Kupigwa kwa pointi ugenini, na maoambano haya yanwyooneshwa na chanel za kichochoroni unategemea nini.. Si km tunavyowafanyia uhuni wakijaga kwetu tu..
Wamejitahidi sana, nawapa hongera ndugu zangu maana warusi sio watu wazuri.
Azam tv kwanini wanashindwa kutupa live coverage ya mapambano Kama haya? Azam msituangushe bana, bakbresa anayo pesa msiwe wabaili namna hiyo mnatunyima uhondo.