Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Wako wapi jamaa zangu?Yu wapi Nape na January?!
Hawasikiki tena wala kuabudiwa. Walijiona na kuhisi rasmi Dunia ni yao baada ya kifo cha JPM na wao kurejeshwa ndani ya mfumo.
Kiko wapi hatimaye!
Leo hii Makonda anakula kuku kwa mrija huku Nape na January wakiendelea kujificha walipo kwa hofu ya kutwezwa endapo wataonekana mtaani.
Dunia tambala bovu, tuwe na kiasi.
Koffi Annan , amini nakwambia hawana raha yeyote huko walipo.
Huyo ndiyo nitolee kabisa!Bring back Nape
Ukiamini uongozi ndio kazi yako 'career' kwenye nchi kama Tanzania lazima yatakukuta kama ya nape na januari.Yu wapi Nape na January?!
Hawasikiki tena wala kuabudiwa. Walijiona na kuhisi rasmi Dunia ni yao baada ya kifo cha JPM na wao kurejeshwa ndani ya mfumo.
Kiko wapi hatimaye!
Leo hii Makonda anakula kuku kwa mrija huku Nape na January wakiendelea kujificha walipo kwa hofu ya kutwezwa endapo wataonekana mtaani.
Dunia tambala bovu, tuwe na kiasi.
Yu wapi Nape na January?!
Hawasikiki tena wala kuabudiwa. Walijiona na kuhisi rasmi Dunia ni yao baada ya kifo cha JPM na wao kurejeshwa ndani ya mfumo.
Kiko wapi hatimaye!
Leo hii Makonda anakula kuku kwa mrija huku Nape na January wakiendelea kujificha walipo kwa hofu ya kutwezwa endapo wataonekana mtaani.
Dunia tambala bovu, tuwe na kiasi.
We nyumbu hangaika na habari za mfugaji wenu mbowe, makamba humuwezi.Nape na January walibebwa tu na Majina ya Wazazi wao, hawakuwahi kuwa na lolote wala chochote popote, tena afadhali hata Nape anaweza kucharaza gitaa la solo
Ni kweli simuwezi, Maana aliyoyafanya Galanos mimi siwezi hata kujaribuWe nyumbu hangaika na habari za mfugaji wenu mbowe, makamba humuwezi.