Dunia haijawahi kuwa na huruma kwa mwanaume

Nadhani Tuishie Hapa
 
Respect mkuu... Hapo ndipo napokubali kwamba kuna nyakati hata vita ni mchakato wa kuleta amani pia siyo maombi pekee.

Rejea Rambo IV mazungumzo kati pastor Authur Marsh na John Rambo.
 
nne akiwa majeruhi /akiwa na majeraha.
Tano akiwa hana kazi hana ajira hana shughuli ya kuingiza kipato na familia inamtegemea,

Kuna rafiki yangu alinijia usiku siku hio kidogo nilie sababu iliniuma sana kwanza kafutwa kazi pili hana hela hana akiba tatu mtoto wake mdogo wa miezi 6 alikua anaumwa hospital kaenda kaandikiwa akaambiwa zingine akanunue hela hana, kaondoka nyumbani hajaacha chochote kabeba kitanda akauze kwa fundi selemala hakumkuta akamsubiri mpaka usiku umeingia hakumuona akarudi hajala chochote ndio akanipa mkasa ninunue mimi kile kitanda na net juu ananipa km bonus bahati mbaya siku hio sikua vizuri mfukoni ila iliniuma kishenzi,

Nilimsaidia kumpa maji ya kunywa tu maana mwisho ilibidi aniombe maji tu akate hata kiu ili afikirie atafanyaje kesho km baba wa watoto wawili na mke na familia imemuelemea yaan anatia huruma
 
Sema wanaume na nyie mna kaubabe flani hivi sometimes kanawafanya msionewe huruma.
Bila ubabe mnyanduano hauwezi kua na radha ya kuingiziwa yaan mwanaume lazima akukaze kiubabeubabe ndio unapata radha ya kuingiziwa kuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…