Habari za jioni mabibi na mabwana. Matumaini yangu mko salama salmin.
Ninaleta kwenu hizi dumbbells zangu ninazoziuza.
Sifa:
1. Ni pair moja ya dumbbells branded
2. Ni adjustable, unaweza ukaongeza au kupunguza plates hadi kufikia uzito unaotaka
3. Zimetumika kama 6 months hivi
4. Inakuja na plate 8 za 2.5 kg each
5 . Pia inakuja na plate 2 za 1.75 kg
6. Na plate 2 za 1.25 kg
7. Zote hizi unaweza ukaziweka au kutoa kulingana na uzito unaotaka na zoezi unalokwenda kufanya
Sababu ya kuuza: Hazipo kwenye mipango yangu ya sasa kwa upande wa mazoezi
Napatikana: Sinza A
Bei: 150,000
Mawasiliano: Nicheki Pm tukubaliane na kupanga siku ya kuja kununua
Picha:
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaleta kwenu hizi dumbbells zangu ninazoziuza.
Sifa:
1. Ni pair moja ya dumbbells branded
2. Ni adjustable, unaweza ukaongeza au kupunguza plates hadi kufikia uzito unaotaka
3. Zimetumika kama 6 months hivi
4. Inakuja na plate 8 za 2.5 kg each
5 . Pia inakuja na plate 2 za 1.75 kg
6. Na plate 2 za 1.25 kg
7. Zote hizi unaweza ukaziweka au kutoa kulingana na uzito unaotaka na zoezi unalokwenda kufanya
Sababu ya kuuza: Hazipo kwenye mipango yangu ya sasa kwa upande wa mazoezi
Napatikana: Sinza A
Bei: 150,000
Mawasiliano: Nicheki Pm tukubaliane na kupanga siku ya kuja kununua
Picha:
Sent using Jamii Forums mobile app