Dunia ielewe kuwa Israeli haipigani na Waislamu au Palestina, bali inapigana na Hamas

Dunia ielewe kuwa Israeli haipigani na Waislamu au Palestina, bali inapigana na Hamas

Kitendo cha HAMAS kuvamia Israel na kuua baadhi ya Raia, kumimina risasi uraiani, na kuteka watu ikiwemo watanzania wawili, icho tayari ni kitendo cha Kigaidi (Terrorism Act), rejea maana ya neno 'Terrorism' au 'Ugaidi'. Hata hivyo mwanzo watu walionekana kufurahishwa na vitendo vya Hamas.

Israel kujibu mapigo na kufanya patrol ya kuwatafuta Hamas ndani ya mji wa Gaza, ni hatua yoyote ambayo serikali yeyote Duniani ingefanya hili kulinda raia wake na mali zake dhidi ya maadui. Rejea kisa cha Vita ya Kagera baada ya Idd Amini kufanya mashambulizi dhidi ya Tanzania, ni kwamba Tanzania iliingia mpaka Uganda kuhakikisha inamuondoa Dada Idd Amini. Ndicho Israel inachokifanya dhidi ya Hamas mjini Gaza.

Hamas sio Nchi, Hamas sio Dini. Hivyo inashangaza kuona watu wanatetea uovu wa Hamas kwa kutumia neno "Free Palestine". Kwani nani kakuambia Palestina ndio imevamiwa, lililovamiwa ni eneo la gaza ambalo Hamas ndiko walikojificha na kuficha mateka. Palestina ina maeneo mawili ambayo hata hivyo nayo hayaelewani, kuna Gaza na West Bank. Raia wa West Bank hawana shida, wala hawashambuliwi. Hata serikali ya West Bank haiwakubali wanamgambo wa Hamas. Kutumia neno Palestina wakati wanaopigwa ni Hamas, ni matumizi mabaya ya neno palestina. Ingekuwa inayopigwa ni Nchi basi tungeona hata Ukanda wa West Bank nako kuna mashambulizi yanayorushwa na wapalestina.

Mwisho kuweka Ukristo au Uislamu kwenye hii vita, huo ni utahira. Dini zenyewe umezaliwa umezikuta zimeletwa na wamishionari na Waarabu, wewe unazipaparukia. Unajiona huko radhi kumsaidia mpalestina au muisrael kuliko jirani yako Congo.

Watanzania na waafrika tuamkeni, tujenge nchi yetu na bara letu na sio kutukuza Dini na Nchi za ughaibuni wakati hali zetu za maisha zinadidimizwa na hao hao.
Ondoa udini ktk hisia zako za ndani kwanza Ili use na free mind. Kinyune na hapo unaionea nafasi Yako na kuwalisha watu matango pori.
 
Mbna mnazungumzia HAMS kuua Israel na mnasahau Israel kuua Wapalestina Nalo pia mpaka mfundishwe kuna mtangazaji mmoja wameuliwa Familia yake yote
Huyo mtangazaji alikuwa mfuasi Wa Hamas yeye na watoto wake wawili. Ukishakuwa mfuasi Wa upande mmoja Wa vita tegemea lolote. Dunia hakipaswi kuwa na upande katika vita hivi ili suluhu ya kudumu ipatikane watu Waishi kwa Amani. Umoja Wa Mataifa upewe nguvu na Jumuiya ya Kimataifa kusaka suluhu ya kudumu. Naumia Sana nikiona wanakufa ni watoto na Wanawake ambao hawana maslahi na vita hivi. Uhai kwanzaengine baadaye
 
Huyo mtangazaji alikuwa mfuasi Wa Hamas yeye na watoto wake wawili. Ukishakuwa mfuasi Wa upande mmoja Wa vita tegemea lolote. Dunia hakipaswi kuwa na upande katika vita hivi ili suluhu ya kudumu ipatikane watu Waishi kwa Amani. Umoja Wa Mataifa upewe nguvu na Jumuiya ya Kimataifa kusaka suluhu ya kudumu. Naumia Sana nikiona wanakufa ni watoto na Wanawake ambao hawana maslahi na vita hivi. Uhai kwanzaengine baadaye
Mkuu unajua ni mtangazaji Gani ninayeMkusudia Simkusidii wa Aljazeera Ambaye wengi mnamsema
 
Watu wanaongozwa na mihemko ya kiimani kuliko akili,

Wayahudi na waparestina Wala hawana akili kama zetu,
Wanawabagua wakristo,wanawabagua waafrika weusi bila kujali ni wakristo au waislamu

Waparestina wanawabagua waafrika ,hawataki hata kuwauliza wanaswali wapi,just only they are black



Wanajua propaganda, wanajua nafasi Yao kwenye vitabu vya dini,
Wanatumia hiyo nafasi kama silaha Moja wapo ya kushinda vita, wanajua Kuna watu wanawachukulia kama watu ambao ni 1st class mbinguni, nao wanatumia akili hizo ndogo kupata support,


Kwao dini na imani ni diplomatic weapon ya kutafuta relief mambo yanapowaendea mlama, utasikia waislamu tuupiganie uislam wetu,timely wanachopigania ni ardhi, hii ni case Yao ,
Ukraine wanapigania aridhi Yao isiwe chini ya mamlaka ya urusi, ila kwa sababu hawana backup ya vitabu vya dini huwezi sikia wanasema wakristo tuupiganie ukristo wetu, ,


Watu wamepotoshwa na waalimu wa dini na Wala siyo vitabu vya dini,vitabu vya dini viko tofauti na mawazo ya watu,

-Watu weusi wapo Palestina wachache

-Wengi ni vizazi vya Guards wa zamani wa Al Aqsa

-wanajiona ni Wapalestina na wao pia wanapigania Uhuru wa Palestina, wanafungwa na waisrael na Wanapata tabu kama waarabu.

Soma zaidi hapa

Pia Wakristo Wa Palestina na Waisilamu wa Palestina ni kitu kimoja, Wamepigana Alongside maelfu ya miaka kuanzia enzi Hizo hadi leo, na hata sasa hivi PFLP wanasaidiana na Hamas.
 
Kitendo cha HAMAS kuvamia Israel na kuua baadhi ya Raia, kumimina risasi uraiani, na kuteka watu ikiwemo watanzania wawili, icho tayari ni kitendo cha Kigaidi (Terrorism Act), rejea maana ya neno 'Terrorism' au 'Ugaidi'. Hata hivyo mwanzo watu walionekana kufurahishwa na vitendo vya Hamas.

Israel kujibu mapigo na kufanya patrol ya kuwatafuta Hamas ndani ya mji wa Gaza, ni hatua yoyote ambayo serikali yeyote Duniani ingefanya hili kulinda raia wake na mali zake dhidi ya maadui. Rejea kisa cha Vita ya Kagera baada ya Idd Amini kufanya mashambulizi dhidi ya Tanzania, ni kwamba Tanzania iliingia mpaka Uganda kuhakikisha inamuondoa Dada Idd Amini. Ndicho Israel inachokifanya dhidi ya Hamas mjini Gaza.

Hamas sio Nchi, Hamas sio Dini. Hivyo inashangaza kuona watu wanatetea uovu wa Hamas kwa kutumia neno "Free Palestine". Kwani nani kakuambia Palestina ndio imevamiwa, lililovamiwa ni eneo la gaza ambalo Hamas ndiko walikojificha na kuficha mateka. Palestina ina maeneo mawili ambayo hata hivyo nayo hayaelewani, kuna Gaza na West Bank. Raia wa West Bank hawana shida, wala hawashambuliwi. Hata serikali ya West Bank haiwakubali wanamgambo wa Hamas. Kutumia neno Palestina wakati wanaopigwa ni Hamas, ni matumizi mabaya ya neno palestina. Ingekuwa inayopigwa ni Nchi basi tungeona hata Ukanda wa West Bank nako kuna mashambulizi yanayorushwa na Wapalestina.

Mwisho kuweka Ukristo au Uislamu kwenye hii vita, huo ni utahira. Dini zenyewe umezaliwa umezikuta zimeletwa na wamishionari na Waarabu, wewe unazipaparukia. Unajiona huko radhi kumsaidia mpalestina au muisrael kuliko jirani yako Congo.

Watanzania na waafrika tuamkeni, tujenge nchi yetu na bara letu na sio kutukuza Dini na Nchi za ughaibuni wakati hali zetu za maisha zinadidimizwa na hao hao.
Wewe sijui ndivyo ulivyoelewa au tuseme unatetea imani yako.Mwenyewe Netanyahu anapigana na waislamu akiwa amejaa mistari ya biblia.Sasa akifanya yeye hafanyi na wakifanya wengine wamekosea.
 
Wewe sijui ndivyo ulivyoelewa au tuseme unatetea imani yako.Mwenyewe Netanyahu anapigana na waislamu akiwa amejaa mistari ya biblia.Sasa akifanya yeye hafanyi na wakifanya wengine wamekosea.

Kwani waisalamu nao si wanaiamini biblia hasa torati ya wayahudi na zaburi za mfalme daudi wa wayahudi wa kale.
 
Mtoa mada ungejifunza kuandika kwanza, pili usiangalie ulipoangukia angalia ulipojikwaa, HAMAS kwanini wanavamia israel?
Kwanini waliwachukua mateka mpk sasa wanao?
Nani atakuhurumia ikiwa umeenda kuua na kuchukua mateka na bado ubaki nao? Kitendo hichi ndicho kilitangaza vita
 
Wewe sijui ndivyo ulivyoelewa au tuseme unatetea imani yako.Mwenyewe Netanyahu anapigana na waislamu akiwa amejaa mistari ya biblia.Sasa akifanya yeye hafanyi na wakifanya wengine wamekosea.
Kwa mfano Israel ingeenda kuvamia Gaza, ikaua raia na ikachukua mateka zaidi 220 ikaenda nao Israel.
Unafikiri wapelestina wangefanya nini?
 
Kwani hawawezi kukaa kwa pamoja kwa utulivu?
Walikua wanakaa pamoja wakati Nchi inaitwa Palestina, ila Israel Jew ni first class na waliobakia sio binadamu. Unaweza ukawa umelala kwako unaamka asubuhi unasikia kishido paa linang'olewa Settlers wa Ki jew kapenda nyumba yako anaichukua, unafukuzwa kwako na hupewi hata 100.
 
green rajab,
Kwanza Kabisa napinga kitendo icho cha kudhuru watoto...

Hayo ni makosa ya Hamas, kung'ang'ania raia, wanajifichwa kwa raia na kusababisha madhara kwao. Hamas wanatumia binadamu kama ngao ya kujilinda. Hapo wa kulaumiwa sio Israel bali ni hao wanaotumia Binadamu kama Ngao... HAMAS walitakiwa kulinda Raia na kuwaondoa maeneo ya vita, ila wao ndio wanashikilia raia
 
Ndio sasa utafanyaje sasa? Hakuna chochote utafanya. Endeleeni kuilaani Israel huku mmebanamikundu na marinda.

Kutoka deep down in my heart naipenda Israel nakuiombea itimize lengo lake ( the just and sacred course) la kuleta amani Gaza.
Ujinga ni mzigo pole sana
 
Watu wanaongozwa na mihemko ya kiimani kuliko akili,

Wayahudi na waparestina Wala hawana akili kama zetu,
Wanawabagua wakristo,wanawabagua waafrika weusi bila kujali ni wakristo au waislamu

Waparestina wanawabagua waafrika ,hawataki hata kuwauliza wanaswali wapi,just only they are black



Wanajua propaganda, wanajua nafasi Yao kwenye vitabu vya dini,
Wanatumia hiyo nafasi kama silaha Moja wapo ya kushinda vita, wanajua Kuna watu wanawachukulia kama watu ambao ni 1st class mbinguni, nao wanatumia akili hizo ndogo kupata support,


Kwao dini na imani ni diplomatic weapon ya kutafuta relief mambo yanapowaendea mlama, utasikia waislamu tuupiganie uislam wetu,timely wanachopigania ni ardhi, hii ni case Yao ,
Ukraine wanapigania aridhi Yao isiwe chini ya mamlaka ya urusi, ila kwa sababu hawana backup ya vitabu vya dini huwezi sikia wanasema wakristo tuupiganie ukristo wetu, ,


Watu wamepotoshwa na waalimu wa dini na Wala siyo vitabu vya dini,vitabu vya dini viko tofauti na mawazo ya watu,
Sasa mkuu UISLAM na MUISLAM ni wajibu katika haki za MUISLAM kumsaidia MUISLAM mwenzako katika hali yoyote ili awe mzungu mchina mwarabu
nk UISLAM umeimizwa kusaifiana katika waislam na hata wasiokuwa waislam ikiwa una uwezo wa kufanya hivyo
hata akitoka MUISLM mtanzania akienda kumsaidia mparestina kutetea ARDHI yake ni SUNNA kwa MUISLAM

Lkn jambo jingine tambua TAIFA la parestina katika UISLAM ni muhimu sana hvyo muislam kulisemea ni jambo ambal9 linamuhusu
Na swala la waparestina kiwabagua BLACK hiyo ni moyo wake yeye
Na pia katika UISLAM msaada ni HISANI ukitoa msaada unapata thawabu na usipotoa msaada wala hupati DHAMBI

Ukiachana na UDINI swala la VITA halikubariki 7bu adilimia kubwa wanaoumia pande zote mbili ni watu wasiona hatia
Hvyo wanachofanya ISRAEL KWA PALESTINE ama HAMAS kwa ISRAEL nimwendelezo wa VISASI amabvyo ni HASARA namaafa kwapande zote
 
Kwanza Kabisa napinga kitendo icho cha kudhuru watoto...

Hayo ni makosa ya Hamas, kung'ang'ania raia, wanajifichwa kwa raia na kusababisha madhara kwao. Hamas wanatumia binadamu kama ngao ya kujilinda. Hapo wa kulaumiwa sio Israel bali ni hao wanaotumia Binadamu kama Ngao... HAMAS walitakiwa kulinda Raia na kuwaondoa maeneo ya vita, ila wao ndio wanashikilia raia
Bro kuna video kibao live hayo mabomu yakipigwa, angalia hii video niambie kuna Hamas hapo?


View: https://m.youtube.com/watch?v=NN-fFC1omKY

Watu wamekaa zao Supermarket wamepanga Foleni wanalipa

Israel anarusha mabomu specific sehemu ambazo raia wanategemea
1. Kambi za wakimbizi za UN
2. Vyombo vya habari pamoja na Familia zao
3. Bakery za mikate
4. Makanisa na misikiti
5. Hospitali etc.

Unless unaamini Reuters, Al jazeera, Ap wanahifadhi Hamas, unless unaamini UN ni Hamas, Unless unaamini kanisa la Anglikana ni Hamas huwezi sema Israel Anapiga Hamas, anatarget kabisa raia kimakusudi,
 
Sasa mkuu UISLAM na MUISLAM ni wajibu katika haki za MUISLAM kumsaidia MUISLAM mwenzako katika hali yoyote ili awe mzungu mchina mwarabu
nk UISLAM umeimizwa kusaifiana katika waislam na hata wasiokuwa waislam ikiwa una uwezo wa kufanya hivyo
hata akitoka MUISLM mtanzania akienda kumsaidia mparestina kutetea ARDHI yake ni SUNNA kwa MUISLAM

Lkn jambo jingine tambua TAIFA la parestina katika UISLAM ni muhimu sana hvyo muislam kulisemea ni jambo ambal9 linamuhusu
Na swala la waparestina kiwabagua BLACK hiyo ni moyo wake yeye
Na pia katika UISLAM msaada ni HISANI ukitoa msaada unapata thawabu na usipotoa msaada wala hupati DHAMBI

Ukiachana na UDINI swala la VITA halikubariki 7bu adilimia kubwa wanaoumia pande zote mbili ni watu wasiona hatia
Hvyo wanachofanya ISRAEL KWA PALESTINE ama HAMAS kwa ISRAEL nimwendelezo wa VISASI amabvyo ni HASARA namaafa kwapande zote
Janjaweed, Ile ilikuwa vita kati ya waafrika waislamu weus dhidi ya waarabu weupe, hii ilipelekea tukapata sudani kusini na sudani kaskazini,. Pitia hii vita utaona jinsi dini inavotumika vibaya na Yale mataifa ya mashariki ya kati,, waliuana na hakuna aliyesimama kwa kigezo Cha upendo wa kidini,
 
Kitendo cha HAMAS kuvamia Israel na kuua baadhi ya Raia, kumimina risasi uraiani, na kuteka watu ikiwemo watanzania wawili, icho tayari ni kitendo cha Kigaidi (Terrorism Act), rejea maana ya neno 'Terrorism' au 'Ugaidi'. Hata hivyo mwanzo watu walionekana kufurahishwa na vitendo vya Hamas.

Israel kujibu mapigo na kufanya patrol ya kuwatafuta Hamas ndani ya mji wa Gaza, ni hatua yoyote ambayo serikali yeyote Duniani ingefanya hili kulinda raia wake na mali zake dhidi ya maadui. Rejea kisa cha Vita ya Kagera baada ya Idd Amini kufanya mashambulizi dhidi ya Tanzania, ni kwamba Tanzania iliingia mpaka Uganda kuhakikisha inamuondoa Dada Idd Amini. Ndicho Israel inachokifanya dhidi ya Hamas mjini Gaza.

Hamas sio Nchi, Hamas sio Dini. Hivyo inashangaza kuona watu wanatetea uovu wa Hamas kwa kutumia neno "Free Palestine". Kwani nani kakuambia Palestina ndio imevamiwa, lililovamiwa ni eneo la gaza ambalo Hamas ndiko walikojificha na kuficha mateka. Palestina ina maeneo mawili ambayo hata hivyo nayo hayaelewani, kuna Gaza na West Bank. Raia wa West Bank hawana shida, wala hawashambuliwi. Hata serikali ya West Bank haiwakubali wanamgambo wa Hamas. Kutumia neno Palestina wakati wanaopigwa ni Hamas, ni matumizi mabaya ya neno palestina. Ingekuwa inayopigwa ni Nchi basi tungeona hata Ukanda wa West Bank nako kuna mashambulizi yanayorushwa na Wapalestina.

Mwisho kuweka Ukristo au Uislamu kwenye hii vita, huo ni utahira. Dini zenyewe umezaliwa umezikuta zimeletwa na wamishionari na Waarabu, wewe unazipaparukia. Unajiona huko radhi kumsaidia mpalestina au muisrael kuliko jirani yako Congo.

Watanzania na waafrika tuamkeni, tujenge nchi yetu na bara letu na sio kutukuza Dini na Nchi za ughaibuni wakati hali zetu za maisha zinadidimizwa na hao hao.
Uzii mrefu lakini hakuna cha maana ulichoandika
 
Kwanini waliwachukua mateka mpk sasa wanao?
Nani atakuhurumia ikiwa umeenda kuua na kuchukua mateka na bado ubaki nao? Kitendo hichi ndicho kilitangaza vita
Bado unarudia kile kile, nakuuliza kwanini HAMAS wanateka na kuua watu israel?
 
Wapalestina no ndugu zetu katika imaani. Ukitangaza vita na wapalestina ni sawa na umetangaza vita na waislamu wote duniani
 
Kitendo cha HAMAS kuvamia Israel na kuua baadhi ya Raia, kumimina risasi uraiani, na kuteka watu ikiwemo watanzania wawili, icho tayari ni kitendo cha Kigaidi (Terrorism Act), rejea maana ya neno 'Terrorism' au 'Ugaidi'. Hata hivyo mwanzo watu walionekana kufurahishwa na vitendo vya Hamas.

Israel kujibu mapigo na kufanya patrol ya kuwatafuta Hamas ndani ya mji wa Gaza, ni hatua yoyote ambayo serikali yeyote Duniani ingefanya hili kulinda raia wake na mali zake dhidi ya maadui. Rejea kisa cha Vita ya Kagera baada ya Idd Amini kufanya mashambulizi dhidi ya Tanzania, ni kwamba Tanzania iliingia mpaka Uganda kuhakikisha inamuondoa Dada Idd Amini. Ndicho Israel inachokifanya dhidi ya Hamas mjini Gaza.

Hamas sio Nchi, Hamas sio Dini. Hivyo inashangaza kuona watu wanatetea uovu wa Hamas kwa kutumia neno "Free Palestine". Kwani nani kakuambia Palestina ndio imevamiwa, lililovamiwa ni eneo la gaza ambalo Hamas ndiko walikojificha na kuficha mateka. Palestina ina maeneo mawili ambayo hata hivyo nayo hayaelewani, kuna Gaza na West Bank. Raia wa West Bank hawana shida, wala hawashambuliwi. Hata serikali ya West Bank haiwakubali wanamgambo wa Hamas. Kutumia neno Palestina wakati wanaopigwa ni Hamas, ni matumizi mabaya ya neno palestina. Ingekuwa inayopigwa ni Nchi basi tungeona hata Ukanda wa West Bank nako kuna mashambulizi yanayorushwa na Wapalestina.

Mwisho kuweka Ukristo au Uislamu kwenye hii vita, huo ni utahira. Dini zenyewe umezaliwa umezikuta zimeletwa na wamishionari na Waarabu, wewe unazipaparukia. Unajiona huko radhi kumsaidia mpalestina au muisrael kuliko jirani yako Congo.

Watanzania na waafrika tuamkeni, tujenge nchi yetu na bara letu na sio kutukuza Dini na Nchi za ughaibuni wakati hali zetu za maisha zinadidimizwa na hao hao.
Kwanza hao palestina washashirikiana na nduli amini kitambo hiyo ili tupigwe. Na bado wameteka raia wetu hapana kwa kweli acha wavune wanachotaka hao hamas
 
Kitendo cha HAMAS kuvamia Israel na kuua baadhi ya Raia, kumimina risasi uraiani, na kuteka watu ikiwemo watanzania wawili, icho tayari ni kitendo cha Kigaidi (Terrorism Act), rejea maana ya neno 'Terrorism' au 'Ugaidi'. Hata hivyo mwanzo watu walionekana kufurahishwa na vitendo vya Hamas.

Israel kujibu mapigo na kufanya patrol ya kuwatafuta Hamas ndani ya mji wa Gaza, ni hatua yoyote ambayo serikali yeyote Duniani ingefanya hili kulinda raia wake na mali zake dhidi ya maadui. Rejea kisa cha Vita ya Kagera baada ya Idd Amini kufanya mashambulizi dhidi ya Tanzania, ni kwamba Tanzania iliingia mpaka Uganda kuhakikisha inamuondoa Dada Idd Amini. Ndicho Israel inachokifanya dhidi ya Hamas mjini Gaza.

Hamas sio Nchi, Hamas sio Dini. Hivyo inashangaza kuona watu wanatetea uovu wa Hamas kwa kutumia neno "Free Palestine". Kwani nani kakuambia Palestina ndio imevamiwa, lililovamiwa ni eneo la gaza ambalo Hamas ndiko walikojificha na kuficha mateka. Palestina ina maeneo mawili ambayo hata hivyo nayo hayaelewani, kuna Gaza na West Bank. Raia wa West Bank hawana shida, wala hawashambuliwi. Hata serikali ya West Bank haiwakubali wanamgambo wa Hamas. Kutumia neno Palestina wakati wanaopigwa ni Hamas, ni matumizi mabaya ya neno palestina. Ingekuwa inayopigwa ni Nchi basi tungeona hata Ukanda wa West Bank nako kuna mashambulizi yanayorushwa na Wapalestina.

Mwisho kuweka Ukristo au Uislamu kwenye hii vita, huo ni utahira. Dini zenyewe umezaliwa umezikuta zimeletwa na wamishionari na Waarabu, wewe unazipaparukia. Unajiona huko radhi kumsaidia mpalestina au muisrael kuliko jirani yako Congo.

Watanzania na waafrika tuamkeni, tujenge nchi yetu na bara letu na sio kutukuza Dini na Nchi za ughaibuni wakati hali zetu za maisha zinadidimizwa na hao hao.
Hivi ni kati ya waislam na mayahudi na marafiki wake Cristian
 
Back
Top Bottom