Jitindejangongwa
Member
- Jan 17, 2013
- 28
- 3
jamani wataalam naomba nisaidieni haya maneno maana ninaamini nilichofundishwa darasani kuwa dunia ni duara. lakini sasa kuna hili neno utasikia kwa mfano "kila kona ya dunia" sasa nimekuwa nikijiuliza huu msemo wa kila kona ya dunia wakati duara halina kona umetoka wapi na hadi ukajijengea umaarufu.nisaidieni waungwana.