Kumfumaster97
JF-Expert Member
- Sep 18, 2024
- 354
- 372
soudy ana upumbavu flani ambapo watu kama hao wapoJinsi Dully amejibu ni kama hiko kitu kimemkwaza muda mrefu sana... unajua ukikua unagundua Hakuna haja ya kumcheka mtu jambo kisa ww hufanyi hivyo ni aina fulani ya utoto kama sio upumbavu! Na hawa wanahabari uchwara wamezoea sana
akili za kijinga sanaaaWatu wapo sahihi, ile ni media sio kijiwe cha wahuni. Kwa mada yao walitakiwa kuongelea issues na sio watu.
Halafu imagine anauliza eti Chid anatumia madawa gani, aaaahhhh swali gani hili mpuuzi huyo
kwan Dully ni msemaj wa Chid ? uswahili utawatoka lin ? kama una jambo na Chid kwann usimwiteEwaaa, hata mimi nimeshangaa sana, nilitegemea waje na hoja kwamba chidi anasingiziwa
usimamiz baada ya kutoka sober ni duni , anarud kuish na watu wale wale ambao ni wahanga wa madawa na lzm aishi kama wao ili ale ugaliNliskia Chidibenz amepelekwa tena sober, Mara ya mwisho namuona Msasani Maandazi road, hali yake ilikua mbaya sana
hapo alitaka kumuingiza Dully kwenye matatizo , baada ya interview angeitwa polisi kumalizia ushahidi wake dhidi ya Chid , usisahau taifa halitambui katumiz ya bangi kisheriaKitendo cha Dully kumwita Sudy 'pumbavu' nalo tuliangalie.
Ningekuwa na mamlaka wote ningewapandisha kizimbani.
Very truthWakuu
Gwiji wa Bongo Fleva, Dully Sykes amuwashia moto kati kati ya kipindi mtangazaji wa Clouds FM, Soudy Brown kisa Chidi Benz
View attachment 3269447
Mkuu Kuna Vitu vinakuja t kichwani unaona mtu anakuuliza swali hewani kinafki kuhusu mtu wako wa karibu na unajua huyu mnafki,dully kajikaza sana kumuita t mpumbav otherwise ilibidi ampe kubwa Yani na interview iishie paleYes kuna maswali ya maudhi lakini inabidi upige kifua kuyakabili kisomi ,kwani alivyomjibu mwanzo sijui mbona lilikuwa jibu zuri tu? <aswali ya Kiwaki unajibu kiwaki vile vile ...ANgemwambia tu kwamba ili swali ilipaswaa ajibu Chid Benz mwenyewe ,akiendelea unajibu no comment...no comment mpaka aswitch mada.
Alitakiwa hata amkate makondeJinsi Dully amejibu ni kama hiko kitu kimemkwaza muda mrefu sana... unajua ukikua unagundua Hakuna haja ya kumcheka mtu jambo kisa ww hufanyi hivyo ni aina fulani ya utoto kama sio upumbavu! Na hawa wanahabari uchwara wamezoea sana
Ila kwel si unaona nimeachana na sport kwanza....nipo mfungoniMh! tulia tupo kwaresma na Ramadhan haya mambo utayaamsha hizi fungo zikiisha sawa toto..?😂
For sure aiseehawa kuwa ni asili tu ya ukoo hawazeeki mapema..kuna wazee wana miaka 80-90 bado wanapiga jogging taratibu wengine mungu kawapendelea
Ila nadhani pia kuna baadhi ya koo zina genes za tofauti...Nimekuja kujifunza kwamba kutokuzeeka ni intentional effort ambayo mtu anapaswa kuwa amekusudia kabisaaaa ili aweze ku age with grace. Wengi tuna take for granted afya zetu tukijua kwamba mwili utaji take care wenyewe.
Kumbe mwili ili uweze kuu maintain ,unahitaji special considerations, zingatia ulaji, zingatia mazoezi ya viungo na misuli, zingatia kupumzika, zingatia sana kutunza afya ya akili.
Rate ya kuzeeka itakua slow sanaaa
Ni kweli kabisaaIla nadhani pia kuna baadhi ya koo zina genes za tofauti...
sawaIla kwel si unaona nimeachana na sport kwanza....nipo mfungoni