Dunia ikiendelea hivi kuna hatari vita ya dunia ya 3 kutokea.

Dunia ikiendelea hivi kuna hatari vita ya dunia ya 3 kutokea.

sindano butu

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
518
Reaction score
181
Dunia ya sasa sio kama dunia ya miaka ya nyuma baada ya UN kuundwa. Mauaji yakitokea kwa waarabu au warusi dunia kimya. Lakini mauaji yakitokea kwa Israel au Marekani au Europe ukitoa Urusi utaona dunia itakavyolaani.

Mwenendo wa dunia ishafikia wakati kila mtu anajiamulia kufanya jambo ili kufanikisha kisasi chake .Na mbaya zaidi sasa hivi teknologia imekuwa sana na kusababisha hakuna superpower wa kweli.Hii imejidhihirisha kwa Houth kuweza kuzuia meli zisiende israel ingawaje zipo nchi mbalimbali za ulaya zikimsaidia marekani kutaka meli zipite mediterranean sea bila kupingwa

Dunia ya sasa sio salama haswa ukiangalia marekani aliyekuwa akitetea haki za binadamu amekuwa kinara kutetea mauaji ya israel kwa wapalestine. Mbaya zaidi marekani imedhubutu kumpitisha raisi Trump kama mgombea huku akionesha kutetea kupinga maisha ya watu mfano wapalestine.

Kwa sababu UN imeonekana kupaya sana kuna uwezekano vita ya dunia kutokea sababu kwa zama hizi kuna migogoro inaweza kutokea sababu ishaonekana kawaida kuua maelfu ya watu. Dunia ishaona kawaida warusi na waukraine laki kadhaa wakifa sababu hakuna anayejali maisha.

Misingi ya dunia haifuatwi sasa na hii tuseme kuna siku mabomu ya nyuklia yatatumika. Dunia haina usawa kabisa sababu muisrael kumiliki nyuklia ni sawa lakini muiran kumiliki sio sawa.Kwanini wasiseme tuh hakuna nchi yeyote kumiliki nyuklia duniani .

Ubaguzi, visasi, udini umefanya wazungu kumiliki nyuklia bomb sawa lakini wengine wakimiliki sio sawa.

Na tuseme hakuna superpower duniani sababu teknologia ishakuwa sana kwa kila mtu. Dunia haiamini houth walitengenezaje hypersonic missile. Vita ya 3 inaweza kutokea sababu kila mtu atataka ajioneshe ana nguvu duniani na tushafikia huko.
 
Trumpth atafanya massive deportation ya wahamiaji kule USA.. Mawazo yangu kila mtu abaki nchi yake maana ushirikiano utatoweka kabisa kikubwa maisha yanaenda .

Soko huria ni kwa africa tu ila dunia nzima sehemu kubwa kuna vikwazo vya kibiashara kama china vs USA , hii ina maana binadamu huko mbeleni hawatoweza kuishi pamoja kabisa .
 
Trumpth atafanya massive deportation ya wahamiaji kule USA.. Mawazo yangu kila mtu abaki nchi yake maana ushirikiano utatoweka kabisa kikubwa maisha yanaenda .

Soko huria ni kwa africa tu ila dunia nzima sehemu kubwa kuna vikwazo vya kibiashara kama china vs USA , hii ina maana binadamu huko mbeleni hawatoweza kuishi pamoja kabisa .
Hakuna mtu mwenye nchi yake hapa duniani , US ni taifa la wahamiaji 90 %
 
Binadamu ni kati ya viumbe vya hovyo kabisa kuwahi kuishi hapa duniani. Tunachowaza sisi ni kuuana, kudhulumiana, tamaa ya mali, roho mbaya, wivu, chuki, ubabe wa kijinga, vita, ushoga..

Mpaka hua najiuliza hivi huyo Mungu alietuumba "kwa sura na mfano wake" yeye yukoje?
 
Binadamu ni kati ya viumbe vya hovyo kabisa kuwahi kuishi hapa duniani. Tunachowaza sisi ni kuuana, kudhulumiana, tamaa ya mali, roho mbaya, wivu, chuki, ubabe wa kijinga, vita, ushoga..

Mpaka hua najiuliza hivi huyo Mungu alietuumba "kwa sura na mfano wake" yeye yukoje?
Kweli
 
Wakiuawa waisrael wewe uliwahi laani? Mfano yemen wale wahouth knachowawasha kuwashambulia israel ni nn hv wakijibiwa na watu wakafa utaanza kulaani israel khs mambo ya huko palestina hamas wanawashambulia wayahudi then wanakimbilia kujfcha kwny makaz ya watu unategemea israel afanye nn kama wao wameamua kupgana na ni wanaume kweli si wapgane live si kwa kujfchafcha kwny makaz ya watu wanakuwa wanavizia nakushauri upunguze udini mbona congo. Sudan nigeria nk kuna vita zisizoisha na wafrika wanakufa kama nzige hamsemi mmekalia ya waarabu na wayahudi tu ksa dini na wkt wanatubagua chizi wewe
 
Wakiuawa waisrael wewe uliwahi laani? Mfano yemen wale wahouth knachowawasha kuwashambulia israel ni nn hv wakijibiwa na watu wakafa utaanza kulaani israel khs mambo ya huko palestina hamas wanawashambulia wayahudi then wanakimbilia kujfcha kwny makaz ya watu unategemea israel afanye nn kama wao wameamua kupgana na ni wanaume kweli si wapgane live si kwa kujfchafcha kwny makaz ya watu wanakuwa wanavizia nakushauri upunguze udini mbona congo. Sudan nigeria nk kuna vita zisizoisha na wafrika wanakufa kama nzige hamsemi mmekalia ya waarabu na wayahudi tu ksa dini na wkt wanatubagua chizi wewe
Mauaji ya africa usifananishe na wapalestine. Mimi sipo kuwatetea waarabu au waisrael . Mimi nazungumzia utu duniani imepotea. kuna siku mabomu ya nyuklia yatatumika kuoneshana nguvu. Hoja yangu kwa nini dunia tusiishi kwa kupendana na kuasha visasi. Angalia familia zina ishi kwa shida kupoteza wapendwa wao.
 
Mauaji ya africa usifananishe na wapalestine. Mimi sipo kuwatetea waarabu au waisrael . Mimi nazungumzia utu duniani imepotea. kuna siku mabomu ya nyuklia yatatumika kuoneshana nguvu. Hoja yangu kwa nini dunia tusiishi kwa kupendana na kuasha visasi. Angalia familia zina ishi kwa shida kupoteza wapendwa wao.
Kwamba wanauawa bila sababu hao wapalestina mbona husemi hamas wanawavzia waisrael na kuwarushia maroketi wakiwa katikati ya makaz ya watu na wanajfcha hukohuko unataka myahudi afanye nn na kwa ujinga wako unaamini congo au sudan wafrika hawafi sn kiholela kuliko huko arabun we ni kichaa
 
Haki na usawa havipatikani bila vita tangu mwanzo wa binadamu kuwepo hapa duniani. Siku zote kuna binadamu wana dhana ya kutawala binadamu wengine, kwahiyo vita ni muhimu na pengine ni lazima kwa sababu hakuna watu wala nchi inayopenda kutawaliwa na nchi nyingine hasa kifikra.
 
Kwamba wanauawa bila sababu hao wapalestina mbona husemi hamas wanawavzia waisrael na kuwarushia maroketi wakiwa katikati ya makaz ya watu na wanajfcha hukohuko unataka myahudi afanye nn na kwa ujinga wako unaamini congo au sudan wafrika hawafi sn kiholela kuliko huko arabun we ni kichaa
kichaa wewe na Nyetanyahau wako. Muache visasi mnaharibu amani ya dunia. vita ya africa usifananishe na vita yawapalestine. kumbuka kule israel anatumia AI weapons kulipua watu kwenye anga. kwa nini wasitume wanajeshi wapambane uso kwa uso. Wanatuma sana mabomu matokeo yake wapalestine zaidi ya 40000 wamekufa.
 
Dunia ya sasa sio kama dunia ya miaka ya nyuma baada ya UN kuundwa. Mauaji yakitokea kwa waarabu au warusi dunia kimya. Lakini mauaji yakitokea kwa Israel au Marekani au Europe ukitoa Urusi utaona dunia itakavyolaani.

Mwenendo wa dunia ishafikia wakati kila mtu anajiamulia kufanya jambo ili kufanikisha kisasi chake .Na mbaya zaidi sasa hivi teknologia imekuwa sana na kusababisha hakuna superpower wa kweli.Hii imejidhihirisha kwa Houth kuweza kuzuia meli zisiende israel ingawaje zipo nchi mbalimbali za ulaya zikimsaidia marekani kutaka meli zipite mediterranean sea bila kupingwa

Dunia ya sasa sio salama haswa ukiangalia marekani aliyekuwa akitetea haki za binadamu amekuwa kinara kutetea mauaji ya israel kwa wapalestine. Mbaya zaidi marekani imedhubutu kumpitisha raisi Trump kama mgombea huku akionesha kutetea kupinga maisha ya watu mfano wapalestine.

Kwa sababu UN imeonekana kupaya sana kuna uwezekano vita ya dunia kutokea sababu kwa zama hizi kuna migogoro inaweza kutokea sababu ishaonekana kawaida kuua maelfu ya watu. Dunia ishaona kawaida warusi na waukraine laki kadhaa wakifa sababu hakuna anayejali maisha.

Misingi ya dunia haifuatwi sasa na hii tuseme kuna siku mabomu ya nyuklia yatatumika. Dunia haina usawa kabisa sababu muisrael kumiliki nyuklia ni sawa lakini muiran kumiliki sio sawa.Kwanini wasiseme tuh hakuna nchi yeyote kumiliki nyuklia duniani .Ubaguzi, visasi, udini umefanya wazungu kumiliki nyuklia bomb sawa lakini wengine wakimiliki sio sawa.
Na tuseme hakuna superpower duniani sababu teknologia ishakuwa sana kwa kila mtu. Dunia haiamini houth walitengenezaje hypersonic missile. Vita ya 3 inaweza kutokea sababu kila mtu atataka ajioneshe ana nguvu duniani na tushafikia huko.
Hilo limeshasemwa zamani sana.Tuseme tu sasa kasi ya kutokea imekuwa ikiongezeka
 
Ila kwa kweli naona binadamu wameshindwa kuishi pamoja kabisa , kama wazungu walikuja kwetu na kufanya mpaka ukoloni leo hawataki watu kwao ..
Tatizo mkifika kwao mnalazimisha mambo yenu, mila zenu na ustaarabu wenu wa mlikotoka
 
Dunia ya sasa sio kama dunia ya miaka ya nyuma baada ya UN kuundwa. Mauaji yakitokea kwa waarabu au warusi dunia kimya. Lakini mauaji yakitokea kwa Israel au Marekani au Europe ukitoa Urusi utaona dunia itakavyolaani.

Mwenendo wa dunia ishafikia wakati kila mtu anajiamulia kufanya jambo ili kufanikisha kisasi chake .Na mbaya zaidi sasa hivi teknologia imekuwa sana na kusababisha hakuna superpower wa kweli.Hii imejidhihirisha kwa Houth kuweza kuzuia meli zisiende israel ingawaje zipo nchi mbalimbali za ulaya zikimsaidia marekani kutaka meli zipite mediterranean sea bila kupingwa

Dunia ya sasa sio salama haswa ukiangalia marekani aliyekuwa akitetea haki za binadamu amekuwa kinara kutetea mauaji ya israel kwa wapalestine. Mbaya zaidi marekani imedhubutu kumpitisha raisi Trump kama mgombea huku akionesha kutetea kupinga maisha ya watu mfano wapalestine.

Kwa sababu UN imeonekana kupaya sana kuna uwezekano vita ya dunia kutokea sababu kwa zama hizi kuna migogoro inaweza kutokea sababu ishaonekana kawaida kuua maelfu ya watu. Dunia ishaona kawaida warusi na waukraine laki kadhaa wakifa sababu hakuna anayejali maisha.

Misingi ya dunia haifuatwi sasa na hii tuseme kuna siku mabomu ya nyuklia yatatumika. Dunia haina usawa kabisa sababu muisrael kumiliki nyuklia ni sawa lakini muiran kumiliki sio sawa.Kwanini wasiseme tuh hakuna nchi yeyote kumiliki nyuklia duniani .Ubaguzi, visasi, udini umefanya wazungu kumiliki nyuklia bomb sawa lakini wengine wakimiliki sio sawa.
Na tuseme hakuna superpower duniani sababu teknologia ishakuwa sana kwa kila mtu. Dunia haiamini houth walitengenezaje hypersonic missile. Vita ya 3 inaweza kutokea sababu kila mtu atataka ajioneshe ana nguvu duniani na tushafikia huko.
Mnaenda kuichokoza israel wenyewe mkipigwa mnakuja kulia lia
 
Dunia ya sasa sio kama dunia ya miaka ya nyuma baada ya UN kuundwa. Mauaji yakitokea kwa waarabu au warusi dunia kimya. Lakini mauaji yakitokea kwa Israel au Marekani au Europe ukitoa Urusi utaona dunia itakavyolaani.

Mwenendo wa dunia ishafikia wakati kila mtu anajiamulia kufanya jambo ili kufanikisha kisasi chake .Na mbaya zaidi sasa hivi teknologia imekuwa sana na kusababisha hakuna superpower wa kweli.Hii imejidhihirisha kwa Houth kuweza kuzuia meli zisiende israel ingawaje zipo nchi mbalimbali za ulaya zikimsaidia marekani kutaka meli zipite mediterranean sea bila kupingwa

Dunia ya sasa sio salama haswa ukiangalia marekani aliyekuwa akitetea haki za binadamu amekuwa kinara kutetea mauaji ya israel kwa wapalestine. Mbaya zaidi marekani imedhubutu kumpitisha raisi Trump kama mgombea huku akionesha kutetea kupinga maisha ya watu mfano wapalestine.

Kwa sababu UN imeonekana kupaya sana kuna uwezekano vita ya dunia kutokea sababu kwa zama hizi kuna migogoro inaweza kutokea sababu ishaonekana kawaida kuua maelfu ya watu. Dunia ishaona kawaida warusi na waukraine laki kadhaa wakifa sababu hakuna anayejali maisha.

Misingi ya dunia haifuatwi sasa na hii tuseme kuna siku mabomu ya nyuklia yatatumika. Dunia haina usawa kabisa sababu muisrael kumiliki nyuklia ni sawa lakini muiran kumiliki sio sawa.Kwanini wasiseme tuh hakuna nchi yeyote kumiliki nyuklia duniani .Ubaguzi, visasi, udini umefanya wazungu kumiliki nyuklia bomb sawa lakini wengine wakimiliki sio sawa.
Na tuseme hakuna superpower duniani sababu teknologia ishakuwa sana kwa kila mtu. Dunia haiamini houth walitengenezaje hypersonic missile. Vita ya 3 inaweza kutokea sababu kila mtu atataka ajioneshe ana nguvu duniani na tushafikia huko.
Juzi wahouthi wamerumisha kombora la balistic linachoma nyasi za israel nyie kobazi mlilaani lakini mlishangilia
 
Tatizo mkifika kwao mnalazimisha mambo yenu, mila zenu na ustaarabu wenu wa mlikotoka
Mbona kwetu wanafanya yao mpaka elimu wameleta , sisi waswahili kingereza cha nn?
 
Dunia ya sasa sio kama dunia ya miaka ya nyuma baada ya UN kuundwa. Mauaji yakitokea kwa waarabu au warusi dunia kimya. Lakini mauaji yakitokea kwa Israel au Marekani au Europe ukitoa Urusi utaona dunia itakavyolaani.

Mwenendo wa dunia ishafikia wakati kila mtu anajiamulia kufanya jambo ili kufanikisha kisasi chake .Na mbaya zaidi sasa hivi teknologia imekuwa sana na kusababisha hakuna superpower wa kweli.Hii imejidhihirisha kwa Houth kuweza kuzuia meli zisiende israel ingawaje zipo nchi mbalimbali za ulaya zikimsaidia marekani kutaka meli zipite mediterranean sea bila kupingwa

Dunia ya sasa sio salama haswa ukiangalia marekani aliyekuwa akitetea haki za binadamu amekuwa kinara kutetea mauaji ya israel kwa wapalestine. Mbaya zaidi marekani imedhubutu kumpitisha raisi Trump kama mgombea huku akionesha kutetea kupinga maisha ya watu mfano wapalestine.

Kwa sababu UN imeonekana kupaya sana kuna uwezekano vita ya dunia kutokea sababu kwa zama hizi kuna migogoro inaweza kutokea sababu ishaonekana kawaida kuua maelfu ya watu. Dunia ishaona kawaida warusi na waukraine laki kadhaa wakifa sababu hakuna anayejali maisha.

Misingi ya dunia haifuatwi sasa na hii tuseme kuna siku mabomu ya nyuklia yatatumika. Dunia haina usawa kabisa sababu muisrael kumiliki nyuklia ni sawa lakini muiran kumiliki sio sawa.Kwanini wasiseme tuh hakuna nchi yeyote kumiliki nyuklia duniani .Ubaguzi, visasi, udini umefanya wazungu kumiliki nyuklia bomb sawa lakini wengine wakimiliki sio sawa.
Na tuseme hakuna superpower duniani sababu teknologia ishakuwa sana kwa kila mtu. Dunia haiamini houth walitengenezaje hypersonic missile. Vita ya 3 inaweza kutokea sababu kila mtu atataka ajioneshe ana nguvu duniani na tushafikia huko.
Vita ya 3 ndo ishaanza mdogomdogo,,ngoja CHIZI TRMP achukue nchi uone kitakachotokea!!!!
 
Back
Top Bottom