Dully Sykes ana mchango mkubwa wa Harmonize kujitoa Wasafi

Utakuwa una roho mbaya sana
kwa sababu namuonea wivu duly au nampenda sana diamond kiasi najitoa ufahamu juu ya anguko la niser ? au labda nawivu sana na harmoniser kiasi namuombea mabaya,hivi africa ina kwama wapi.
 
mkuu nabone la wazo ngoja nije inbox
 
Cc: Rich Mavoko.
 
Mnajifanya hamjui kinachoendelea..Fela,Salam na Tale wanatoka vitambi kwa kazi za madogo..unapiga kazi ya 10m unapewa 3m..bora kusepa tu na Ana back up ya Sara
Kabla hawajamfikisha hapo pa kupata hiyo 3m hata elfu tano hakuwa akiipata, simuombei mabaya na inawezekana akawa ameitumia WCB kama daraja hivyo akaendelea kupaa lakini probable chances za kuwa atapote japo si karibuni ni kubwa zaidi kwa ninavyoona.
Hao jamaa walio naye sijui wamejipanga kiasi gani, entertainment industry kibongobongo inataka timing sana.
 
Huyo Vanny,Diamond katumia nguvu nying kumpeleka mbele lakin wap,Vanny nyota mbovu yule,ili apate hit lzm apge ft na Boss wake,inshort hamna kitu pale.
Vanny na Harmo kwa mimi namchagua Vanny, from word go.
Hapo kila mtu yuko entitled kuwa na maoni yake lakini Harmo atahit kibongobongo tu ila internationally hawezi kabisa, Vanny ana test flani ambayo inakuwa easy kwake kutoboa kimataifa.
Soko la kimataifa na local ni vitu tofauti kabisa, utapiga hata kolabo lakini kama test yako haifanani na soko la kimataifa linavyotaka utaishi kusifiwa mashairi/sauti tu na kina Mwajuma wa Mwananyamala.
 
Binafsi pia namkubali sana Vanny japo sioni kama yeye binafsi ana ndoto za kufika mbali na kutoboa kimataifa. Naona kama ameridhika kuwa hapo alipo
 
mr nice naye alikuwa na pesa...?
all in all horminize anapesa na amewekeza sehemu mbalimbali
Yes kwa miaka hiyo nice alikuwa na mkwanja wa kutosha hadi hela alikuwa anaziweka kwenye buti LA gari alikuwa level moja na akina chameleone
 
Nampa Big up sana Dully sykes ametoa wimbo mzuri sana na Maua Sama - Naanzaje ,amenikumbusha yule Dully aliyetikisa miaka ya 2000's wa Julietha ,akifanya miziki kama hii hakika atafunika wakina flani na flani wanaoijiona wameteka soko la muziki....siwataji hao flani maana misukule yao ipo macho kodo na tecno zao.
 
mkuu mungu ni wa ajabu sana, humbarikia zaidi na zaidi unaemchukia na kumtakia mabaya ili daily uzidi
 
kaka vipi muda huu unaendeleaje utabili wangu ?hahahahaha
Mbona bado ila time itaongea ndio kwanza mwaka mimi nitaongea mwakani.Ila ww unaweza ukaanza kuchunguza idadi ya shows anazozipata kupitia mapromota,streaming na mauzo kupitia digital platforms,nominations na tuzo,hivi vitaongea ila mwisho wa siku msiseme anabaniwa sababu media zote za burudani zinampa air time.
 
Mwaka sasa ush

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…