Dullah Mbabe na wenzake wapoteza mapambano yao nchini Urusi

Dullah Mbabe na wenzake wapoteza mapambano yao nchini Urusi

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Abdallah Pazi maarufu kama Dullah Mbabe amepoteza pambano lake dhidi ya Pavel Silyagin lililopiganwa Moscow, Urusi wakiwa wanawania mkanad wa Asian Pacific mkanda wa WBO ambapo alishindwa kwa points.

Aidha Twaha Kassimu (Twaha Kiduku) amepoteza kwa points katika pambano lake dhidi ya Bek Nurmaganbet. Huku Nasibu Ramadhani akiwa ameshindwa kwa Knock Out katika pambano lake dhidi ya Yergniy Pavlov.

Alphonce Mchumiatumbo atapigana na Vartan Arutyunyan, leo Mei 21, 2021 nchini Urusi.
 
Abdallah Pazi maarufu kama Dullah Mbabe amepoteza pambano lake dhidi ya Pavel Silyagin lililopiganwa Moscow, Urusi wakiwa wanawania mkanad wa Asian Pacific mkanda wa WBO ambapo alishindwa kwa points.

Aidha Twaha Kassimu (Twaha Kiduku) amepoteza kwa points katika pambano lake dhidi ya Bek Nurmaganbet. Huku Nasibu Ramadhani akiwa ameshindwa kwa Knock Out katika pambano lake dhidi ya Yergniy Pavlov.

Alphonce Mchumiatumbo atapigana na Vartan Arutyunyan, leo Mei 21, 2021 nchini Urusi.
Maneno huuma.... Wamedundwa kweli
 
Abdallah Pazi maarufu kama Dullah Mbabe amepoteza pambano lake dhidi ya Pavel Silyagin lililopiganwa Moscow, Urusi wakiwa wanawania mkanad wa Asian Pacific mkanda wa WBO ambapo alishindwa kwa points.

Aidha Twaha Kassimu (Twaha Kiduku) amepoteza kwa points katika pambano lake dhidi ya Bek Nurmaganbet. Huku Nasibu Ramadhani akiwa ameshindwa kwa Knock Out katika pambano lake dhidi ya Yergniy Pavlov.

Alphonce Mchumiatumbo atapigana na Vartan Arutyunyan, leo Mei 21, 2021 nchini Urusi.
kawaida yao uachaiwi haupandi ndege
 
Huko ndo wanapopiga ngumi Kama umepigwa na jiwe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wamejitahidi sana
Kushindwa kwa point sio jambo la kucheka
 
Twaha yuko vizuri defense yake kama ya Israel yaani ingekuwa yeye ndio amepambana na yule wa Dulla angempiga. Dula raundi ya mwisho ni Mungu aliweka mkono wake maana zilikuwa zinamiminika kama maji karibu aombe poo
 
Ila mabondia weusi body ziko vizuri zina tisha ila ulingoni wanavyopelekwa mchaka mchaka hata uwezi amini. Nasibu Ramadhani kapelekewa moto na kijamaa kidogo dogo 😂😂😂 nahisi aliona kifo kinamjia ikabidi alale tuu😆
 
Hawa Russians ngumi wanaanzia zile za mitaani street fighting na wanadundana haswa
Sasa akija ulingoni ndio kabisa
 
Back
Top Bottom