Dunia haiko fair, leo mtoto wa Nyerere analalamika watu Serikali hawapokei simu za familia ya Nyerere

Dunia haiko fair, leo mtoto wa Nyerere analalamika watu Serikali hawapokei simu za familia ya Nyerere

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Nilimsikiliza Bwana Madaraka Nyerere akilalamika kwamba muda Huwa awanapiga simu na viongozi wa serikali kama DC, RC, DED, mawaziri n.k hawapokelei simu

Hadi analalamika wasanii kutumia jina la baba yake, Mbona familia ya Dangote hawalalamiki Kwa Diamond platnumZ, Mbona familia ya Bakhresa hawalalamiki Kwa Harmonize.

Yaani Nyerere ambaye kila pesa ina picha yake, watoto wake hawapati ushirikiano na pesa wanaotafuta na wanaiomba bila shaka wananyimwa

Tuseme kama Leo RC kama Bashite, Sabaya, Jokate,Chalamika hawapokei simu za watoto wa Nyerere au mama Maria Nyerere😅.

Nyerere tunaambiwa ndo baba wa Taifa, na kila siku viongozi wanamuimba kuwa ndo kila kitu.

Soma Pia: Kumbukizi ya Nyerere: Familia ya Mwalimu Nyerere yawataka wasanii kuacha kutumia jina la Baba wa Taifa kama ubin wao

Chonde chonde nyie viongozi pokeeni simu za familia ya Nyerere. Wapeni msaada na kila kitu, maana baba yake ndo aliweka misingi ya vyote hivi
 
nadhani mwalimu Nyerere alifanikiwa sana katika siasa nakuacha legacy kubwa tu .

Ila Mungu hawezi kukupa kila kitu
Kwenye upande wa familia hakufanikiwa Sana .

Ukitazama Nyerere na ukasikiliza watoto wake yaani hamna mfanano wowote hata kuelekeana.


Mambo mengine Kama ambavyo watu husema tuyaache Ila naamini neno kujitoa kwa nchi alilitimiza na nahisi labda majukumu ya kuipambania Tanzania na Africa yalimnyima muda wa kuwa karibu na familia yake.


Nilishangaa Sana kusikia habari za jina na nishangaa kuona watoto wababa wa Taifa wanagombea ubunge na kukatwa na wajumbe

Inafikirisha

Rip nyerere
 
nadhani mwalimu Nyerere alifanikiwa sana katika siasa nakuacha legacy kubwa tu .

Ila Mungu hawezi kukupa kila kitu
Kwenye upande wa familia hakufanikiwa Sana .

Ukitazama Nyerere na ukasikiliza watoto wake yaani hamna mfanano wowote hata kuelekeana.


Mambo mengine Kama ambavyo watu husema tuyaache Ila naamini neno kujitoa kwa nchi alilitimiza na nahisi labda majukumu ya kuipambania Tanzania na Africa yalimnyima muda wa kuwa karibu na familia yake.


Nilishangaa Sana kusikia habari za jina na nishangaa kuona watoto wababa wa Taifa wanagombea ubunge na kukatwa na wajumbe

Inafikirisha

Rip nyerere
Nakuelewa sana mkuu
Ni aibu Kwa familia ya Nyerere kubishana kuhusu jina na Steve Nyerere
Ila ndo ivo serikali iwahudumie kulipa fadhila za baba yao
 
Moto hauzai moto. Nilik
nadhani mwalimu Nyerere alifanikiwa sana katika siasa nakuacha legacy kubwa tu .

Ila Mungu hawezi kukupa kila kitu
Kwenye upande wa familia hakufanikiwa Sana .

Ukitazama Nyerere na ukasikiliza watoto wake yaani hamna mfanano wowote hata kuelekeana.


Mambo mengine Kama ambavyo watu husema tuyaache Ila naamini neno kujitoa kwa nchi alilitimiza na nahisi labda majukumu ya kuipambania Tanzania na Africa yalimnyima muda wa kuwa karibu na familia yake.


Nilishangaa Sana kusikia habari za jina na nishangaa kuona watoto wababa wa Taifa wanagombea ubunge na kukatwa na wajumbe

Inafikirisha

Rip nyerere
Moto hauzai moto. Nilikuwa nasoma juzi makala fulani amehojiwa mtu mmoja anaitwa prof vunduawe, huyu alikuwa msaidizi wa Mobutu sese seko. Alisema "Boss alitumia muda wake wote kulitumikia Taifa akasahau kuelimisha watoto wake" hii ni kutokana na mtoto mmoja alipewa uwaziri siku moja akatumwa Ulaya akaenda huko akakaa miezi minne bila taarifa yoyote hivo kupelekea kufutwa uwaziri.
 
Nilimsikiliza Bwana Madaraka Nyerere akilalamika kwamba muda Huwa awanapiga simu na viongozi wa serikali kama DC, RC, DED, mawaziri n.k hawapokelei simu

Hadi analalamika wasanii kutumia jina la baba yake, Mbona familia ya Dangote hawalalamiki Kwa Diamond platnumZ, Mbona familia ya Bakhresa hawalalamiki Kwa Harmonize.

Yaani Nyerere ambaye kila pesa ina picha yake, watoto wake hawapati ushirikiano na pesa wanaotafuta na wanaiomba bila shaka wananyimwa.

Nyerere tunaambiwa ndo baba wa Taifa, na kila siku viongozi wanamuimba kuwa ndo kila kitu.

Soma Pia: Kumbukizi ya Nyerere: Familia ya Mwalimu Nyerere yawataka wasanii kuacha kutumia jina la Baba wa Taifa kama ubin wao

Chonde chonde nyie viongozi pokeeni simu za familia ya Nyerere. Wapeni msaada na kila kitu, maana baba yake ndo aliweka misingi ya vyote hivi
So Ukiona Mwana Siasa Mzalendo kwa Nchi yake Afrika anageuka Fisadi- dont complain!! - Nyerere ata NBC au uko Uswiss au Dubai akuwa na acc! Na wala akuchia watoto wake mali za wizi👏👏. Angetaka Almas Gold etc za TZ zingekuwa zake.... ajawai enda au mtuma mtoto wake nje ya Tanzania tukufu akapige deal! Mama Maria ata Kiduka cha Mangi(kile cha kitaani cha mchele na mafuta ya taa ana mpaka
Leo) na atokuwa nacho. Leo tumepoteza tunu kama Taifa tegemeo la Ukombozi wa Africa , Taifa lisilo na ukabila wana matabaka... na Mama etu wa sasa anajitaidi sana kuliko maelezo ila anapingwa na ata chama chake kinatamani abaki jikoni akipikia familia yake... kwani wana uchu wa ubepari na wapo tayari kuiuza Tanzania yetu😭
 

Attachments

  • IMG_0712.jpeg
    IMG_0712.jpeg
    15 KB · Views: 5
  • IMG_0711.jpeg
    IMG_0711.jpeg
    32.7 KB · Views: 5
  • IMG_0709.png
    IMG_0709.png
    97.3 KB · Views: 7
  • IMG_0707.png
    IMG_0707.png
    55.3 KB · Views: 7
  • IMG_0708.png
    IMG_0708.png
    92.9 KB · Views: 5
  • IMG_0713.jpeg
    IMG_0713.jpeg
    18.4 KB · Views: 7
nadhani mwalimu Nyerere alifanikiwa sana katika siasa nakuacha legacy kubwa tu .

Ila Mungu hawezi kukupa kila kitu
Kwenye upande wa familia hakufanikiwa Sana .

Ukitazama Nyerere na ukasikiliza watoto wake yaani hamna mfanano wowote hata kuelekeana.


Mambo mengine Kama ambavyo watu husema tuyaache Ila naamini neno kujitoa kwa nchi alilitimiza na nahisi labda majukumu ya kuipambania Tanzania na Africa yalimnyima muda wa kuwa karibu na familia yake.


Nilishangaa Sana kusikia habari za jina na nishangaa kuona watoto wababa wa Taifa wanagombea ubunge na kukatwa na wajumbe

Inafikirisha

Rip nyerere
Kama yule mkuu wa mkoa ukimsikiliza ukiambiwa ni mtoto wa Nyerere unabaki na alama ya mshangao, achilia mbali yule aliye disco Chuo kikuu baba akiwa rais!
 
Nakuelewa sana mkuu
Ni aibu Kwa familia ya Nyerere kubishana kuhusu jina na Steve Nyerere
Ila ndo ivo serikali iwahudumie kulipa fadhila za baba yao

Hii familia inapewa kila kitu na wanapata pesa ngingi kupitia jina la baba yao .

Fatilia vizuri utajua ukweli .

Hao watoto hawajui shida

Huyo jamaa ambaye sasa hivi ni kiongozi alisoma na mzee wangu darasa moja
 
Nilimsikiliza Bwana Madaraka Nyerere akilalamika kwamba muda Huwa awanapiga simu na viongozi wa serikali kama DC, RC, DED, mawaziri n.k hawapokelei simu

Hadi analalamika wasanii kutumia jina la baba yake, Mbona familia ya Dangote hawalalamiki Kwa Diamond platnumZ, Mbona familia ya Bakhresa hawalalamiki Kwa Harmonize.

Yaani Nyerere ambaye kila pesa ina picha yake, watoto wake hawapati ushirikiano na pesa wanaotafuta na wanaiomba bila shaka wananyimwa

Tuseme kama Leo RC kama Bashite, Sabaya, Jokate,Chalamika hawapokei simu za watoto wa Nyerere au mama Maria Nyerere😅.

Nyerere tunaambiwa ndo baba wa Taifa, na kila siku viongozi wanamuimba kuwa ndo kila kitu.

Soma Pia: Kumbukizi ya Nyerere: Familia ya Mwalimu Nyerere yawataka wasanii kuacha kutumia jina la Baba wa Taifa kama ubin wao

Chonde chonde nyie viongozi pokeeni simu za familia ya Nyerere. Wapeni msaada na kila kitu, maana baba yake ndo aliweka misingi ya vyote hivi
Dunia ndio ilivyo watu watakukumbatia kama wana manufaa na wewe tofauti na hapo wewe jitafute tu hadi ujipate
Hata kasesela aliwahi kulalamika hivyo ,duniani hakuna urafiki wa kudumu bali masilahi tu ,hapo ulipo hangaikia familia yako tu usitegemee ukiwa haupo kuna rafiki atawasaidia watoto wako.
 
Back
Top Bottom