umepiga mle mle, sikuona ... marudio lini jamani?Mmesahau kuwa anaitwa mr misifa
Hahaha dahSio sura tu bali shape na tabia......
Kwa bwana Mauzo kama mimi, huwezi kuiacha halaiki kubwa namna hiyo ipite hivi hivi bila kuchomkea mauzo... maybe the only problem inaweza ikawa hakuwa na opening mzuri (sijaangalia hicho kipindi)... professional sales person, angeanza na opening as if anaongelea tuzo huku akitafuta phrases zitakazokidhi kuchomokea mauzo!!!Kwanza nafurahi kuona baadhi ya wasanii wakianza kujitambua kwenye event kama ya jana wengi walivaa vizuri tofauti na huko nyuma, kilichonikera nikitendo cha Dully Sykes kuitwa kutangaza tuzo tena akiwa amepangwa na mtu mwenye heshima zake, kufika stageni badala ya kutulia anaanza kuimba na kutangaza biashara ya kuuza nyimbo za wasanii pale sio mahara pake, na Tabia ya kutafuna tafuna hivi huwa hamuoni aibu mbele za watu dune zima unatafuna tafuna? Ukipewa heshima itumie vizuri.
dully alikuwa sahihi yeye ni balozi wa Afrika song na Afrika song ni mmoja wa wadhamini wa EATV AWARD 2016.Kwanza nafurahi kuona baadhi ya wasanii wakianza kujitambua kwenye event kama ya jana wengi walivaa vizuri tofauti na huko nyuma, kilichonikera nikitendo cha Dully Sykes kuitwa kutangaza tuzo tena akiwa amepangwa na mtu mwenye heshima zake, kufika stageni badala ya kutulia anaanza kuimba na kutangaza biashara ya kuuza nyimbo za wasanii pale sio mahara pake, na Tabia ya kutafuna tafuna hivi huwa hamuoni aibu mbele za watu dune zima unatafuna tafuna? Ukipewa heshima itumie vizuri.