Dullsykes amekazia kama unataka wanawake wazuri basi tafuta pesa ama umaarufu.

Dullsykes amekazia kama unataka wanawake wazuri basi tafuta pesa ama umaarufu.

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Inakata sana unakutana na Mwanamke mzuri unamfeel unajaribu kumuapproach bahati mbaya bibie anakaza kwa sababu ya status uliyonayo anashow disrespect sababu tu huna kitu.

Kuna member humu alishawahi kuandika wanawake wazuri ni kwa ajili ya mwanaume mwenye power binafsi napenda kuwakumbusha wadau tuendelee kutafuta pesa au kama unaweza kuwa maarufu hata kwa level ya mtaa sio mbaya wakianza kujileta peleka moto tu but remember to practice safe sex magonjwa ya zinaa yapo.
 
Inakata sana unakutana na Mwanamke mzuri unamfeel unajaribu kumuapproach bahati mbaya bibie anakaza kwa sababu ya status uliyonayo anashow disrespect sababu tu huna kitu.

Kuna member humu alishawahi kuandika wanawake wazuri ni kwa ajili ya mwanaume mwenye power binafsi napenda kuwakumbusha wadau tuendelee kutafuta pesa au kama unaweza kuwa maarufu hata kwa level ya mtaa sio mbaya wakianza kujileta peleka moto tu but remember to practice safe sex magonjwa ya zinaa yapo.
Hawa ukiwa nanhela usiangaike kuoa wee gegeda tupa kule tena waambie upfront kabisa listen am not a one woman man
 
Hawa ukiwa nanhela usiangaike kuoa wee gegeda tupa kule tena waambie upfront kabisa listen am not a one woman man
True dat Mwanamke wa kumthamini ni yule ambaye anaejali kipindi huna kitu..

If you don't love me now don't love me later cause my later will be much greater it's only prove that you love my paper
 
True dat Mwanamke wa kumthamini ni yule ambaye anaejali kipindi huna kitu..

If you don't love me now don't love me later cause my later will be much greater it's only prove that you love my paper
Wao wanaagalia je huyu jamaa anaweza nipa lifestyle i desire?
Ndio maana siku ndalama hamna nanwao wanasepa.
So kidume kuwa nanhela na uwe na wanawake wa3 nankuendelea ataka kuna special one but always have 3 or more women
 
Pesa ndio zinapelekea vijana mpakatwe daslam..vijana mnapenda kitonga..mnaweka rehani vijambio.
 
Back
Top Bottom