Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Siyo ujanja mkuu. Ni faida ya elimu dunia!Mzanaki mjanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo ujanja mkuu. Ni faida ya elimu dunia!Mzanaki mjanja
tunapaswa kuheshimu watu waliojotolea maisha yao ili wengine waishi kwa uhuru na amani, kwa akili yako fupi unaonekana hata darsani mwalimu wako darasani alikuwa n shidaHao WALIKUWA wacheza shoo wa TANU, hamna haja
Kweli isee maana kuna dk mihogo anasifika kweli japo yupo ughaibuni,suala tunalizungumzia ni utaifa sio wadhifa wa kupora
Jukite kukaanga mihogo barabarani
Tutuo,Yaani ukiwataja hawa ndugu kwenye history ya Tanganyika na Uhuru basi hutokwepa kusema namna Uislam ulivyoleta Uhuru maana hao wenzao enzi hzo walikuwa kama wale wazee wa ndiooo wa miaka hii
Sasa toa maelezo basi ilikuwaje kama unafahamu vizuri...na ueleze ni vipi walimtumia Nyerere barua Makerere ya kutambulisha chama (TAA)Huko Makerere kwenyewe Watanganyika walikuwa wakuhesabika hicho chama kingekuwa cha Waganda?
Kumbe hujui historia ya karume halafu u amuita anaejua kiazi?karume asili yake wapi?Acha ukiazi, karume alkuwa rais wa nzanzibar unataka kumfa nanisha an hao wakimbizi wa kkoo
Fyatu,Sasa toa maelezo basi ilikuwaje kama unafahamu vizuri...na ueleze ni vipi walimtumia Nyerere barua Makerere ya kutambulisha chama (TAA)
Bookshop ya tph samora kipo,mm nina copy ykeRalph Tyler,
Kitabu hiki kinapatikana Ibn Hazm Media Centre Bookshop Msikiti wa Mtoro na
Manyema.
Bookshop ya tph samora kipo,mm nina copy yke
Ngaliba...Mzee Mohamed Said naomba kujua huyu "Mr Misifa" Dully Syakes mtoto wa K'koo ni mtoto wa nani kati ya hao wazee wapigania uhuru?
Sheikh, ni Taazia au Tanzia? Neno hili Taazia sijawahi kulisikia likitumika katika muktadha huu. Sijui Kiarabu na ningependa kujua zaidi matumizi yake pamoja na tofauti yake na neno Tanzia. Shukrani!Ngaliba...
Dully Sykes ni mtoto wa Ebby Sykes.
Ebby ni mtoto wa Abdulwahid Sykes.
Dully ni mjukuu wa Abdulwahid Sykes.
Unaweza kusoma habari za Ebby, baba yake Dully hapo chini:
Mohamed Said: TAAZIA YA EBBY "EBRAHIM" SYKES 24 FEBRUARY 1952 - 15 FEBRUARY 2015
Dah, makasa tu ya kiuandishi huwa inatokea, mengine wasomaji tunatakiwa kusahihisha tu na kupita kimya, haiwezekani kuwa hajui linavyoandikwa neno TANZIA.Sheikh, ni Taazia au Tanzia? Neno hili Taazia sijawahi kulisikia likitumika katika muktadha huu. Sijui Kiarabu na ningependa kujua zaidi matumizi yake pamoja na tofauti yake na neno Tanzia. Shukrani!
Hapana! Naamini siyo makosa ya kiuandishi kwa sababu mbali na heading, hata katika habari yenyewe karudia neno hili hili Taazia. Ungekuwa umesoma makala yote ungeona. Na nijuavyo mwandishi ni mwanazuoni na siamini kama anaweza kurudia kosa lile lile zaidi ya mara mbili.Dah, makasa tu ya kiuandishi huwa inatokea, mengine wasomaji tunatakiwa kusahihisha tu na kupita kimya, haiwezekani kuwa hajui linavyoandikwa neno TANZIA.
Shimba...Sheikh, ni Taazia au Tanzia? Neno hili Taazia sijawahi kulisikia likitumika katika muktadha huu. Sijui Kiarabu na ningependa kujua zaidi matumizi yake pamoja na tofauti yake na neno Tanzia. Shukrani!
Mlaleo,Okelo pia Uhuru wa Zanzibar kasahaulika pia...😀😀
Taazia ni neno sahihi kabisa.Dah, makasa tu ya kiuandishi huwa inatokea, mengine wasomaji tunatakiwa kusahihisha tu na kupita kimya, haiwezekani kuwa hajui linavyoandikwa neno TANZIA.
Taazia ni neno sahihi kabisa, maeneo ya pwani kama Mombasa hili hutumika sana.Sheikh, ni Taazia au Tanzia? Neno hili Taazia sijawahi kulisikia likitumika katika muktadha huu. Sijui Kiarabu na ningependa kujua zaidi matumizi yake pamoja na tofauti yake na neno Tanzia. Shukrani!