Ww utakuwa mhenga bila shakaWakati unampenda siajabu yeye hata hana hisia na wewe ksbisa. Unapopenda hupendwi, usiompenda kakuganda.
Hapo ndo ulipoibuka msemo Moyo sukuna damu si vingine.
Mapenzi shikamooo....
Msaidie jinsi ya kufunguka kwa Crash wakePole mwaya!
We jamaa...Ukiona hivyo huna chura
Utakuwa hujapenda ww, umeshindwa hata kumuonesha kwa ishara tu?Mapenz ni nini jmn???
Nampenda nahisi moyo utasimama aisee ....akil aifanyi kazi kabisa...nifanyeje??! Kwann imetokea???
Dunia haiko fair kabisa
Nashindwa kumwambia jmn nifanyeje
Its serious love ....hali hii haijawahi nitokea tangu nimezaliwa
He's my best friend.. Close friend
subiri rafiki yako wa karibu avunje ukimya amfuate na ampate ndio utajua maana halisi ya dunia haiko fairMapenz ni nini jmn???
Nampenda nahisi moyo utasimama aisee ....akil aifanyi kazi kabisa...nifanyeje??! Kwann imetokea???
Dunia haiko fair kabisa
Nashindwa kumwambia jmn nifanyeje
Its serious love ....hali hii haijawahi nitokea tangu nimezaliwa
He's my best friend.. Close friend
Nimecheka sana.....asanteUsiku huo wa manane? Hizo ndiyo ukisikia "nyege mshindo". Pumbavu kabisa.
Mtu anapendwa saa nne asubuhi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unadhani unalalamika JF na bado fairness of the world Utaiona badala ya kumtega? muite chumbani ukiwa na kanga moko dheni muwaooo uone fairness of the world.
AsanteSasa hivi ni saa saba na dakika tatu usiku, lala mama angu , mungu atakusaidia na utafanikisha lengo lako.
Sent from my T1-701u using JamiiForums mobile app
Duh!!!Usiku huo wa manane? Hizo ndiyo ukisikia "nyege mshindo". Pumbavu kabisa.
Mtu anapendwa saa nne asubuhi.
Duuh una mitusi!!Usiku huo wa manane? Hizo ndiyo ukisikia "nyege mshindo". Pumbavu kabisa.
Mtu anapendwa saa nne asubuhi.