Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,416
- 16,603
Pale unavyoanza napenda sana. Zamani nyimbo zilikua nzuri na mabiti yasiyokinaisha
Wote walikaza sana, ila dully kiboko japo alipambana na vijana wenye mitindo mipya ya kurap ila aliwakilisha vema. Hii collaboration inanikumbusha wimbo unaitwa NILIKATAA kutoka top band, TID, QChief ft Byser