Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
FNL ilibamba kipindi yupo sam huyo chawa billsepenga ndio alikuja kuharibu anamaswali ya kiudaku udaku muda wote kalewaLakini Dullah Planet hapa kati alirudi FNL, na kipindi kilichangamka, wakamuongeza jamaa mmoja akawa anatengeneza Cocktail anaitwa Ibiza Boy kipindi kikaanza kuwa maarifu lakini kwa bahati mbaya Ibiza Boy akafariki kwa ajali, lakini Bado Dullah Planet akaendelea nacho akiwa na jamaa mmoja hivi mfupi anaitwa Bilisepenga mpaka Dullah anaaga East Africa kipindi kilikuwa kinaeleweka
Huyo Mtoto tabia yake ya Kubana Pua akiongea, Kurembua Macho na Kujilambalamba Ulimi ilinifanya nisiwe na sitokuwa Fan wake.Itakuwa ni sherehe na shwangwe sana huko baada ya kuaga
Mwamba GENTAMYCINE atakuja kuthibitisha hili.
Wengi wanaondoka IPP sababu hawalipwi vizuri lakini pia ni moja ya media zinazoendeshwa professionally Ila hawajui kuwabrand presenters wao. Ndio maana usishangae mtu akitoka EATV akapata jina kubwa kwinginekoSam misago alitaka kuongezewa mshahara baada ya kipindi chake cha fnl kupata watazamaji wengi
Huyu pia dulla alitakiwa kuondoka muda ila eatv walishagundua ataacha gepu wakawa wanamuongeza posho kuna muda walimpa hadi gari
Au nimezeeka kuzeeka 😁😁 mbona jamaa huwa namuona kama ameharibu ubora fnl.Ni wakati sasa wa Bill Sepwise kukimbiza kipindi cha FNL
Nadhani wasafi kama namuona hukoJe we unahisi atakua anaelekea Media gani... Kwa ubashiri maana hizi media zinanyanganyana sana watangazaji
Dula habani pua ana sauti amazing na speed ya kuongea bila kukoseaKinoma noma... Pia sauti yake inafanya kipindi kinakuwa cha kipekee ni kama anabana pua
Wewe kwenu si hakuna TV, utamjuaje huyu.... Mshamba mmoja tu wewe, TV kwenu kama mnayo basi mmenunua Juzi
Usichukulie ni jambo jepesi kama mtangazaji anaanzisha show nakupata wazaminiTV tu, hata redio
Mtu mwenye akili timamu kwamba anamjua Somebody called Dullah, what the heck, wanaomjua ni wenye akili ndogo
Narudia tena
1. Wavaa milegezo
2. Wanyoa viduku
3.Wanaojichubua
4. Wavaa suruali za kubana
We mseng*eSami Tetesi zipo ni shoga na ana you tube channel yake
Imeisha hio papaiWe mseng*e
Mzee Miaka inakimbia hata kama ingekuwa 2011 na sio 2008 BDO ingekuwa miaka 12Miaka 15 mbna muongo s jus tu nikiwa chuo 2011 ndio ameingia
Mzee wa mbwinde umevamia internetHuyo atakua anajulikana na wavaa milegezo na wanyoa viduku
Usichukulie ni jambo jepesi kama mtangazaji anaanzisha show nakupata wazamini
Halafu unaonekana ni mpumbafu kusema humjui mtangazaji aliyeajiriwa kwenye media kubwa ya eatv kwa miaka 15 hii ni hazina kubwa sana
Aaaaah kipindi kinaenda kuwa mfumbeMkali wa kipindi cha radio cha Planet Bongo na mkali wa kipindi cha TV cha Friday Night Live "Dullah Planet" wa kampuni ya utangazaji ya East Africa Radio & TV, siku ya leo ametangaza kuaga Rasmi Kituo hicho cha utangazaji. Kupitia Viwanja mlimani city mtangazaji huyo amefanya sherehe fupi ya kuaga na shukrani nyingi akizimwaga kwa wafanyakazi wenzake.
View attachment 2770407
Alisema
"Naomba radhi kwa yeyote nitakayekuwa nimemkwaza katika miaka yangu 15 ya utumishi wangu pale East Africa TV/East Africa Radio kwa sababu binadam tunatofautiana kufikiria unaweza ukafanya kitu kwa nia njema mwingine ikamkera na ikapelekea kukuchukia kabisa" -
"Najua nimefanya kazi nzuri najipongeza mwenyewe. Kwa sasa nitaenda break kidogo najua maswali yatukuwa mengi kuuliza naenda wapi au radio gani? Ikifika time ya come back kila mmoja atajua na ataelewa Dullah anafanya nini" -
"Nimeinsipire watu wengi kufanya utangazazaji na watangazaji wanaochipukia wana la kujifunza kutoka kwangu. Nimefanya kazi kwenye Media moja miaka 15".
"Dullah haachi utangazaji ila anaondoka East Africa TV na East Africa Radio. Mimi ni mtangazaji na bado naudai kinoma utangazaji, nabadili tu mazingira ya kazi".
Dullah Planet akizungumza na waandishi wa habari Mlimani City
umebaka mada hizi mada sio za umri wako umri umekutupa mkono penda vya muda wakoTV tu, hata redio
Mtu mwenye akili timamu kwamba anamjua Somebody called Dullah, what the heck, wanaomjua ni wenye akili ndogo
Narudia tena
1. Wavaa milegezo
2. Wanyoa viduku
3.Wanaojichubua
4. Wavaa suruali za kubana
niseme ukweli, nilikuwa simjui kabla, ndio namwona tangu juzi kwenye mitandao anatrend.Mkali wa kipindi cha radio cha Planet Bongo na mkali wa kipindi cha TV cha Friday Night Live "Dullah Planet" wa kampuni ya utangazaji ya East Africa Radio & TV, siku ya leo ametangaza kuaga Rasmi Kituo hicho cha utangazaji. Kupitia Viwanja mlimani city mtangazaji huyo amefanya sherehe fupi ya kuaga na shukrani nyingi akizimwaga kwa wafanyakazi wenzake.
View attachment 2770407
Alisema
"Naomba radhi kwa yeyote nitakayekuwa nimemkwaza katika miaka yangu 15 ya utumishi wangu pale East Africa TV/East Africa Radio kwa sababu binadam tunatofautiana kufikiria unaweza ukafanya kitu kwa nia njema mwingine ikamkera na ikapelekea kukuchukia kabisa" -
"Najua nimefanya kazi nzuri najipongeza mwenyewe. Kwa sasa nitaenda break kidogo najua maswali yatukuwa mengi kuuliza naenda wapi au radio gani? Ikifika time ya come back kila mmoja atajua na ataelewa Dullah anafanya nini" -
"Nimeinsipire watu wengi kufanya utangazazaji na watangazaji wanaochipukia wana la kujifunza kutoka kwangu. Nimefanya kazi kwenye Media moja miaka 15".
"Dullah haachi utangazaji ila anaondoka East Africa TV na East Africa Radio. Mimi ni mtangazaji na bado naudai kinoma utangazaji, nabadili tu mazingira ya kazi".
Dullah Planet akizungumza na waandishi wa habari Mlimani City
Ssebo jamaa ilikuwa lazima awe na watoto wawili watatu pembeni wakali kwenye kipindi 😄Kutokana na kizazi chako una haki ya kusema hivyo....sisi wahenga kwenye FNL tulikuwa tunaluka na yule mganda aisee haikuwa show ya kumiss enzi hizo.
Unamkumbuka Salim Kikeke wa BBC?Mkali wa kipindi cha radio cha Planet Bongo na mkali wa kipindi cha TV cha Friday Night Live "Dullah Planet" wa kampuni ya utangazaji ya East Africa Radio & TV, siku ya leo ametangaza kuaga Rasmi Kituo hicho cha utangazaji. Kupitia Viwanja mlimani city mtangazaji huyo amefanya sherehe fupi ya kuaga na shukrani nyingi akizimwaga kwa wafanyakazi wenzake.
View attachment 2770407
Alisema
"Naomba radhi kwa yeyote nitakayekuwa nimemkwaza katika miaka yangu 15 ya utumishi wangu pale East Africa TV/East Africa Radio kwa sababu binadam tunatofautiana kufikiria unaweza ukafanya kitu kwa nia njema mwingine ikamkera na ikapelekea kukuchukia kabisa" -
"Najua nimefanya kazi nzuri najipongeza mwenyewe. Kwa sasa nitaenda break kidogo najua maswali yatukuwa mengi kuuliza naenda wapi au radio gani? Ikifika time ya come back kila mmoja atajua na ataelewa Dullah anafanya nini" -
"Nimeinsipire watu wengi kufanya utangazazaji na watangazaji wanaochipukia wana la kujifunza kutoka kwangu. Nimefanya kazi kwenye Media moja miaka 15".
"Dullah haachi utangazaji ila anaondoka East Africa TV na East Africa Radio. Mimi ni mtangazaji na bado naudai kinoma utangazaji, nabadili tu mazingira ya kazi".
Dullah Planet akizungumza na waandishi wa habari Mlimani City