Wadau wa JF wanasema Joslin anakaanga kiepe [emoji3]Hatari sana aisee.. ngoma kali halafu wasanii ni Blue+Joslin na Dully moto sana hawa watu kipindi hicho.
Sjui Joslin yuko wapi.. huyu jamaa alikuwa na maneno flani ya swaga vijana wengi tuliyatumia kutongozea madem kitaa.. ngoma yake ya Pafyum hatar sana.
Huyo Blue sasa mpaka kesho ntazid kumuelewa... kosa tu apewe hata sekunde 30 kwenye songi anaua balaa.
Mwaka huo nilikuwa Form one Morogoro secondaryKweli Ila sio kwa hii mkuu, mana ilikuwa kama nyimbo ya taifa vile yani.
Hapa nikikutajia nyimbo kama.
Wajua Kiba na Queen darlin
Distance ya Jadee
Latifa, Inamaana, waja za Mb doggy
Una Prof Jay
Ndugu zangu Afande sele
Zawadi Keisha
Agoust 13, mwanza mwanza za Fid
Zali la mental
N.k
Ukisema huzijui hizi nitakushangaa kidogo mkuu hapo itabidi tu nikuulize umri wako mkuu.
Blue aliitambalizia hii verse kizazi sanaU-lonely tena bye, mi nafurahi
Niko stimu za mjani, kichwani niko high
Namuona manzi maskani, yuko so fly
Mi nawahi, najigeuza Dully namfuata nampa hi
Nimeshaini kama Mully, kadata mtoto hakatai
(Heheh heheh)
Anang'aa kama gold (yeah, yeah)
Yeah, yeah, yeo-yeoh yeoh, yeo-yeoh
Anaita kama bling thing
Kama dhahabu, amefika kwa king
Queen wa Kheri Rajabu
Anakila sababu, asipate tabu
Nimezimika ajabu (sana tu)
Heheh
Yeoh, hapendi pesa, hapendi show
Ye anampenda Blue
Washamteta hasemi no
Ye anaona fool
Ndo mama Kabyser ajulikana mpaka kwetu
Steve unataka kumjua?
Master J twenzetu
Ndio mzee babaUTAMU
Nyimbo za zamanio zilikuwa na Swag kama mbele yaani.Pale unavyoanza napenda sana. Zamani nyimbo zilikua nzuri na mabiti yasiyokinaisha
Well well said.Mr atabaki kua underrated heavyweight mc ever
Kabla ya kwenda kuingiza vocal Blue anakuambia alifanya mazoezi week nzima kama unavyojua zamani walikua wanazinatia sana...... Siku ya kurecord sasa pale MJ Rec Blue anaingia booth anapia averse yake, ile anamaliza tu watu wote waliokuwepo pale studio walisimama kupiga makofiWote walikaza sana, ila dully kiboko japo alipambana na vijana wenye mitindo mipya ya kurap ila aliwakilisha vema. Hii collaboration inanikumbusha wimbo unaitwa NILIKATAA kutoka top band, TID, QChief ft Byser
Dhuuu bas ww humu unafaa utuamkieDoo ndo Kwanza nilikuwa Chekechea pale makorora.
Ndo maana siufaham.
Woyiiioooooo piga kelele kwa joslin ake weweeeeMara ya kwanza nilikutana naye kitaani
Nikampa hi huku akinishika shavuni
I'm a Josline a.k.a mpendwa na watu
Kwasababu mi na-flow style zaidi ya tatu
Yeah kashtuka kanifagilia
Hakuamini kama "Perfume" niliwaimbia
Mshkaji mmoja hivi ndo uliofuatia
Mara akatikisa kichwa kifuani akaegemia
Ghafla akaanza kulia
Huku akinishika kwa hisia
Wasiwasi ukanijia, kumuona demu anan'lilia
Anadai anazimika navyo-flow
Namgusa mpaka mwisho, yaani namweka full, yeah
Hisia zangu kwenye muziki zinachoma
Ndo sababu kubwa iliyomfanya anipende sana
Mtoto mzuri ukimwona utampa heshima
Mi namuita dhahabu ndani ya kariakoo nzima
Asante mkuu
HahahaAliogopa kumezwa akapiga verse mbili +chorus ndio akaenda nao sawa. Kimahesabu alimezwa ila ni nani alimeza wengine mi sijui!
Biti la ngoma ya Ngwea A.K.A MIMI ni nomaSaana yani, hii ngoma ilikuwa kali Sana kwenye biti hapo Master J ameitendea haki kabisaa.
Kulikuwa na biti kali nazikumbuka kama ile ya
Nikusaidieje ya Prof Jay
Starehe
Kuna ile bembeleza ya Marlow
Ingewezekana ya Squeeze na Ray c
Balozi kwenye chati
Understanding ya banana na Jaydee
N.k