Dully Sykes: Haiwezekani kuwapatanisha Diamond na Ali Kiba kwa sasa, wote wamelewa sifa

Dully Sykes: Haiwezekani kuwapatanisha Diamond na Ali Kiba kwa sasa, wote wamelewa sifa

Kuimba na R Kelly kisha kupotea isiwe kigezo cha kujiaminisha uongo.
Kwa taarifa yako tuu katika wale wanamuziki walioshiriki ile project hakuna ambaye hakuwa na wazo walau la kufanya wimbo mmoja na R Kelly lakini hakuna aliyefanikiwa kwanza ni ratiba ya mwanamuziki pili na kikubwa ilikuwa pesa..
Hata hivyo hiyo kollabo isingekuwa na nguvu labda ingekuwa kwa 2face na R Kelly kwani alikuwa amefanikiwa kuiteka Afrika hivyo ngoma yake ingemfungulia milango nje ya Afrika lakini mtu kama Ally ndo kwanza alikuwa anahangaika kujihakikishia utawala Afrika Mashariki.
Kusini hawajamwelewa, Magharibi hawamjui , Afrika ya kati hawamtambui...
Kumbuka hapo ' social media' bado hazina nguvu ya kumbeba mwanamuziki.
Wakapanga kufanya muziki baina yao ili kuongeza ushawishi kwenye nchi za wenzao.Ilifanikiwa Fally na Ally japo haikutoka.
2face akawa bussy na matamasha huku na huko, Aman na Redsun wakawa mwendo kinyonga yule Mkameruni na wenzake ndo tukawasahau kabisa kwani njia za kuwafuatilia wanamuziki zilikuwa finyu zaidi ya redio na Tv ambazo bado zilikuwa za kitaifa.
Alikiba akapotea kwa miezi si chini ya 10(si miaka mitatu kama anavyodai) kwani My everthing ilitoka 2013 machi na 2014 july akatoa Mwana.

Huku akiendelea kushirikishwa na wanamuziki wachanga mashabiki wake wakataka aimbe wimbo wake na hatimaye akaiachia rasmi Mwana(kumbuka kimasomaso ni project ya Kusaga kama sijasahau, wanamuziki kuzirudia nyimbo za zamani kisasa wimbo mwingine katika project hiyo ulikuwa Yalaiti ya Mwana Fa na Linah).
Matokeo ya mwana wengi mliyaona na ikaja kuwa njia ya Ally kufika alipo huku nyimbo zake zikiongea zaidi...
Wenzake wa one 8 najua tunajua walipo...
Hivyo tusipotoshane kuhusu sijui one 8 sijui hakuitumia vyema lakini ukweli ni kwamba ameweza kutamba nyakati zote tangu hatuijui Instagram hadi leo tuna snapchart Alikiba ameweza kwenda navyo ingaws kutokana na kuwa wa zama zile amejikuta akishindwa kwenda na kasi juu ya matumizi ya ' socia media'....

Kongole kwa Alikiba , amefanya kilichowashinda wengi wa zama zake.
Anyway, BAKI NA K, MI NABAKI NA MONDI
 
Kuimba na R Kelly kisha kupotea isiwe kigezo cha kujiaminisha uongo.
Kwa taarifa yako tuu katika wale wanamuziki walioshiriki ile project hakuna ambaye hakuwa na wazo walau la kufanya wimbo mmoja na R Kelly lakini hakuna aliyefanikiwa kwanza ni ratiba ya mwanamuziki pili na kikubwa ilikuwa pesa..
Hata hivyo hiyo kollabo isingekuwa na nguvu labda ingekuwa kwa 2face na R Kelly kwani alikuwa amefanikiwa kuiteka Afrika hivyo ngoma yake ingemfungulia milango nje ya Afrika lakini mtu kama Ally ndo kwanza alikuwa anahangaika kujihakikishia utawala Afrika Mashariki.
Kusini hawajamwelewa, Magharibi hawamjui , Afrika ya kati hawamtambui...
Kumbuka hapo ' social media' bado hazina nguvu ya kumbeba mwanamuziki.
Wakapanga kufanya muziki baina yao ili kuongeza ushawishi kwenye nchi za wenzao.Ilifanikiwa Fally na Ally japo haikutoka.
2face akawa bussy na matamasha huku na huko, Aman na Redsun wakawa mwendo kinyonga yule Mkameruni na wenzake ndo tukawasahau kabisa kwani njia za kuwafuatilia wanamuziki zilikuwa finyu zaidi ya redio na Tv ambazo bado zilikuwa za kitaifa.
Alikiba akapotea kwa miezi si chini ya 10(si miaka mitatu kama anavyodai) kwani My everthing ilitoka 2013 machi na 2014 july akatoa Mwana.

Huku akiendelea kushirikishwa na wanamuziki wachanga mashabiki wake wakataka aimbe wimbo wake na hatimaye akaiachia rasmi Mwana(kumbuka kimasomaso ni project ya Kusaga kama sijasahau, wanamuziki kuzirudia nyimbo za zamani kisasa wimbo mwingine katika project hiyo ulikuwa Yalaiti ya Mwana Fa na Linah).
Matokeo ya mwana wengi mliyaona na ikaja kuwa njia ya Ally kufika alipo huku nyimbo zake zikiongea zaidi...
Wenzake wa one 8 najua tunajua walipo...
Hivyo tusipotoshane kuhusu sijui one 8 sijui hakuitumia vyema lakini ukweli ni kwamba ameweza kutamba nyakati zote tangu hatuijui Instagram hadi leo tuna snapchart Alikiba ameweza kwenda navyo ingaws kutokana na kuwa wa zama zile amejikuta akishindwa kwenda na kasi juu ya matumizi ya ' socia media'....

Kongole kwa Alikiba , amefanya kilichowashinda wengi wa zama zake.
Unaandika sana lakini humake point kabisa. Embu andika sentensi tatu tatu labda utakua clear.
 
Wawaache tu. Ugomvi wenyewe upo kiushindani zaidi, na so far una faida kubwa kuliko hasara. Ali Kiba anafaidika zaidi.

In most senses, hii beef inafanana na Jay-Z vs Nas. Diamond the former.
 
Kwani wamegombana lini mpaka aseme kuwapatanisha ni ngumu kwa sasa..?
 
Samahani , nani anaweza kuelezea kwa ufupi asili ya bifu la hawa wasanii wetu wakubwa Tanzania ?
Miaka kama miwili nyuma hivi Ally kiba aliishatolea ufafanuzi kuhusu bifu lao, kwa maelezo zaidi search Youtube ( Alikiba in mkasi , 2 years ago
 
Kuimba na R Kelly kisha kupotea isiwe kigezo cha kujiaminisha uongo.
Kwa taarifa yako tuu katika wale wanamuziki walioshiriki ile project hakuna ambaye hakuwa na wazo walau la kufanya wimbo mmoja na R Kelly lakini hakuna aliyefanikiwa kwanza ni ratiba ya mwanamuziki pili na kikubwa ilikuwa pesa..
Hata hivyo hiyo kollabo isingekuwa na nguvu labda ingekuwa kwa 2face na R Kelly kwani alikuwa amefanikiwa kuiteka Afrika hivyo ngoma yake ingemfungulia milango nje ya Afrika lakini mtu kama Ally ndo kwanza alikuwa anahangaika kujihakikishia utawala Afrika Mashariki.
Kusini hawajamwelewa, Magharibi hawamjui , Afrika ya kati hawamtambui...
Kumbuka hapo ' social media' bado hazina nguvu ya kumbeba mwanamuziki.
Wakapanga kufanya muziki baina yao ili kuongeza ushawishi kwenye nchi za wenzao.Ilifanikiwa Fally na Ally japo haikutoka.
2face akawa bussy na matamasha huku na huko, Aman na Redsun wakawa mwendo kinyonga yule Mkameruni na wenzake ndo tukawasahau kabisa kwani njia za kuwafuatilia wanamuziki zilikuwa finyu zaidi ya redio na Tv ambazo bado zilikuwa za kitaifa.
Alikiba akapotea kwa miezi si chini ya 10(si miaka mitatu kama anavyodai) kwani My everthing ilitoka 2013 machi na 2014 july akatoa Mwana.

Huku akiendelea kushirikishwa na wanamuziki wachanga mashabiki wake wakataka aimbe wimbo wake na hatimaye akaiachia rasmi Mwana(kumbuka kimasomaso ni project ya Kusaga kama sijasahau, wanamuziki kuzirudia nyimbo za zamani kisasa wimbo mwingine katika project hiyo ulikuwa Yalaiti ya Mwana Fa na Linah).
Matokeo ya mwana wengi mliyaona na ikaja kuwa njia ya Ally kufika alipo huku nyimbo zake zikiongea zaidi...
Wenzake wa one 8 najua tunajua walipo...
Hivyo tusipotoshane kuhusu sijui one 8 sijui hakuitumia vyema lakini ukweli ni kwamba ameweza kutamba nyakati zote tangu hatuijui Instagram hadi leo tuna snapchart Alikiba ameweza kwenda navyo ingaws kutokana na kuwa wa zama zile amejikuta akishindwa kwenda na kasi juu ya matumizi ya ' socia media'....

Kongole kwa Alikiba , amefanya kilichowashinda wengi wa zama zake.
Yaani tokea 2010; mpaka Leo 2017 bado unashabikia tu Ali na diamond? Hongera!
 
Ugomvi umeongezeka baada ya kiba kurudishwa kinguvu kwenye game baada ya kukaa mafichoni takribani 3 years na kapewa jina la King kiba! Na kuzaliwa team kiba na team mondi, kiba wakiongozwa na joketi na wema sepetu, na hao wote ni watalaka wa mondi hapo ndio shida ilipo!
 
Akili ndogo nani aliyeanza kutoka kimuziki? Kwanza unalijua ilo? Inaelekea mziki umeanza kuujua Jana ngoja nikukumbushe nyimbo za alikiba kabla mondi hajatoka alafu ulinganishe na ulichokiandika,kuna nyimbo kama,mpenz yanalaani dunia,duu shelele,maki muga,sinderela,njiwa, zipo nyingi sana izo ni baathi tu kilichomkost uyuu kiba kuna kipindi alikaa kimya bila kufanya mziki anarudi anakuta mambo yamebadilika na mond kashafika mbali sana

Mbona Prof Jay katoka kuanzia 99 uko lakini hafati mziki wa Diamond? Ali Kiba anamtegemea Diamond sana na kam sio Diamond uyo Kiba asingerudi kwenye mziki.
 
Watanzania bana,yaani God katunyima kila kitu mpaka na akili zetu zimedumaa,yaani kwa mfano beef la Diamond na Kiba linamsaidia vipi Daimond? Level ya Kiba,Diamond keshaipita sana.Ma beef ya Diamond yanatakiwa yawe na magwiji wa Afrika akina Davido etc sio Kiba type ambaye anaungaunga music ili mradi tu
 
Watanzania bana,yaani God katunyima kila kitu mpaka na akili zetu zimedumaa,yaani kwa mfano beef la Diamond na Kiba linamsaidia vipi Daimond? Level ya Kiba,Diamond keshaipita sana.Ma beef ya Diamond yanatakiwa yawe na magwiji wa Afrika akina Davido etc sio Kiba type ambaye anaungaunga music ili mradi tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom