Watu wanaongozwa na mihemko ya kiimani kuliko akili,
Wayahudi na waparestina Wala hawana akili kama zetu,
Wanawabagua wakristo,wanawabagua waafrika weusi bila kujali ni wakristo au waislamu
Waparestina wanawabagua waafrika ,hawataki hata kuwauliza wanaswali wapi,just only they are black
Wanajua propaganda, wanajua nafasi Yao kwenye vitabu vya dini,
Wanatumia hiyo nafasi kama silaha Moja wapo ya kushinda vita, wanajua Kuna watu wanawachukulia kama watu ambao ni 1st class mbinguni, nao wanatumia akili hizo ndogo kupata support,
Kwao dini na imani ni diplomatic weapon ya kutafuta relief mambo yanapowaendea mlama, utasikia waislamu tuupiganie uislam wetu,timely wanachopigania ni ardhi, hii ni case Yao ,
Ukraine wanapigania aridhi Yao isiwe chini ya mamlaka ya urusi, ila kwa sababu hawana backup ya vitabu vya dini huwezi sikia wanasema wakristo tuupiganie ukristo wetu, ,
Watu wamepotoshwa na waalimu wa dini na Wala siyo vitabu vya dini,vitabu vya dini viko tofauti na mawazo ya watu,