Kuendelea kuwa na hasira juu ya wasiokuwepo ni ujinga na kupoteza muda!
Muda hausubiri bali tukitaka muda utusubiri ni kufanya tulimbikize mambo mengi yatupasayo kufanya sasa!
Dunia iko mbaali sana kuliko mahali sisi tulipo! Tuna matatizo ya kiuchumi na umasikini wa watu uliokithiri
Tunakaa kulumbana na wafu ili hali tunayokazi ya kuwatoa watu kwenye umasikini wao kwa mipango inayotutaka tufanye sasa?
JPM hayupo, hawezi pata adhabu tena ya duniani, lakini pia hakuna uthibitisho wa moja kwa moja unaoonyesha kwamba alimtafuna mtu na kumtwanga risasi
Mahaba ni mabaya. Kipindi cha JPM kuna watu ilifika pahala wakiwa na mahaba kwa JPM kuliko hata maisha yao wenyewe' watu walifikia kusema, kama kifo kingelikuwa kinabadirisha mtu wa kufa, wako tayari wafe wao kuliko JPM sembuse kumtwanga mtu risasi kwa aina ya mahaba yale
Kuna uzi humu ya clip moja ilimhusisha mwananchi mmoja akilaani kwa yoyote anayempinga na kumkashifu Magufuli kwamba atamshughurikia yeye kama yeye!
Sasa haya mambo yasituchukulie muda, tuendeleeni kulijenga Taifa letu
Haitasaidia kuendelea kumsagia meno marehemu na kwanza ni ujinga tu
Muda hausubiri bali tukitaka muda utusubiri ni kufanya tulimbikize mambo mengi yatupasayo kufanya sasa!
Dunia iko mbaali sana kuliko mahali sisi tulipo! Tuna matatizo ya kiuchumi na umasikini wa watu uliokithiri
Tunakaa kulumbana na wafu ili hali tunayokazi ya kuwatoa watu kwenye umasikini wao kwa mipango inayotutaka tufanye sasa?
JPM hayupo, hawezi pata adhabu tena ya duniani, lakini pia hakuna uthibitisho wa moja kwa moja unaoonyesha kwamba alimtafuna mtu na kumtwanga risasi
Mahaba ni mabaya. Kipindi cha JPM kuna watu ilifika pahala wakiwa na mahaba kwa JPM kuliko hata maisha yao wenyewe' watu walifikia kusema, kama kifo kingelikuwa kinabadirisha mtu wa kufa, wako tayari wafe wao kuliko JPM sembuse kumtwanga mtu risasi kwa aina ya mahaba yale
Kuna uzi humu ya clip moja ilimhusisha mwananchi mmoja akilaani kwa yoyote anayempinga na kumkashifu Magufuli kwamba atamshughurikia yeye kama yeye!
Sasa haya mambo yasituchukulie muda, tuendeleeni kulijenga Taifa letu
Haitasaidia kuendelea kumsagia meno marehemu na kwanza ni ujinga tu