Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Jamaa ameuliza swali la kijinga sanaWatu wapo sahihi, ile ni media sio kijiwe cha wahuni. Kwa mada yao walitakiwa kuongelea issues na sio watu.
Halafu imagine anauliza eti Chid anatumia madawa gani, aaaahhhh swali gani hili mpuuzi huyo
Na kwanini wewe utuulize sisi..? umetuona sisi wambea sana et..?Kwanza kwa nini swali la chid aulizwe dully?
Mh! tulia tupo kwaresma na Ramadhan haya mambo utayaamsha hizi fungo zikiisha sawa toto..?😂Jamani Dully mbona hazeekii?? Udongo gani huo....
Yuko kama wine inazeeka na ubora wake...
Safi sana. Hebu fikiria Dully angesapot huo ujinga wa huyo chawa wa Clouds halafu baadae akutane na Chid huko kitaa angeficha wapi uso wake?Wakuu
Gwiji wa Bongo Fleva, Dully Sykes amuwashia moto kati kati ya kipindi mtangazaji wa Clouds FM, Soudy Brown kisa Chidi Benz
View attachment 3269447
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kudos kwa Dully Sykes.
Hii mingese ya clouds imezidi kujikuta wajuaji.
Kuna sehemu yenye all wrong characters kama Clouds. Mateja ya kutosha, makuchu ndio usiseme.
Umeonaee! au swali la namba hiyo angeulzwa chidi face to face studio pakechafuka.Safi sana. Hebu fikiria Dully angesapot huo ujinga wa huyo chawa wa Clouds halafu baadae akutane na Chid huko kitaa angeficha wapi uso wake?
Mkuu mbona dully kajibu vzuri tuu, hivi unadhan ingekuwa huko states mtu kama 50 swali kama hilo, sudi sngechezea mazafaka,asihol, pisi of shits za kutosha.Wote Dully na Soudy wanamakosa.
-Hauwezi kutukana On Air ,mwanzo alijibu vizuri tu kwamba sijui angeendelea tu na msimamo wake vile vile ,angeuliza tena angemjibu tu hilo swali ulipaswa umuulize chidbenz mwenyewe basi.
Watangazaji wanapenda kuuliza maswali ya kuku-provoke wasanii mateja wapo tu wengi ilitakiwa aulize in general na si kum-mention chid.
Mwenzako huyo.Sudy ana masikhara sana 😅😅😅
Ivi unajua uchungu wa kuulizwa maswali ya kijinga kuhusu your big homie...Wote Dully na Soudy wanamakosa.
-Hauwezi kutukana On Air ,mwanzo alijibu vizuri tu kwamba sijui angeendelea tu na msimamo wake vile vile ,angeuliza tena angemjibu tu hilo swali ulipaswa umuulize chidbenz mwenyewe basi.
Watangazaji wanapenda kuuliza maswali ya kuku-provoke wasanii mateja wapo tu wengi ilitakiwa aulize in general na si kum-mention chid.
Sudi mambo vepePumbavu yeye😂
Lina maana gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
"Makuchu" hili neno kuna mtu alikua analipenda sanaa,
Nikaja kujua maana yake, nlichoka.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Msenge/Choko.Lina maana gani
Nimelia Sana kwa sababu hili nimeshamwambia mzazi wangu. Niliambiwa linamaanisha mshuwa/dingi.Msenge/Choko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Kama hili swala lilikwisha ongelewa na Chid mwenyewe bila shaka aliweka wazi madawa yaliyomdhuru, sasa kulikuwa na nia gani kumuuliza Dully madawa aliyotumia Chid Benz? The announcer’s question was intentional to OUT Dully !!Unajuaje ni jokes na si ku raise point serious?
Mbona Chidi Benz mwenyewe kashaongelea sana haya mambo?
Lakini hata huyo Chidi Benz kashamuongelea Ngwear kama mfano katika kuongelea janga la madawa ya kulevya.
View: https://youtu.be/MePW_iGdnjI?si=l7FVywj04UJjLtv7
Yes kuna maswali ya maudhi lakini inabidi upige kifua kuyakabili kisomi ,kwani alivyomjibu mwanzo sijui mbona lilikuwa jibu zuri tu? <aswali ya Kiwaki unajibu kiwaki vile vile ...ANgemwambia tu kwamba ili swali ilipaswaa ajibu Chid Benz mwenyewe ,akiendelea unajibu no comment...no comment mpaka aswitch mada.Ivi unajua uchungu wa kuulizwa maswali ya kijinga kuhusu your big homie...
Chidi anapitia anayopita it's right..ila chidi binadam sana na kasaidia wasanii wengi sana kipindi Yuko sawa na yuko kwenye peak yake,
Ao wapumbav wa clouds ndo walifanya fitna nyingi kumshusha Leo mtu anauliza swali kinafki nafki..
Angefanya kama Birdman " Put some respek on my name".Mkuu mbona dully kajibu vzuri tuu, hivi unadhan ingekuwa huko states mtu kama 50 swali kama hilo, sudi sngechezea mazafaka,asihol, pisi of shits za kutosha.
Soudy anaongeaga kwa sifa za kuchanganyamsha kijiji mpaka kwenye vitu vya kijingaDully yuko sahihi sana
Huyo ni pimbi sana