Dumu la mafuta ya kupikia lita 20 ni 82000 na cement ni 24000, hakuna wa kuongea tena!

Dumu la mafuta ya kupikia lita 20 ni 82000 na cement ni 24000, hakuna wa kuongea tena!

Achana na mambo ya fursa kaka tuzungumzie gharama za maisha kupanda alafu serikali ya wanyonge ipo kmy nini maana yake ndio CCM mbele kwa mbele na tumeitaka wenyewe acha ushabiki wa kijinga
Gharama za maisha zinapanda duniani kote. Hilo suala la mafuta na saruji imeshaongelea na inashughulikia kuweka mambo sawa, serikali haiwezi kuja kukulisha inachoweza kufanya ni kukupa fursa ili ujikimu. Kama ni mvivu utaendelea kulia eti maisha magumu huku wenzio tunaona maisha ni kawaida tu.
 
Waovu tu mnasherekea kutangaza mabaya. changamoto zinazojitokezea ni kawaida, sio kwamba serikali haioni na imelala, inashughulikia meli ya mafuta inakuja na bei itarejea kikawaida.
Hata sukari bei ni ya hovyo huu ni mwaka wa nne serikali inashughulikia mpaka imeshakua mazoea,sasa sijui mwovu ni serikali au sisi tunaoumizwa na hizi bei za hovyohovyo.
 
Achana na mambo ya fursa kaka tuzungumzie gharama za maisha kupanda alafu serikali ya wanyonge ipo kmy nini maana yake ndio CCM mbele kwa mbele na tumeitaka wenyewe acha ushabiki wa kijinga
Sasa mnatakaje? Serikali iwapangie wafanyabiashara bei halafu mseme wanaua biashara? Si ndio biashara huru mnayoitaka hii?
Serikali wamesema kuna uhaba wa mafuta na meli ya mafuta inakuja uhaba utaisha. Demand vs supply.
 
Piga spana tu mpaka mitz yote akili isogee.Mitano tena.
 
Waovu tu mnasherekea kutangaza mabaya. changamoto zinazojitokezea ni kawaida, sio kwamba serikali haioni na imelala, inashughulikia meli ya mafuta inakuja na bei itarejea kikawaida.
Shda sio kutangaza mabaya hatuoni hata mtu bungeni anae ongelea HILI yani wapo Kama hawaoni vile
 
Gharama za maisha zinapanda duniani kote. Hilo suala la mafuta na saruji imeshaongelea na inashughulikia kuweka mambo sawa, serikali haiwezi kuja kukulisha inachoweza kufanya ni kukupa fursa ili ujikimu. Kama ni mvivu utaendelea kulia eti maisha magumu huku wenzio tunaona maisha ni kawaida tu.

Kaka ungekuwa karibu ningekuwamba booooooongeee la kooofi. hapa tunazungumzia maisha ya mwananchi kwenye kipato cha chini sio wewe mwenye uwezo tunazungumza kwa niaba yao hivi mimi kama mkulima au mmachinga yule uliyekuwa unanipa tisheti pamoja na kuniletea usafiri wakuja kuhudhuria kwenye kwenye kampeni zenu leo leo gharama za maisha zimepanda unaniambia nijishughulishe sasa nijishughulishe mara ngapi?

Eti serikali haiwezi kuja kukulisha ila kwenye kampeni mlikuwa mnaweza kuja na kutuhonga vi elfu kumi pamoja na usafiri bure kwenye shida tukanye tunapokunyaga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
9098765.jpg
 
Yaani Ni noma..lita saiz ni 48000 mafuta ya kula.

Lita 18/20 tuliyokuwa tunachukua kwa 56,000 saiz Ni 82,000 na inazidi kupanda kila siku
Hiyo 82000 ni wapi nije kununua? Huku Mbeya sasa tunaongelea 110000 wewe unasema 82,000? Lita huku ni 5500/= huna ukale chukuchuku. Huko bei poa sana halo. Mafuta yakipanda kila mwaka ndio inacheza hapo kwenye 80+k ni bei ya kawaida sana.
 
Kaka ungekuwa karibu ningekuwamba booooooongeee la kooofi pumbavu hapa tunazungumzia maisha ya mwananchi kwenye kipato cha chini sio wewe mwenye uwezo tunazungumza kwa niaba yao hivi mimi kama mkulima au mmachinga yule uliyekuwa unanipa tisheti pamoja na kuniletea usafiri wakuja kuhudhuria kwenye kwenye kampeni zenu leo leo gharama za maisha zimepanda unaniambia nijishughulishe sasa nijishughulishe mara ngapi?..

Mkuu,

Huyo hajui ugumu wa maisha,ni kula kulala,

Awaulize wazazi wake au shemeji yake anavyopata shida kumuhudumia.
 
Sasa mnatakaje? Serikali iwapangie wafanyabiashara bei halafu mseme wanaua biashara? Si ndio biashara huru mnayoitaka hii?
Serikali wamesema kuna uhaba wa mafuta na meli ya mafuta inakuja uhaba utaisha. Demand vs supply.

Tufanye nataka kukubaliana na ujinga wako sasa unaweza kuniambia na bei ya sukari kupanda mpaka leo itakuwa meli ipo njiani sio embu tuzungumzie hili jambo kwa mapana yake tuzungumzie kwa bidhaa zote kwa ujumla naomba majibu kwanini kikwete aliweza kulipa mishahara on time na bei za bidhaa zilikuwa zipo normal iweje huyu baba yako alipoingia na gharama za maisha nazo zimepanda?kwako mwalimu kashasha[emoji16]
 
Tufanye nataka kukubaliana na ujinga wako sasa unaweza kuniambia na bei ya sukari kupanda mpaka leo itakuwa meli ipo njiani sio embu tuzungumzie hili jambo kwa mapana yake tuzungumzie kwa bidhaa zote kwa ujumla naomba majibu kwanini kikwete aliweza kulipa mishahara on time na bei za bidhaa zilikuwa zipo normal iweje huyu baba yako alipoingia na gharama za maisha nazo zimepanda?kwako mwalimu kashasha[emoji16]
Na mimi nimekubaliana na ujinga wako. Soko huria mlilotaka ndio hilo. Au mnataka serikali iingilie tena kupanga bei? Walipoingilia bei za sukari tuliwalaumu wamekosea sasa acha soko liamue.
 
Na mimi nimekubaliana na ujinga wako. Soko huria mlilotaka ndio hilo. Au mnataka serikali iingilie tena kupanga bei? Walipoingilia bei za sukari tuliwalaumu wamekosea sasa acha soko liamue.

RRONDO RRONDO RRONDO nimekuita mara tatu ndugu yangu usizungumze ukayamaliza maneno humu ndani kuna baba zako, kaka zako wadogo zako walilie na kuwasemea hawa usijiangalie wewe tu mwangalie na yule aliyekuwa kijijini samvula chole[emoji57]
 
Back
Top Bottom