feisar wa moro
JF-Expert Member
- Mar 17, 2020
- 365
- 858
Mkuu wew huakuw mpenda mziki mm nilivykuw chekchea nilikuw nazijua nyimbo..na wimbo niliokuw naupenda ni kipepeo wa jose ChameleoneDoo ndo Kwanza nilikuwa Chekechea pale makorora.
Ndo maana siufaham.
Hebu muelewe Mkuu mwaka huo anasema alikuwa chekechea makorora Tanga hukoKweli Ila sio kwa hii mkuu, mana ilikuwa kama nyimbo ya taifa vile yani.
Hapa nikikutajia nyimbo kama.
Wajua Kiba na Queen darlin
Distance ya Jadee
Latifa, Inamaana, waja za Mb doggy
Una Prof Jay
Ndugu zangu Afande sele
Zawadi Keisha
Agoust 13, mwanza mwanza za Fid
Zali la mental
N.k
Ukisema huzijui hizi nitakushangaa kidogo mkuu hapo itabidi tu nikuulize umri wako mkuu.
NILIKATAA kutoka top band, TID, QChief ft Byser
Aliogopa kumezwa akapiga verse mbili +chorus ndio akaenda nao sawa. Kimahesabu alimezwa ila ni nani alimeza wengine mi sijui!Wote walikaza sana, ila dully kiboko japo alipambana na vijana wenye mitindo mipya ya kurap ila aliwakilisha vema. Hii collaboration inanikumbusha wimbo unaitwa NILIKATAA kutoka top band, TID, QChief ft Byser
Hiyo Kariakoo alivyotamkwa kweli vijamaa vilikuwa visharobaro[emoji2]Mara ya kwanza nilikutana naye kitaani
Nikampa hi huku akinishika shavuni
I'm a Josline a.k.a mpendwa na watu
Kwasababu mi na-flow style zaidi ya tatu
Yeah kashtuka kanifagilia
Hakuamini kama "Perfume" niliwaimbia
Mshkaji mmoja hivi ndo uliofuatia
Mara akatikisa kichwa kifuani akaegemia
Ghafla akaanza kulia
Huku akinishika kwa hisia
Wasiwasi ukanijia, kumuona demu anan'lilia
Anadai anazimika navyo-flow
Namgusa mpaka mwisho, yaani namweka full, yeah
Hisia zangu kwenye muziki zinachoma
Ndo sababu kubwa iliyomfanya anipende sana
Mtoto mzuri ukimwona utampa heshima
Mi namuita dhahabu ndani ya kariakoo nzima
heee makororaDoo ndo Kwanza nilikuwa Chekechea pale makorora.
Ndo maana siufaham.
Hii ilikuwa hit nyingine ya mkimbizano,japo hapa sielewi kati ya Blue na TID nani alifunika
ndio
UTAMUHalafu kuna ile ngoma ya Diamond Ommy Dimpoz na Dully Sykes
Yer Shule ya msingi pale.heee makorora
Umetisha sana......U-lonely tena bye, mi nafurahi
Niko stimu za mjani, kichwani niko high
Namuona manzi maskani, yuko so fly
Mi nawahi, najigeuza Dully namfuata nampa hi
Nimeshaini kama Mully, kadata mtoto hakatai
(Heheh heheh)
Anang'aa kama gold (yeah, yeah)
Yeah, yeah, yeo-yeoh yeoh, yeo-yeoh
Anaita kama bling thing
Kama dhahabu, amefika kwa king
Queen wa Kheri Rajabu
Anakila sababu, asipate tabu
Nimezimika ajabu (sana tu)
Heheh
Yeoh, hapendi pesa, hapendi show
Ye anampenda Blue
Washamteta hasemi no
Ye anaona fool
Ndo mama Kabyser ajulikana mpaka kwetu
Steve unataka kumjua?
Master J twenzetu
asante
hapana niliwahi kufika tu.Yer Shule ya msingi pale.
Mbona umeshangaa Sana my wangu 😂 Au ndo nyumbani?
Sio kwa wimbo huu, ulibamba sana! Kama ulikuwepo kipindi kile kutoujua ni ngumu, ulipigwa sana redioniSasa mkuu hyo si nyimbo tu. Naamini pia Kuna nyimbo zimetoka mwaka huo 2006 pia km binadamu huzifahamu [emoji28][emoji28]