Dunia haiko fair, leo mtoto wa Nyerere analalamika watu Serikali hawapokei simu za familia ya Nyerere



Je imezekana vipi watoto wote kuwa hivyo

This is not a karma.?
 
Biashara ndio pekee watoto huweza kurithi, hizi kazi zingine haiwezekani......namkubali sana yule RC na vituko vyake ila wajukuu wale wanakula maisha sana sidhani kama hii familia ina njaa
 
Sasa wanalalamikia mkuu wa mko wakati wa ate ndani ya nyumba?

Binafsi naamini ulalamishi ni tabia
 
Nyerere alikuwa akimaanisha kabisa kabisa kile alichokifanya. Hao watoto na familia walitakiwa wafanye kazi na sio kukaa kusubili kumwagia mahela.

Hawa viongozi wetu wa sasa wakisema sahizi ni usiku toka nje kwanza ka angalie na uhakikishe ni kweli usiku!
 
Baba yake alikuwa mzalendo ,bahati mbaya hatuli uzalendo ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Pili siasa ni unafiki kile Wanasiasa wanasema wanamuenzi hakuna anaefanya hayo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Eti wanagombea na kukatwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ