigana na Ambulance inakaa karibu na ulingo, ndio maana Boxing mikanda yote karibu iko USA katika historia. Tena uzito wa kati au heavy weight au uzito wowote USA ni hatari sana in boxing.
 
Mazoezi na lishe..walimu wazuri, vifaa vizuri na vya kutosha, mazingira mazuri ya mazoezi... Team kamili iliyojaa wajuzi kama
Mwalimu wa viungo
Mwalimu wa ngumi
Mpishi
Daktari
Mtaalam wa saikolojia
Mtaalam wa mavazi nknk
Kweli uende ukutana akina mjomba kovu toplov kovich
 
Back
Top Bottom