Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hana jeuri yoyote, ila hana uwezoBinadamu akikuchukia bwana, hivi January ana jeuri gani?!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana jeuri yoyote, ila hana uwezoBinadamu akikuchukia bwana, hivi January ana jeuri gani?!!!!
Labda hujajua tu kama hiki kivumbi kilichofanya mama abadili msimamo kuhusu maandamano ya upinzani kilitoka kwao.Yu wapi Nape na January?!
Hawasikiki tena wala kuabudiwa. Walijiona na kuhisi rasmi Dunia ni yao baada ya kifo cha JPM na wao kurejeshwa ndani ya mfumo.
Kiko wapi hatimaye!
Leo hii Makonda anakula kuku kwa mrija huku Nape na January wakiendelea kujificha walipo kwa hofu ya kutwezwa endapo wataonekana mtaani.
Dunia tambala bovu, tuwe na kiasi.
Hao ndiyo wazuri ukimuelewa babu wa BumbuliYu wapi Nape na January?!
Hawasikiki tena wala kuabudiwa. Walijiona na kuhisi rasmi Dunia ni yao baada ya kifo cha JPM na wao kurejeshwa ndani ya mfumo.
Kiko wapi hatimaye!
Leo hii Makonda anakula kuku kwa mrija huku Nape na January wakiendelea kujificha walipo kwa hofu ya kutwezwa endapo wataonekana mtaani.
Dunia tambala bovu, tuwe na kiasi.
Kiasi ni nini sasa ambacho makonda anacho na nape hana?Yu wapi Nape na January?!
Hawasikiki tena wala kuabudiwa. Walijiona na kuhisi rasmi Dunia ni yao baada ya kifo cha JPM na wao kurejeshwa ndani ya mfumo.
Kiko wapi hatimaye!
Leo hii Makonda anakula kuku kwa mrija huku Nape na January wakiendelea kujificha walipo kwa hofu ya kutwezwa endapo wataonekana mtaani.
Dunia tambala bovu, tuwe na kiasi.
Wanakula vinonoNyie endeleeni kuwananga kwenye keyboard muda huo wenzenu wameshachota billions zimejaa kwenye account wanakula raha na familia na vimada vyao hoteli za nyota kumi
Yeah, Hana uwezo wa kukaa uani kama hivyo na kusengenya watu........Yuko too busy na business zakeHana jeuri yoyote, ila hana uwezo
Hahahahaaa.....teke dhaifu kabisa hili la punda anayekufa. Hebu jilinganishe na wewe kwanza kwenye hoja mnazoongea tu halafu njoo ujijibu hapa hoja hiyo iliypkosa wanunuzi Sasa.Ni kweli simuwezi, Maana aliyoyafanya Galanos mimi siwezi hata kujaribu
timu ya ushindi ya mama hiyo 2025Yu wapi Nape na January?!
Hawasikiki tena. Walijiona na kuhisi rasmi Dunia ni yao baada ya kifo cha JPM na wao kurejeshwa ndani ya mfumo.
Kiko wapi hatimaye!
Leo hii Makonda anakula kuku kwa mrija huku Nape na January wakiendelea kujificha walipo.
Dunia tambala bovu, tuwe na kiasi.
Nadhani ndio hao Mama anawaonya wasije wakaleta fujo Kwa Jamuhuri!Yu wapi Nape na January?!
Hawasikiki tena. Walijiona na kuhisi rasmi Dunia ni yao baada ya kifo cha JPM na wao kurejeshwa ndani ya mfumo.
Kiko wapi hatimaye!
Leo hii Makonda anakula kuku kwa mrija huku Nape na January wakiendelea kujificha walipo.
Dunia tambala bovu, tuwe na kiasi.
Sijui ni msukumo gani hasa ulio kufanya ulete mada kama hii hapa. Ni hiyo habari ya "kifo cha JPM"?Yu wapi Nape na January?!
Hawasikiki tena. Walijiona na kuhisi rasmi Dunia ni yao baada ya kifo cha JPM na wao kurejeshwa ndani ya mfumo.
Kiko wapi hatimaye!
Leo hii Makonda anakula kuku kwa mrija huku Nape na January wakiendelea kujificha walipo.
Dunia tambala bovu, tuwe na kiasi.
EEeeeenHEEeee!
Maktaba yetu imejaa kila kituEEeeeenHEEeee!
Nilijuwa maktaba haiwezi kukosa vitu kama hivi!
Hawa watatu wana historia ya kipekee. Huyo mwenye Bendera, hata sijui kama ile picha aliyo ambiwa na kisichana nje ya ofisi ya Mambo ya ndani, kwamba hana uwaziri tena, nayo unayo kwenye maktaba yako! Na huyo mwingine kushikiwa bastola mtaani...!
Na usishangae sana hawa ndio wakawa timu sumbufu sana ndani ya CCM miaka michache ijayo
Ukiitumia vizuri hiyo inaweza kuwa mgodi maridhawa hapo baadae.Maktaba yetu imejaa kila kitu
Ukiitumia vizuri hiyo inaweza kuwa mgodi maridhawa hapo baadae.
Baba yake ule wimbo wake wa" Tazama Ramani", sidhani kuwa kuna 'genes' zozote alizo mpitishia huyu mtoto wake! Hii ni kujibaraguza tu na kutafuta sifa.