Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Hii movie inatokana na kitabu kinachoitwa Dune kilichoandikwa na Frank Albert mwaka 1965.
Kitabu kimebase kwenye sayari moja inayoitwa Arakis ambapo kiungo adimu na ghali kiitwacho melange kinapatikana. Lakini sayari hiyo ni jangwa na kuna minyoo wakubwa sana na hatari wanaoishi chini ya mchanga wa jangwani.
Zaidi ya hayo kinazungumza kuhusu inteplanetary politics, usaliti na dini. Ila theme kuu ni ecology.
Movie yake inatoka mwezi oktoba.
Kitabu kimebase kwenye sayari moja inayoitwa Arakis ambapo kiungo adimu na ghali kiitwacho melange kinapatikana. Lakini sayari hiyo ni jangwa na kuna minyoo wakubwa sana na hatari wanaoishi chini ya mchanga wa jangwani.
Zaidi ya hayo kinazungumza kuhusu inteplanetary politics, usaliti na dini. Ila theme kuu ni ecology.
Movie yake inatoka mwezi oktoba.