Shukuran mkuuWeka namba hapa tukujali
Napambana sana mkuu ila naona Sina bahatiPole sana usikate tamaa ni kupambana tu.
Ndo mana tunashare matatizo wanaoguswa watusaidieKweli dunia ni pasua kichwa, wakati wengine wanalia ukata wa maisha, kwa upande mwingine ugumu wa dunia ni msamiati kwao, kwa kuwa kila kitu wanacho akifanya hiki pesa zinatiririka kamaji kwake akigeukia upande mwingine ni pesa tu,wenzake wanapolia ugumu wa dunia wanawaona kama watu waliokosa akili.
Naomba nikufate pmWeka namba hapa tukujali
Nipo dar mkuu 1.5m😓Upo wapi? Una deni kiasi gani?
pole sana mkuuNipo dar mkuu 1.5m😓
Naombeni mnisaidie kitag wanaoweza nisaidiapole sana mkuu
wanaona sijui wanaosaidia watu humu mkuuNaombeni mnisaidie kitag wanaoweza nisaidia