Dully Sykes ana mchango mkubwa wa Harmonize kujitoa Wasafi

Dully Sykes ana mchango mkubwa wa Harmonize kujitoa Wasafi

WATCH (TIZAMA KILA HATUA ZAKE TANGU SASA) LEARN (JIFUNZE ,HAIMAANISHI MIMI NTAKUWA SAHIHI ILA UTAJIFUNZA AFTER WATCHNG ),NO HARD FEELINGS BUDDY

Kwa hiyo huna uhakika na ulichokiandika?,manake mpaka sasa kutoka kwa Harmonize WCB kuna threads zaidi ya 20 kila moja inazungumza kivyake,ila nimekwambia MUDA UTAONGEA,thread yako tunayo.
 
Sioni sababu kwa nini watu wa diamond wanapanic sana
Hii ni fursa ya kumkimbiza.diamond juu,alishabweteka kwa kukosa mpinzani
Kiba ana stress za kumnunulia mke nyumba,halafu kaanza vituko achukue nyumba
 
Kwa hiyo huna uhakika na ulichokiandika?,manake mpaka sasa kutoka kwa Harmonize WCB kuna threads zaidi ya 20 kila moja inazungumza kivyake,ila nimekwambia MUDA UTAONGEA,thread yako tunayo.
USIJALI NA COMMENT ZAKO ZIPO ANAMALIZIA COLLABLE MPYA NA INGINE NA DULLYSYKES
 
Kimsingi Dullysykes ni nyoka mbaya sana kucheza naye ,ni mtu ambaye amesurvive mwanzo kwa ubora wa kazi zake kama julieta ,nyambizi na hi,baada ya hapo akajua kucheza na nyakati.

Alianza na chokochoko na TID ambapo alikuwa kinara by then mashabiki wa TID hawakuwa na time nae ila haters wa TID walitengeneza yeye kama ngao hajapata imba nyimbo kali kama zeze ,nyota yako,etc hili nalolikapita .

Ikaja zama ya Mr nice na dudu baya kama kawaida yake akaside na dudubaya maana hakuweza kutoboa kwa mr nice sangoma zilikutana.

Zikaja zama za Mr blue na Joseline ,Jamaa aligundua macho yote yako kwa hawa wawili basi alipambana mpaka ikafanyika colabo ''dhahabu'' yeye akanufaika kurudi ila joseline nasikia anauza kibanda cha chipsi uswahilini.

Sasa mastermind wa survival akajaribu kushine enzi za ufalme huu wa diamond na king kiba akatengeneza ileile mbinu ya colabo safari hii hakutoboa inasemekana mondi aligundua mkakati akafuta verse ya alikiba na huo ndo ulikuwa mwanzo wa bifu maana hata dully akagoma kutoa huo wimbo ,ila hapo mondi alikuwa anazikwa hai maana nyota yake iilikuwa anauziwa jamaa.

Mnyama huyu mkali alipoona hajatoboa na option pekee ni kuwa karibu na wasafi akaanza mbinu za kujisogeza kwa harmonise mara ooh mdogo wangu sijui atafika mbali ,mara anaheshima ,dogo akajaa misifa balaa taratibu akafanikiwa kupata collabo ambazo hata yeye anakiri dogo kampa kampani ,za ufytele jamaa ni moja ya wanaompa kichwa dogo kuwa anaweza na ananyonywa
muda hujibu,hesabu hazikosei .

Mondi ukisema afanye kolabo na alikiba anaekataa ni alikiba maana anawashauri wazuri wanamwambia utapotea mazima ,furahia hii siasa ya nani zaidi bila mashindano,hata mange aliposikia tetesi alikiba amealikwa wasafi festival pamoja na kuigiza kinafiki kuwa ali yuko juu ya mondi kwa mara ya kwanza ali act the truth alimwambia ukithubutu umeliwa .

Mondi pia katili sana alijua kinachompa kiki dogo harmo ni ushauri na influence yake asee kampotezea kila support overnight page ya mondi ikitolewa nyimbo ya harmoniser alikuwa anaipost balaa kumbuka ana followers almost 7 mil ,rayvan 3 mil ,mboso 2.3 mil,ravalava 1.5 hawa wote wameusiwa wamteme ,nampa moyo akiimba vizuri ataheat ila akileta huuupuuzi wa kujifanya anainua wakina qchief na dullysykes hata kaa aamini wenzake wako busy na kukuwa sio kushukuru shukuru watu amabao hata hawajakusaidia .

wenu mtiifu

The only
hata diamond wakati anaondoka sharobaro record, mlisema hivi hivi, Leo ni mwaka wa kumi huu na hajawai kushuka. Hata master J nae alimtabilia harmonise Kama mlivyomtabiria lakini leo aibu anaona yeye. Kila mtu dunian ana kipawa chake alichojaaliwa na Mungu. Si rahisi kwa mwanadamu kumtabiria maisha mwenzake. Alafu historia inaonyesha mafaanikio ya mwanadamu hayategemei unatokea familia ya namna gani au una elimu kiasi gani. Mafaanikio ni kipaji Kama vipaji vyengine tu.
 
Ukweli mchungu ni kuwa harmonize kwisha habar yake ,unajua kwenye hzi harakat za kujitoa angekaa kimya Kwanza bila kutoa Ngoma hata miez minne, lakn Tangu seke seke lianze ametoa nyimbo kibao na zote ametumbukia , hata akitoa Ngoma Kali itazimika mapema tuu, right decision but wrong timing
 
Waswahili wanachosahau wanadhan harmonize ana pesa ya chai na mkate

Dogo kajipanga nadhan hata akishuka kimuziki fedha ipo zoom production ana share zake pale usimchukulie poaw

Usione wale mameneja wanajichekesha kwamba dogo kaondoka kwa heri hakuna shida ila ukwel n dogo pesa ipo na hawez kufa njaa
 
Waswahili wanachosahau wanadhan harmonize ana pesa ya chai na mkate

Dogo kajipanga nadhan hata akishuka kimuziki fedha ipo zoom production ana share zake pale usimchukulie poaw

Usione wale mameneja wanajichekesha kwamba dogo kaondoka kwa heri hakuna shida ila ukwel n dogo pesa ipo na hawez kufa njaa
anapesa kuliko alivyokuwa mr nice?
 
Mipango siyo matumizi... mambo yake muacheni mwenyewe... Dully ni mzee wa kung'ata na kupuliza...


Cc: mahondaw
 
Kimsingi Dullysykes ni nyoka mbaya sana kucheza naye ,ni mtu ambaye amesurvive mwanzo kwa ubora wa kazi zake kama julieta ,nyambizi na hi,baada ya hapo akajua kucheza na nyakati.

Alianza na chokochoko na TID ambapo alikuwa kinara by then mashabiki wa TID hawakuwa na time nae ila haters wa TID walitengeneza yeye kama ngao hajapata imba nyimbo kali kama zeze ,nyota yako,etc hili nalolikapita .

Ikaja zama ya Mr nice na dudu baya kama kawaida yake akaside na dudubaya maana hakuweza kutoboa kwa mr nice sangoma zilikutana.

Zikaja zama za Mr blue na Joseline ,Jamaa aligundua macho yote yako kwa hawa wawili basi alipambana mpaka ikafanyika colabo ''dhahabu'' yeye akanufaika kurudi ila joseline nasikia anauza kibanda cha chipsi uswahilini.

Sasa mastermind wa survival akajaribu kushine enzi za ufalme huu wa diamond na king kiba akatengeneza ileile mbinu ya colabo safari hii hakutoboa inasemekana mondi aligundua mkakati akafuta verse ya alikiba na huo ndo ulikuwa mwanzo wa bifu maana hata dully akagoma kutoa huo wimbo ,ila hapo mondi alikuwa anazikwa hai maana nyota yake iilikuwa anauziwa jamaa.

Mnyama huyu mkali alipoona hajatoboa na option pekee ni kuwa karibu na wasafi akaanza mbinu za kujisogeza kwa harmonise mara ooh mdogo wangu sijui atafika mbali ,mara anaheshima ,dogo akajaa misifa balaa taratibu akafanikiwa kupata collabo ambazo hata yeye anakiri dogo kampa kampani ,za ufytele jamaa ni moja ya wanaompa kichwa dogo kuwa anaweza na ananyonywa
muda hujibu,hesabu hazikosei .

Mondi ukisema afanye kolabo na alikiba anaekataa ni alikiba maana anawashauri wazuri wanamwambia utapotea mazima ,furahia hii siasa ya nani zaidi bila mashindano,hata mange aliposikia tetesi alikiba amealikwa wasafi festival pamoja na kuigiza kinafiki kuwa ali yuko juu ya mondi kwa mara ya kwanza ali act the truth alimwambia ukithubutu umeliwa .

Mondi pia katili sana alijua kinachompa kiki dogo harmo ni ushauri na influence yake asee kampotezea kila support overnight page ya mondi ikitolewa nyimbo ya harmoniser alikuwa anaipost balaa kumbuka ana followers almost 7 mil ,rayvan 3 mil ,mboso 2.3 mil,ravalava 1.5 hawa wote wameusiwa wamteme ,nampa moyo akiimba vizuri ataheat ila akileta huuupuuzi wa kujifanya anainua wakina qchief na dullysykes hata kaa aamini wenzake wako busy na kukuwa sio kushukuru shukuru watu amabao hata hawajakusaidia .

wenu mtiifu

The only
are you into drugs?
 
!
!
kwanza umeandika likitu lireefu halafu unampatia mtu lawama zisizo na msingi. Kupanda au kuanguka kwa msanii ni zao la maamuzi yake mwenyewe
 
Game lilishaanza kupoa, acheni sasa lichangamke kidogo.

WCB walishaanza kukosa mshindani, until now.

Si mmeona hata Clouds FM wamelazimika kucopy studio design ya Wasafi FM?
 
Game lilishaanza kupoa, acheni sasa lichangamke kidogo.

WCB walishaanza kukosa mshindani, until now.

Si mmeona hata Clouds FM wamelazimika kucopy studio design ya Wasafi FM?
Nakuelewa mkuu bila madrama mambo hayaendi
 
Back
Top Bottom