Dullah Planet aaga rasmi EATV

Dullah Planet aaga rasmi EATV

Lakini Dullah Planet hapa kati alirudi FNL, na kipindi kilichangamka, wakamuongeza jamaa mmoja akawa anatengeneza Cocktail anaitwa Ibiza Boy kipindi kikaanza kuwa maarifu lakini kwa bahati mbaya Ibiza Boy akafariki kwa ajali, lakini Bado Dullah Planet akaendelea nacho akiwa na jamaa mmoja hivi mfupi anaitwa Bilisepenga mpaka Dullah anaaga East Africa kipindi kilikuwa kinaeleweka
FNL ilibamba kipindi yupo sam huyo chawa billsepenga ndio alikuja kuharibu anamaswali ya kiudaku udaku muda wote kalewa
 
Sam misago alitaka kuongezewa mshahara baada ya kipindi chake cha fnl kupata watazamaji wengi

Huyu pia dulla alitakiwa kuondoka muda ila eatv walishagundua ataacha gepu wakawa wanamuongeza posho kuna muda walimpa hadi gari
Wengi wanaondoka IPP sababu hawalipwi vizuri lakini pia ni moja ya media zinazoendeshwa professionally Ila hawajui kuwabrand presenters wao. Ndio maana usishangae mtu akitoka EATV akapata jina kubwa kwingineko
 
Wewe kwenu si hakuna TV, utamjuaje huyu.... Mshamba mmoja tu wewe, TV kwenu kama mnayo basi mmenunua Juzi

TV tu, hata redio

Mtu mwenye akili timamu kwamba anamjua Somebody called Dullah, what the heck, wanaomjua ni wenye akili ndogo

Narudia tena

1. Wavaa milegezo
2. Wanyoa viduku
3.Wanaojichubua
4. Wavaa suruali za kubana
 
TV tu, hata redio

Mtu mwenye akili timamu kwamba anamjua Somebody called Dullah, what the heck, wanaomjua ni wenye akili ndogo

Narudia tena

1. Wavaa milegezo
2. Wanyoa viduku
3.Wanaojichubua
4. Wavaa suruali za kubana
Usichukulie ni jambo jepesi kama mtangazaji anaanzisha show nakupata wazamini

Halafu unaonekana ni mpumbafu kusema humjui mtangazaji aliyeajiriwa kwenye media kubwa ya eatv kwa miaka 15 hii ni hazina kubwa sana
 
Usichukulie ni jambo jepesi kama mtangazaji anaanzisha show nakupata wazamini

Halafu unaonekana ni mpumbafu kusema humjui mtangazaji aliyeajiriwa kwenye media kubwa ya eatv kwa miaka 15 hii ni hazina kubwa sana

Simjui dulla, nawajua watangazaji wenye hadhi ya utangazaji, wakati Ivona Kamuntu anahama Star TV alifanya Press Mlimani city??

Baruan Muhuza amekaa over 15+ RFA alifanya sherehe na matangazo anapohamia Azam

Hao wahuni wenu mnawajua nyinyi wavaa Supra na Vest mitaani
 
Mkali wa kipindi cha radio cha Planet Bongo na mkali wa kipindi cha TV cha Friday Night Live "Dullah Planet" wa kampuni ya utangazaji ya East Africa Radio & TV, siku ya leo ametangaza kuaga Rasmi Kituo hicho cha utangazaji. Kupitia Viwanja mlimani city mtangazaji huyo amefanya sherehe fupi ya kuaga na shukrani nyingi akizimwaga kwa wafanyakazi wenzake.
View attachment 2770407
Alisema
"Naomba radhi kwa yeyote nitakayekuwa nimemkwaza katika miaka yangu 15 ya utumishi wangu pale East Africa TV/East Africa Radio kwa sababu binadam tunatofautiana kufikiria unaweza ukafanya kitu kwa nia njema mwingine ikamkera na ikapelekea kukuchukia kabisa" -

"Najua nimefanya kazi nzuri najipongeza mwenyewe. Kwa sasa nitaenda break kidogo najua maswali yatukuwa mengi kuuliza naenda wapi au radio gani? Ikifika time ya come back kila mmoja atajua na ataelewa Dullah anafanya nini" -

"Nimeinsipire watu wengi kufanya utangazazaji na watangazaji wanaochipukia wana la kujifunza kutoka kwangu. Nimefanya kazi kwenye Media moja miaka 15".

"Dullah haachi utangazaji ila anaondoka East Africa TV na East Africa Radio. Mimi ni mtangazaji na bado naudai kinoma utangazaji, nabadili tu mazingira ya kazi".

Dullah Planet akizungumza na waandishi wa habari Mlimani City
Aaaaah kipindi kinaenda kuwa mfumbe
 
TV tu, hata redio

Mtu mwenye akili timamu kwamba anamjua Somebody called Dullah, what the heck, wanaomjua ni wenye akili ndogo

Narudia tena

1. Wavaa milegezo
2. Wanyoa viduku
3.Wanaojichubua
4. Wavaa suruali za kubana
umebaka mada hizi mada sio za umri wako umri umekutupa mkono penda vya muda wako
 
Mkali wa kipindi cha radio cha Planet Bongo na mkali wa kipindi cha TV cha Friday Night Live "Dullah Planet" wa kampuni ya utangazaji ya East Africa Radio & TV, siku ya leo ametangaza kuaga Rasmi Kituo hicho cha utangazaji. Kupitia Viwanja mlimani city mtangazaji huyo amefanya sherehe fupi ya kuaga na shukrani nyingi akizimwaga kwa wafanyakazi wenzake.
View attachment 2770407
Alisema
"Naomba radhi kwa yeyote nitakayekuwa nimemkwaza katika miaka yangu 15 ya utumishi wangu pale East Africa TV/East Africa Radio kwa sababu binadam tunatofautiana kufikiria unaweza ukafanya kitu kwa nia njema mwingine ikamkera na ikapelekea kukuchukia kabisa" -

"Najua nimefanya kazi nzuri najipongeza mwenyewe. Kwa sasa nitaenda break kidogo najua maswali yatukuwa mengi kuuliza naenda wapi au radio gani? Ikifika time ya come back kila mmoja atajua na ataelewa Dullah anafanya nini" -

"Nimeinsipire watu wengi kufanya utangazazaji na watangazaji wanaochipukia wana la kujifunza kutoka kwangu. Nimefanya kazi kwenye Media moja miaka 15".

"Dullah haachi utangazaji ila anaondoka East Africa TV na East Africa Radio. Mimi ni mtangazaji na bado naudai kinoma utangazaji, nabadili tu mazingira ya kazi".

Dullah Planet akizungumza na waandishi wa habari Mlimani City
niseme ukweli, nilikuwa simjui kabla, ndio namwona tangu juzi kwenye mitandao anatrend.
 
Mkali wa kipindi cha radio cha Planet Bongo na mkali wa kipindi cha TV cha Friday Night Live "Dullah Planet" wa kampuni ya utangazaji ya East Africa Radio & TV, siku ya leo ametangaza kuaga Rasmi Kituo hicho cha utangazaji. Kupitia Viwanja mlimani city mtangazaji huyo amefanya sherehe fupi ya kuaga na shukrani nyingi akizimwaga kwa wafanyakazi wenzake.
View attachment 2770407
Alisema
"Naomba radhi kwa yeyote nitakayekuwa nimemkwaza katika miaka yangu 15 ya utumishi wangu pale East Africa TV/East Africa Radio kwa sababu binadam tunatofautiana kufikiria unaweza ukafanya kitu kwa nia njema mwingine ikamkera na ikapelekea kukuchukia kabisa" -

"Najua nimefanya kazi nzuri najipongeza mwenyewe. Kwa sasa nitaenda break kidogo najua maswali yatukuwa mengi kuuliza naenda wapi au radio gani? Ikifika time ya come back kila mmoja atajua na ataelewa Dullah anafanya nini" -

"Nimeinsipire watu wengi kufanya utangazazaji na watangazaji wanaochipukia wana la kujifunza kutoka kwangu. Nimefanya kazi kwenye Media moja miaka 15".

"Dullah haachi utangazaji ila anaondoka East Africa TV na East Africa Radio. Mimi ni mtangazaji na bado naudai kinoma utangazaji, nabadili tu mazingira ya kazi".

Dullah Planet akizungumza na waandishi wa habari Mlimani City
Unamkumbuka Salim Kikeke wa BBC?
Nimekukumbusha tu!
 
Back
Top Bottom